Pre GE2025 CCM tunaomba 2025 msituletee marais wa kujiokoteza okoteza, Samia asipite hata kwenye top 10 yenu ya mapendekezo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Weka takwimu
 
Ccm ipi wazungumzia hapa ,pumbavu
 
Kwa mjibu wa CCM muheshimiwa mpaka sasa alishapita bila kupingwa,wadanganyika tutaendelea kukaa bila Rais, tutaendelea kutawaliwa na wazanzibar mpaka CCM watakapoamua wenyewe.

Wazanzibar wana marais wawili mpaka sasa,anayeiongoza Zanzibar na yule anayeiongoza Tanzania ndio maana kwa sasa hivi huwezi ukawasikia wazanzibar wakipiga kelele,wametulia kimyaa utafikri hawana kero yoyote,subiri Rais atoke Tanganyika utasikia kelele zao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…