CCM tukumbushane majimbo yaliyotopea kwa umaskini baada ya kuongozwa na upinzani ili tuyakomboe tukianza na Rombo

CCM tukumbushane majimbo yaliyotopea kwa umaskini baada ya kuongozwa na upinzani ili tuyakomboe tukianza na Rombo

Ikumbukwe kuwa sasa tupo kwenye uchumi wa kati mdogo hivyo jitihada zinahitajika ili tuweze kupanda na kufika $4000 per capita.

Hivyo niwaombe tuorodheshe majimbo maskini ili tuyafanyie mkakati maalumu bila kujali itikadi zetu na misimamo yetu ya kisiasa na kimaendeleo.

Mimi naanza na jimbo la Rombo

Maendeleo hayana vyama!
Anzeni na haya ya Dodoma hapa Kibakwe na Kongwa.
 
katika mkoa mzima wa kilimanjaro serikari haina cha kufanya mana tayar kuna kila kitu labda waje kupaka majengo rangi, na watu wanajielewa sana tofauti na majimbo masikini kama CHATO na KONGWA ambapo idadi ya wajinga ni kubwa.
 
Ikumbukwe kuwa sasa tupo kwenye uchumi wa kati mdogo hivyo jitihada zinahitajika ili tuweze kupanda na kufika $4000 per capita.

Hivyo niwaombe tuorodheshe majimbo maskini ili tuyafanyie mkakati maalumu bila kujali itikadi zetu na misimamo yetu ya kisiasa na kimaendeleo.

Mimi naanza na jimbo la Rombo

Maendeleo hayana vyama!
Nchi ya uchumi wa kati
IMG_20200710_102941.jpeg
 
Ikumbukwe kuwa sasa tupo kwenye uchumi wa kati mdogo hivyo jitihada zinahitajika ili tuweze kupanda na kufika $4000 per capita.

Hivyo niwaombe tuorodheshe majimbo maskini ili tuyafanyie mkakati maalumu bila kujali itikadi zetu na misimamo yetu ya kisiasa na kimaendeleo.

Mimi naanza na jimbo la Rombo

Maendeleo hayana vyama!


Jimbo la Chalinze,majimbo ya Idodomia karibu yote hasa Mtera.
 
Rombo ni maskini huko Tarakea ukame kwa kwenda mbele
Kwa taarifa yako Rombo hata tusipopelekewa msaada wa chakula bado tunaweza kujilisha... Lini ushasikia Rombo wamepeleka chakula cha misaada.
 
Maendeleo hayana chama. Kama kuna jimbo halikuendelea kwa sababu si la sisiemu, basi, kuna unafiki mahali.
 
Ikumbukwe kuwa sasa tupo kwenye uchumi wa kati mdogo hivyo jitihada zinahitajika ili tuweze kupanda na kufika $4000 per capita.

Hivyo niwaombe tuorodheshe majimbo maskini ili tuyafanyie mkakati maalumu bila kujali itikadi zetu na misimamo yetu ya kisiasa na kimaendeleo.

Mimi naanza na jimbo la Rombo

Maendeleo hayana vyama!
Huu ujinga wa kubagua kupeleka maendeleo kwenye majimbo ya wapinzani ili ccm ijifanye kuwa imelikomboa jimbo toka kwenye umasikini utaisha lini? Acheni kuwakomoa wapinzani kwa kugoma kupeleka maendeleo huko mnakuwa mnawatesa wananchi kwa ujinga wenu, kumbukeni kuwa Rombo wanalipa kodi ni wajibu wao kupata maendeleo .
 
Back
Top Bottom