johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ikumbukwe kuwa sasa tupo kwenye uchumi wa kati mdogo hivyo jitihada zinahitajika ili tuweze kupanda na kufika $4000 per capita.
Hivyo niwaombe tuorodheshe majimbo maskini ili tuyafanyie mkakati maalumu bila kujali itikadi zetu na misimamo yetu ya kisiasa na kimaendeleo.
Mimi naanza na jimbo la Rombo
Maendeleo hayana vyama!
Hivyo niwaombe tuorodheshe majimbo maskini ili tuyafanyie mkakati maalumu bila kujali itikadi zetu na misimamo yetu ya kisiasa na kimaendeleo.
Mimi naanza na jimbo la Rombo
Maendeleo hayana vyama!