Pre GE2025 CCM tunaomba 2025 msituletee marais wa kujiokoteza okoteza, Samia asipite hata kwenye top 10 yenu ya mapendekezo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakati huo wewe upo hapo Kibaigwa hata chai hujaipata.
 
Mkimaliza kubaguana mtahamia kwenye mipaka ya nchi
 
Yaani kukatika umeme hapo mtaani kwako ndio iwe sababu ya kutukana Rais?

Kwamba Kila kukitokea Changamoto yenye genuine reason tuwe tunafukuza Rais si ndio?

Acha utoto basi.
Ccm hoyeeeeeee[emoji573]
 
Wewe ni kifaranga wa Bata wa kienyeji tuu ndio maana unalalamika na kuomba wanaume wakusaidie kuchukua hatua [emoji23][emoji23]
Wacheni kulialia kwa unafiki.
24.1.2024. Jiungeni na wazalendo wa nchi hii kufanya MAANDAMANO YA AMANI ILI KUDAI MAMBO YA MSINGI KWENYE MAISHA YETU YA KILA SIKU.
 
Wacheni kulialia kwa unafiki.
24.1.2024. Jiungeni na wazalendo wa nchi hii kufanya MAANDAMANO YA AMANI ILI KUDAI MAMBO YA MSINGI KWENYE MAISHA YETU YA KILA SIKU.
Nyumbu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Mkimaliza kuandamana Kila mtu alete hesabu za alichovuna
 
Utamaduni wa CCM ni Mgombea Urais kuhudumu kwa vipindi viwili. Hivyo basi, mwaka 2025 Mgombea Urais wetu CCM ni SAMIA SULUHU HASSAN. Hizo propaganda peleka Chadema wakachague Mwenyekiti wa Chama mwingine. Watoto wanazaliwa hadi Wanajukuu yeye Mwenyekiti?
 
Akili zako naona zimeshikiliwa na wana CDM maana huwezi kuongea neno lolote zaidi ya kuitaja CDM
Mimi kama Askofu, siwezi kuhubiri bila kumtaja shetani(chadema)
 
Hahaha..
Hapa chawa sugu Lucas mwashambwa na FaizaFoxy wanapita kimya kimyaa
 
Hii nchi tatizo sio uongozi ni wananchi, sema ni hvo tu tunaangushia jumba bovu kwa viongozi
 
viongozi wa serikali na chama washatoa maelekezo ya kutoa form moja.
kwa Africa hakuna siasa za kihuni kuizidi CCM.wanajua kuchezesha midundo tofauti kwenye kila point.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…