CCM tukumbushane majimbo yaliyotopea kwa umaskini baada ya kuongozwa na upinzani ili tuyakomboe tukianza na Rombo

CCM tukumbushane majimbo yaliyotopea kwa umaskini baada ya kuongozwa na upinzani ili tuyakomboe tukianza na Rombo

Hizi akili za kuvukia barabara mtaacha lini??

Mbunge kazi yake nikuwasemea wananchi sio kupeleka maendeleo!! Seema ni majimbo mangapi yametopea kwenye umasikini toka ccm iwe madarakani??

Kongwa
Iramba
Bariadi
Misungwi
Chato
Igunga
Muleba
Karagwe
 
Ni aibu kwa chama chetu
Hizi akili za kuvukia barabara mtaacha lini??

Mbunge kazi yake nikuwasemea wananchi sio kupeleka maendeleo!! Seema ni majimbo mangapi yametopea kwenye umasikini toka ccm iwe madarakani??

Kongwa
Iramba
Bariadi
Misungwi
Chato
Igunga
Muleba
Karagwe
 
Ikumbukwe kuwa sasa tupo kwenye uchumi wa kati mdogo hivyo jitihada zinahitajika ili tuweze kupanda na kufika $4000 per capita.

Hivyo niwaombe tuorodheshe majimbo maskini ili tuyafanyie mkakati maalumu bila kujali itikadi zetu na misimamo yetu ya kisiasa na kimaendeleo.

Mimi naanza na jimbo la Rombo

Maendeleo hayana vyama!
Acha dharau bro.. huo umaskini wa rombo unaanzia wapi? Labda kwenu ndo maskini. Sisi wana rombo sio maskini. Tuna barabara, tumesoma, tumejenga nyumba za mbao, tofali na pia tuna umeme hata kabla ya REA kuja. Huo umaskini unaotutangazia unaanzia wapi? Tembea ukutane na maskini uje kuwasema uachane na sisi. Hatuchagui chama ukitakacho na tutaendelea kuwazidi. Hatusubiri kuletewa kama nyie. Tunajua kutafuta
 
Uliyetaja Rombo, umedanganya sana, labda hupajui Rombo, pia uliyepataja Muleba na Karagwe umejitajia tu nadhan huyajui majimbo haya
 
Acha dharau bro.. huo umaskini wa rombo unaanzia wapi? Labda kwenu ndo maskini. Sisi wana rombo sio maskini. Tuna barabara, tumesoma, tumejenga nyumba za mbao, tofali na pia tuna umeme hata kabla ya REA kuja. Huo umaskini unaotutangazia unaanzia wapi? Tembea ukutane na maskini uje kuwasema uachane na sisi. Hatuchagui chama ukitakacho na tutaendelea kuwazidi. Hatusubiri kuletewa kama nyie. Tunajua kutafuta
Umejieleza sana kama uko machame vile kumbe mkuu!
 
Umejieleza sana kama uko machame vile kumbe mkuu!
Pole kwa kufikiri kwamba ni machame tu ndo pameendelea. Ilikua miaka ya 70 na 80. Kuanzia 2000 na kuendelea na sisi tulianza kuona matunda ya kusomesha. Rudi tena huko vijijini ukaone mabadiliko. Nilitumia vijiti ila leo situmii tena. Nina mwanga na si wa REA. Na pia sipo mwenyewe. Rudi tena ukatizame bro
 
Ikumbukwe kuwa sasa tupo kwenye uchumi wa kati mdogo hivyo jitihada zinahitajika ili tuweze kupanda na kufika $4000 per capita.

Hivyo niwaombe tuorodheshe majimbo maskini ili tuyafanyie mkakati maalumu bila kujali itikadi zetu na misimamo yetu ya kisiasa na kimaendeleo.

Mimi naanza na jimbo la Rombo

Maendeleo hayana vyama!
Dogo Rombo ni kama Masaki. Fanya mpango ukakomboe kule Mtera kwa wale jamaa wanaoezekea udongo nyumba zao na wanaosumbuliwa na funza
 
Back
Top Bottom