Pre GE2025 CCM tunaomba 2025 msituletee marais wa kujiokoteza okoteza, Samia asipite hata kwenye top 10 yenu ya mapendekezo

Pre GE2025 CCM tunaomba 2025 msituletee marais wa kujiokoteza okoteza, Samia asipite hata kwenye top 10 yenu ya mapendekezo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwakweli Kwa haya tulioyapitia miaka mitatu inatosha sasa
Hatuwalaumu CCM Kwa huyu raisi tulienae kwa sasa lakini mtatukosea sana kama tutasikia huyu rais ndio mtaempitisha kama mgombea tumechoshwa na mambo yanyoendelea achilia mbali mfumuko wa bei holela ,wizi wa mali za umma unaoota mizizi mpaka tunasikia wengine wananua ma apartment Dubai ,Amerika daaah
Hili swala la umeme litoshe kumrudisha huyo bibi kizee kwao akalee wajukuu tu sasa hivi imekua ni kawaida kukatiwa umeme siku nzima kila siku bila taarifa yoyote na hajali chochote yeye anawaza kwenda kuzurura nje
Tunaomba mfanye maamuzi magumu kama mliyoyafanya 2015 kateni huyu bibi tuleteeni mtu yeyote lakini sio huyu bibi
Tumechoka tafadhali naamini kuna watu wachache bado wanajielewa CCM na wamechoshwa na haya yanayoendelea tengenezeni vita kweli kweli huyu bibi aishie hapa hakika mkifanya hivyo mtakua mashujaa na tutawakumbuka daima leteni dude lolote tulijaribu kuliko kuona huyu bibi kizee anarudi hawez kujisimamia Hana uchungu na wananchi,Hana kauli,hatumkubali yupo tu anazurura

Leo nimejikuta napandwa na hasira sana unaamka saa kumi unasema kazi ambazo sijazifanya juzi na Jana kwa sababu ya umeme nitajitahidi nizimalizie zote leo unawasha taa kumbe wamekata umeme saa nane sijui daaah
Dogo umeshindwa kuandika Maoni yako Kwa heshima?

Mods tunaomba mfuta huu uzi unadhalilisha hadhi ya Mkuu wa Nchi.
Mwandishi amekosa nidhamu.
 
Safi sana - sasa hii uiweke kwenye Ilani ya CHADEMA kwa 2025. Ila sijui ni nani ataipeperusha safari hii - ni mwanaCCM Luhaga Mpinaaaaa au ni silent kada wenu Padri Charles Kitima? Maana CHADEMA kama CHADEMA sioni mtu.


Mtu si wewe nyuma ya keyboard
 
Kero ni kubwa sana, 1961-2024 bado hatuna
1.umeme wa uhakika.
2.maji ya uhakika, nchi ya maziwa makuu
3.huduma za afya za uhakika
4.miundo mbinu bora

Umaskini,Maradhi,Ujinga na sasa Adui mpya Ufisadi
Ongezea na nyege
 
Safi sana - sasa hii uiweke kwenye Ilani ya CHADEMA kwa 2025. Ila sijui ni nani ataipeperusha safari hii - ni mwanaCCM Luhaga Mpinaaaaa au ni silent kada wenu Padri Charles Kitima? Maana CHADEMA kama CHADEMA sioni mtu.
Hamna muafrika mwenye akili boss. Sasa sijui wapi unapata mtu wa kuongoza nchi hii. Miaka 60+ umeme Bado ni tatizo, sasa utasema Kuna chama Cha watu wenye akili hapo?
 
Kwakweli Kwa haya tulioyapitia miaka mitatu inatosha sasa
Hatuwalaumu CCM Kwa huyu raisi tulienae kwa sasa lakini mtatukosea sana kama tutasikia huyu rais ndio mtaempitisha kama mgombea tumechoshwa na mambo yanyoendelea achilia mbali mfumuko wa bei holela ,wizi wa mali za umma unaoota mizizi mpaka tunasikia wengine wananua ma apartment Dubai ,Amerika daaah
Hili swala la umeme litoshe kumrudisha huyo bibi kizee kwao akalee wajukuu tu sasa hivi imekua ni kawaida kukatiwa umeme siku nzima kila siku bila taarifa yoyote na hajali chochote yeye anawaza kwenda kuzurura nje
Tunaomba mfanye maamuzi magumu kama mliyoyafanya 2015 kateni huyu bibi tuleteeni mtu yeyote lakini sio huyu bibi
Tumechoka tafadhali naamini kuna watu wachache bado wanajielewa CCM na wamechoshwa na haya yanayoendelea tengenezeni vita kweli kweli huyu bibi aishie hapa hakika mkifanya hivyo mtakua mashujaa na tutawakumbuka daima leteni dude lolote tulijaribu kuliko kuona huyu bibi kizee anarudi hawez kujisimamia Hana uchungu na wananchi,Hana kauli,hatumkubali yupo tu anazurura

Leo nimejikuta napandwa na hasira sana unaamka saa kumi unasema kazi ambazo sijazifanya juzi na Jana kwa sababu ya umeme nitajitahidi nizimalizie zote leo unawasha taa kumbe wamekata umeme saa nane sijui daaah
Mwenzetu anayo hoja muhimu asikilizee!
 
