Mara nyingi ccm hufanya makusudi ili kuwakomoa wapinzani hutengeneza mbinu za kutopeleka maendeleo na hata ikitokea wamepeleka hutengeneza mazingira kuwa ni serikali imesikia kilio cha wananchiMajimbo ya vijijini ndio yanaumaskini wewe mtoa mada hujitambui