Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
inamana kusingekuwa na ndege ya ATCL wasingeenda? ndo mana mnaambiwa mjifunze kujibu hoja sio vimaneno kama vya yule taahira mwenzio MUSIBAViongozi wako Ile siku ya Uhuru walivyoenda jijini mwanza kwaajili ya kuomba maridhiano walikodi maji ya bahari ya Hindi kwenda Mwanza?
Halafu watu tukisema Upinzani wa Tz umejaa wanafiki wa Taifa hili mnatunanga.
Kumbe hata akili za kujibu huna! Pole Sanaa Endelea kushabikia Watu wanaopinga ununuliwaji wa ndege wakati wao wakitumia ruzuku za chama kukodi ndege ya kwenda kuombea maridhiano.Kwahiyo ulitaka waende na meli Dar-mwanza.
Nakupa pole tu kwa uelewa wako!Umeanza Vizuri kabisa Ila umemaliza kipuuzi Sana Baada ya kumaliza hoja zako kwa kuhusisha Mambo ya uchumia chama.
To be honestly Mimi Sina chama hivyo Basi siwezi kukujibu Maana Mimi siyo mwanachama na wewe unataka kujibiwa na mwanachama.
Mimi Ni raia mpiga kura tu Namkubuli Sana Mbowe, namkubali Sana Magufuli na simukubali kabisa Tundu lissu.
CCM Wana hoja dhaifu mbili, 1.Eti Lissu ataomba huruma kwa wapiga kura 2. hoja yoyote ambayo CCM inazidiwa jibu ni kutumwa na mabeberuTundu Lissu tayari ameshaonyesha wazi kuwa ni mwiba mchungu kwa CCM kuelekea kwenye kampeni, kwa muda mfupi aliopanda kwenye majukwaa yasio rasmi kwa ajili ya kampeni ameoneka kuwa Ni mtu mwenye uwezo mkubwa sana wa kujenga hoja zitakazo wabadilisha wengi mawazo hata kwa WanaCCM wenyewe.
Huyu Tundu ana uwezo mkubwa sana wa kujieleza, kujenga , na kutetea hoja kuliko watu wanavyo fikiria.
Na kwa vile Watanzania wa leo wengi hawana tena ushabiki wa vyama kama zamani, ni rahisi sana kuoambanua kile anacho kusema Lissu na yale yaliyotokea miaka mitano iliyo pita Kisha wakachukua hatua ambazo zitaweza kuishangaza hata CCM ambao wanadhani wanaweza kuhodhi utawala milele.
Ni ukweli ulio wazi tu kwamba kwa vyama vyote vya siasa watu wao watakaopanda kwenye majukwaa ya kampeni wasipojipanga vizuri Tundu atawagaragaza vibaya sana kwa hoja.
Kuna hoja dhaifu inayotolewa na makada wengi wa CCM kwamba urais hauwezi kutolewa kwa mtu kama huruma kwa sababu tu eti alipata shambulio la kupigwa risasi; huo ni udhaifu wa kujenga hoja na hilo litweza kuamsha hisia na kuwakumbusha wengi juu ya kipindi kigumu walichopitia Watanzania hapo nyuma.
La msingi kwa CCM msimbeze Lissu na kujaribu kupambana naye, bali mjipange kupambana na hoja zake ambazo kwa hakika zitakuwa kama msumari wa moto kwenye kidonda kibichi.
Hoja zipi? Wewe ni maanaCCM wa mtindo gan?Tundu Lissu tayari ameshaonyesha wazi kuwa ni mwiba mchungu kwa CCM kuelekea kwenye kampeni, kwa muda mfupi aliopanda kwenye majukwaa yasio rasmi kwa ajili ya kampeni ameoneka kuwa Ni mtu mwenye uwezo mkubwa sana wa kujenga hoja zitakazo wabadilisha wengi mawazo hata kwa WanaCCM wenyewe.
Huyu Tundu ana uwezo mkubwa sana wa kujieleza, kujenga , na kutetea hoja kuliko watu wanavyo fikiria.
Na kwa vile Watanzania wa leo wengi hawana tena ushabiki wa vyama kama zamani, ni rahisi sana kuoambanua kile anacho kusema Lissu na yale yaliyotokea miaka mitano iliyo pita Kisha wakachukua hatua ambazo zitaweza kuishangaza hata CCM ambao wanadhani wanaweza kuhodhi utawala milele.