Kero ni kubwa sana, 1961-2024 bado hatuna
1.umeme wa uhakika.
2.maji ya uhakika, nchi ya maziwa makuu
3.huduma za afya za uhakika
4.miundo mbinu bora

Umaskini,Maradhi,Ujinga na sasa Adui mpya Ufisadi
Adui mwingine mbaya ni unafiki
 
Kwakweli Kwa haya tulioyapitia miaka mitatu inatosha sasa
Hatuwalaumu CCM Kwa huyu raisi tulienae kwa sasa lakini mtatukosea sana kama tutasikia huyu rais ndio mtaempitisha kama mgombea tumechoshwa na mambo yanyoendelea achilia mbali mfumuko wa bei holela ,wizi wa mali za umma unaoota mizizi mpaka tunasikia wengine wananua ma apartment Dubai ,Amerika daaah
Hili swala la umeme litoshe kumrudisha huyo bibi kizee kwao akalee wajukuu tu sasa hivi imekua ni kawaida kukatiwa umeme siku nzima kila siku bila taarifa yoyote na hajali chochote yeye anawaza kwenda kuzurura nje
Tunaomba mfanye maamuzi magumu kama mliyoyafanya 2015 kateni huyu bibi tuleteeni mtu yeyote lakini sio huyu bibi
Tumechoka tafadhali naamini kuna watu wachache bado wanajielewa CCM na wamechoshwa na haya yanayoendelea tengenezeni vita kweli kweli huyu bibi aishie hapa hakika mkifanya hivyo mtakua mashujaa na tutawakumbuka daima leteni dude lolote tulijaribu kuliko kuona huyu bibi kizee anarudi hawez kujisimamia Hana uchungu na wananchi,Hana kauli,hatumkubali yupo tu anazurura

Leo nimejikuta napandwa na hasira sana unaamka saa kumi unasema kazi ambazo sijazifanya juzi na Jana kwa sababu ya umeme nitajitahidi nizimalizie zote leo unawasha taa kumbe wamekata umeme saa nane sijui daaah
Naomba haya maoni yako yamfikie haraka iwezekanavyo kijana wake mtetezi humu jukwaani kwa jina la Lucas mwashambwa, aka CHAWA mtoto.
 
Kwakweli Kwa haya tulioyapitia miaka mitatu inatosha sasa
Hatuwalaumu CCM Kwa huyu raisi tulienae kwa sasa lakini mtatukosea sana kama tutasikia huyu rais ndio mtaempitisha kama mgombea tumechoshwa na mambo yanyoendelea achilia mbali mfumuko wa bei holela ,wizi wa mali za umma unaoota mizizi mpaka tunasikia wengine wananua ma apartment Dubai ,Amerika daaah
Hili swala la umeme litoshe kumrudisha huyo bibi kizee kwao akalee wajukuu tu sasa hivi imekua ni kawaida kukatiwa umeme siku nzima kila siku bila taarifa yoyote na hajali chochote yeye anawaza kwenda kuzurura nje
Tunaomba mfanye maamuzi magumu kama mliyoyafanya 2015 kateni huyu bibi tuleteeni mtu yeyote lakini sio huyu bibi
Tumechoka tafadhali naamini kuna watu wachache bado wanajielewa CCM na wamechoshwa na haya yanayoendelea tengenezeni vita kweli kweli huyu bibi aishie hapa hakika mkifanya hivyo mtakua mashujaa na tutawakumbuka daima leteni dude lolote tulijaribu kuliko kuona huyu bibi kizee anarudi hawez kujisimamia Hana uchungu na wananchi,Hana kauli,hatumkubali yupo tu anazurura

Leo nimejikuta napandwa na hasira sana unaamka saa kumi unasema kazi ambazo sijazifanya juzi na Jana kwa sababu ya umeme nitajitahidi nizimalizie zote leo unawasha taa kumbe wamekata umeme saa nane sijui daaah
Umeongea sana kwa hisia kali.
Nikukumbushe tu kuwa ccm ni ileile haijawahi kubadilika.

Juzi ulimsikia Kasim na Kinana wanasema wanataka watoe form Moja tu ya kugombea urais.
 
Dogo umeshindwa kuandika Maoni yako Kwa heshima?

Mods tunaomba mfuta huu uzi unadhalilisha hadhi ya Mkuu wa Nchi.
Mwandishi amekosa nidhamu.
Acha watu watoe madukuduku yao. Rais siyo mungu, au malaika. Kama ana anzaingua, au ana mapungufu! ni vizuri akaambiwa ukweli! Badala ya kumpamba tu muda wote.
 
Kero ni kubwa sana, 1961-2024 bado hatuna
1.umeme wa uhakika.
2.maji ya uhakika, nchi ya maziwa makuu
3.huduma za afya za uhakika
4.miundo mbinu bora

Umaskini,Maradhi,Ujinga na sasa Adui mpya Ufisadi
Lkn bado mnaendelea kuichagua ccm kisa mmepewa khanga na vitenge
 
Safi sana - sasa hii uiweke kwenye Ilani ya CHADEMA kwa 2025. Ila sijui ni nani ataipeperusha safari hii - ni mwanaCCM Luhaga Mpinaaaaa au ni silent kada wenu Padri Charles Kitima? Maana CHADEMA kama CHADEMA sioni mtu.
Pole sana maana naona ukitafuna kashata na maji ya kandoro ikiwa ndiyo lunch yako.
 
Back
Top Bottom