Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Wakati huo wewe upo hapo Kibaigwa hata chai hujaipata.Form kwa upande wa ccm imeshachapwa nayo ni moja tu, kupita ameshapita, sisi wana ccm tunasubiri kumuapisha tu rais wetu kwa msimu wake wa kwanza kuchaguliwa kiraia 2025-2030, na 2030-2035, atakapomalizia ngwe yake ya pili, kwa sasa ni rais kwa mujibu wa katiba, na sio urais kwa Sisi watanzania kiuchaguzi.