Wakati huo wewe upo hapo Kibaigwa hata chai hujaipata.Form kwa upande wa ccm imeshachapwa nayo ni moja tu, kupita ameshapita, sisi wana ccm tunasubiri kumuapisha tu rais wetu kwa msimu wake wa kwanza kuchaguliwa kiraia 2025-2030, na 2030-2035, atakapomalizia ngwe yake ya pili, kwa sasa ni rais kwa mujibu wa katiba, na sio urais kwa Sisi watanzania kiuchaguzi.
Mkimaliza kubaguana mtahamia kwenye mipaka ya nchiBinafsi Uzanzibari wake tuu ni sababu tosha ya kutokubali, haiwezekani Tanganyika tuongozwe na raisi kutoka nchi nyingine kwa kivuli cha muungano usioeleweka,ni vyema rasilimali za Tanganyika zisimamiwe na watanganyika halisi na ziwanufaishe watanganyika ,sio rasilimali za Tanganyika zinufaishe Tanzania nzima kwa kivuli cha muungano uchwara ila rasilimali za zenji(sina uhakika kama wazazi) zibaki kuwanufaisha wazenji wenyewe
Ccm hoyeeeeeee[emoji573]Yaani kukatika umeme hapo mtaani kwako ndio iwe sababu ya kutukana Rais?
Kwamba Kila kukitokea Changamoto yenye genuine reason tuwe tunafukuza Rais si ndio?
Acha utoto basi.
....PERIOD....Tatizo ni CCM...
Ushauri mzuri sanaMkuu hisia zako ziwe sababu ya kwako kuandamana ili katiba mpya ipatikane ya serikali tatu!
Utakuta hata bei ya umeme na gesi hajuiWe kaa kwa kutulia subiria gesi iishe umpe taarifa mumeo
Kuwa na adabu wanaume wakiwa wanaongea
Ccm ni adui nambari moja wa watanzaniaWala sio ccm bali wale wanaosimamia hadi ccm inashinda kwa wizi hao ndio Adui wa Taifa.
Kumlauma Rais Dr Sakia na CCM kama Chama ni kuwaonea tu.
KwiiiiishaaaaaWanaosimamia CCM ishinde ni CCM wenyewe...
Wacheni kulialia kwa unafiki.Wewe ni kifaranga wa Bata wa kienyeji tuu ndio maana unalalamika na kuomba wanaume wakusaidie kuchukua hatua [emoji23][emoji23]
Ukiona haujafutwa basi jua ametumia maneno yenye heshima.Dogo umeshindwa kuandika Maoni yako Kwa heshima?
Mods tunaomba mfuta huu uzi unadhalilisha hadhi ya Mkuu wa Nchi.
Mwandishi amekosa nidhamu.
Nyumbu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wacheni kulialia kwa unafiki.
24.1.2024. Jiungeni na wazalendo wa nchi hii kufanya MAANDAMANO YA AMANI ILI KUDAI MAMBO YA MSINGI KWENYE MAISHA YETU YA KILA SIKU.
Akili zako naona zimeshikiliwa na wana CDM maana huwezi kuongea neno lolote zaidi ya kuitaja CDMChadema wanavyohangaika kuwatafutia Rais CCM
Labda unaijua ccm ya Sudan,kwa taarifa yako tayari form ya urais kwa wana ccm tayari ipo Lumumba na ni MOOOJA tuCcm nayoijua Mimi huyo bibi ajipange kuishi nje ya utawala
Utamaduni wa CCM ni Mgombea Urais kuhudumu kwa vipindi viwili. Hivyo basi, mwaka 2025 Mgombea Urais wetu CCM ni SAMIA SULUHU HASSAN. Hizo propaganda peleka Chadema wakachague Mwenyekiti wa Chama mwingine. Watoto wanazaliwa hadi Wanajukuu yeye Mwenyekiti?Kwakweli Kwa haya tulioyapitia miaka mitatu inatosha sasa
Hatuwalaumu CCM Kwa huyu raisi tulienae kwa sasa lakini mtatukosea sana kama tutasikia huyu rais ndio mtaempitisha kama mgombea tumechoshwa na mambo yanyoendelea achilia mbali mfumuko wa bei holela ,wizi wa mali za umma unaoota mizizi mpaka tunasikia wengine wananua ma apartment Dubai ,Amerika daaah
Hili swala la umeme litoshe kumrudisha huyo bibi kizee kwao akalee wajukuu tu sasa hivi imekua ni kawaida kukatiwa umeme siku nzima kila siku bila taarifa yoyote na hajali chochote yeye anawaza kwenda kuzurura nje
Tunaomba mfanye maamuzi magumu kama mliyoyafanya 2015 kateni huyu bibi tuleteeni mtu yeyote lakini sio huyu bibi
Tumechoka tafadhali naamini kuna watu wachache bado wanajielewa CCM na wamechoshwa na haya yanayoendelea tengenezeni vita kweli kweli huyu bibi aishie hapa hakika mkifanya hivyo mtakua mashujaa na tutawakumbuka daima leteni dude lolote tulijaribu kuliko kuona huyu bibi kizee anarudi hawez kujisimamia Hana uchungu na wananchi,Hana kauli,hatumkubali yupo tu anazurura
Leo nimejikuta napandwa na hasira sana unaamka saa kumi unasema kazi ambazo sijazifanya juzi na Jana kwa sababu ya umeme nitajitahidi nizimalizie zote leo unawasha taa kumbe wamekata umeme saa nane sijui daaah
Mimi kama Askofu, siwezi kuhubiri bila kumtaja shetani(chadema)Akili zako naona zimeshikiliwa na wana CDM maana huwezi kuongea neno lolote zaidi ya kuitaja CDM
Hahaha..Kwakweli Kwa haya tulioyapitia miaka mitatu inatosha sasa
Hatuwalaumu CCM Kwa huyu raisi tulienae kwa sasa lakini mtatukosea sana kama tutasikia huyu rais ndio mtaempitisha kama mgombea tumechoshwa na mambo yanyoendelea achilia mbali mfumuko wa bei holela ,wizi wa mali za umma unaoota mizizi mpaka tunasikia wengine wananua ma apartment Dubai ,Amerika daaah
Hili swala la umeme litoshe kumrudisha huyo bibi kizee kwao akalee wajukuu tu sasa hivi imekua ni kawaida kukatiwa umeme siku nzima kila siku bila taarifa yoyote na hajali chochote yeye anawaza kwenda kuzurura nje
Tunaomba mfanye maamuzi magumu kama mliyoyafanya 2015 kateni huyu bibi tuleteeni mtu yeyote lakini sio huyu bibi
Tumechoka tafadhali naamini kuna watu wachache bado wanajielewa CCM na wamechoshwa na haya yanayoendelea tengenezeni vita kweli kweli huyu bibi aishie hapa hakika mkifanya hivyo mtakua mashujaa na tutawakumbuka daima leteni dude lolote tulijaribu kuliko kuona huyu bibi kizee anarudi hawez kujisimamia Hana uchungu na wananchi,Hana kauli,hatumkubali yupo tu anazurura
Leo nimejikuta napandwa na hasira sana unaamka saa kumi unasema kazi ambazo sijazifanya juzi na Jana kwa sababu ya umeme nitajitahidi nizimalizie zote leo unawasha taa kumbe wamekata umeme saa nane sijui daaah
Ni vyema, maana huyo ndo mungu wako unayemtumikiaMimi kama Askofu, siwezi kuhubiri bila kumtaja shetani