CCM tukumbushane majimbo yaliyotopea kwa umaskini baada ya kuongozwa na upinzani ili tuyakomboe tukianza na Rombo

Anzeni na haya ya Dodoma hapa Kibakwe na Kongwa.
 
katika mkoa mzima wa kilimanjaro serikari haina cha kufanya mana tayar kuna kila kitu labda waje kupaka majengo rangi, na watu wanajielewa sana tofauti na majimbo masikini kama CHATO na KONGWA ambapo idadi ya wajinga ni kubwa.
 
Nchi ya uchumi wa kati
 
KATI YA MAJIMBO MASIKINI JIMBO LA BUSANDA LINAOONGOZA KWA UMASIKINI BUKWIMBA HATAKIWI AJE KUGOMBEA TENA NI AIBU TUPU
 


Jimbo la Chalinze,majimbo ya Idodomia karibu yote hasa Mtera.
 
Rombo ni maskini huko Tarakea ukame kwa kwenda mbele
Kwa taarifa yako Rombo hata tusipopelekewa msaada wa chakula bado tunaweza kujilisha... Lini ushasikia Rombo wamepeleka chakula cha misaada.
 
Maendeleo hayana chama. Kama kuna jimbo halikuendelea kwa sababu si la sisiemu, basi, kuna unafiki mahali.
 
Kwa taarifa yako Rombo hata tusipopelekewa msaada wa chakula bado tunaweza kujilisha... Lini ushasikia Rombo wamepeleka chakula cha misaada.
Bwashee hata Kongwa wanajilisha na kulisha wengine!
 
Huu ujinga wa kubagua kupeleka maendeleo kwenye majimbo ya wapinzani ili ccm ijifanye kuwa imelikomboa jimbo toka kwenye umasikini utaisha lini? Acheni kuwakomoa wapinzani kwa kugoma kupeleka maendeleo huko mnakuwa mnawatesa wananchi kwa ujinga wenu, kumbukeni kuwa Rombo wanalipa kodi ni wajibu wao kupata maendeleo .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…