johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Atakuwa amekunywa kipumu cha Singida, Rombo iwe maskini na wakati ni Geneva ya TanzaniaMkuu unamaanisha kwel au ndo utan,iv kwl Rombo leo linakuwa jimbo maskn?
Yaani wafanyakazi wakipangiwa kule hawataki tena kurudi nyumbani maana huduma zote ni available, huyu si bure huenda kanywa kipumuu mkuuAtakuwa amekunywa kipumu cha Singida, Rombo iwe maskini na wakati ni Geneva ya Tanzania
Anatakiwa akapimwe akili Mirembe, atafute kibarua anayetoka Rombo ambaye anachunga kwa wanyiramba wenzake kama atampata.Yaan wafanyakaz wakipangiwa kule hawataki tena kurud nyumban maana huduma zote n available,huyu c bure huenda kanywa kipumuu mkuu
Misungwi kwa J J Mnyika!Misungwi kuna shida kubwa ya maji
Nimefika Kibaigwa na Mbande!Umewahi kufika jimbo la kongwa?.
Hahahaaaa..... niko hapa Makambako!Atakuwa amekunywa kipumu cha Singida, Rombo iwe maskini na wakati ni Geneva ya Tanzania
Bora uhame Singida mkuu ni aibu tupuHahahaaaa..... niko hapa makambako!