Ni ukweli ulio wazi tu kwamba kwa vyama vyote vya siasa watu wao watakaopanda kwenye majukwaa ya kampeni wasipojipanga vizuri Tundu atawagaragaza vibaya sana kwa hoja.
Kuna hoja dhaifu inayotolewa na makada wengi wa CCM kwamba urais hauwezi kutolewa kwa mtu kama huruma kwa sababu tu eti alipata shambulio la kupigwa risasi; huo ni udhaifu wa kujenga hoja na hilo litweza kuamsha hisia na kuwakumbusha wengi juu ya kipindi kigumu walichopitia Watanzania hapo nyuma.
La msingi kwa CCM msimbeze Lissu na kujaribu kupambana naye, bali mjipange kupambana na hoja zake ambazo kwa hakika zitakuwa kama msumari wa moto kwenye kidonda kibichi.
Hakuna utumwa mbaya kama wa kujiona upo freeMleta mada Ni hoja zipi unazo mpigia mapambio huyu TL ambazo haziwezi kujibiwa kirahisi?.
"Miundo mbinu ya Tanzania iliyopo imejengwa na Wajerumani" TL
"Serikali ya Magufuli haijafanya lolote jipya ilililofanya nikupeleka mbuga ya wanyama chato" TL
"Kupinga ushoga nikutengeneza mazingira ya kutengwa na umoja wa mataifa kwa kukiuka haki za binadamu" TL
"Tanzania Corona bado ipo Sana na Hali si shwali" TL.
"Hakuna sheria inayosema usiongeze Neno/Maneno katika Wimbo wa Taifa" TL
Mkuu kwa upupu huu wa TL Wachana na kujibiwa na watu wazima above 18, hata under18 Alie ishia lasaba anaweza kujibu hoja hizo dhaifu na Tena zingine atazipuuza maana hazina Maana. Sasa sijui Ni hoja gani unazosimea.
Ukiona mtu anatuma masaa kukwambia alichofanya jua hakuna alichofanyaKwani Chato siyo Tanzania?
Akijenga uwanja wa ndege huko anatumia peke yake? Hakuna uchumi huko? Hii ni sera ya chuki.
Nilisema tangu zamani. Rais Magufuli amefanya mambo mengi sana. Mtu asiyeyatambua sisi tutamtambua kama myopic ambaye atayadharau, hatayasimamia na atayaacha yapotee likiwemo suala la nidhamu kazini na uwajibikaji. Usipoona namna anaitoa nchi kwa kasi ya ajbau kutoka uchumi tegemezi kwenda kujitegemea, utakuwa mbumbumbu usiyestahili kugombea nafasi hata ya ubunge. Kama utafumbia macho namna amefumua mikataba ya wizi na kulinda raslimali zetu tutakuona wewe unalengo la kuendeleza ufsadi uliokuwa umeota ndevu na kulindwa kwa mtutu katika awamu ya nne. Kama hutaona vile amejnga hadhi ya nchi kimataifa pasipo show face, wewe utakuwa juha usiyetakiwa hata kuingia kwenye kamati ya mipango na maendeleo ya taifa. Kama huwezi kuona namna anavyokakatika kuweka uchumi imara na ajira endelevu kwa kuanza na uijenzi wa miundo mbinu sahihi, hatutaki kukusikiliza.
Siasa za chuki na visasi, havitajenga taifa wala kutaboresha maendeleo zaidi ya kuleta migawanyiko ambayo haitadumaza maisha tu bali italeta mateso makubwa kwa vizazi vyetu.
Tunataka mtu anayetambua umuhimu wa msuala aliyoyafanya Rais Magufuli ili ayalinde na kuyaendeleza.
Tunataka mtu anayeweza kujenga hoja namna atatumia misigi aliyoiweka Magufuli katika kufanya maendeleo ya taifa.
Tunataka mtu anayeweza kubainisha makamilisho ya juhudi za rais Magufuli na kuelewa namna gani atayakamilisha.
Tunataka mtu anayeelewa mapungufu ya Rais Magufuli na ajue na kueleza jnisi gani atafanya ili kufanya mapinduzi katia eneo zile.
Tunataka mtu mwenye vision inayotekelezeka na siyo matusi na kutuvuta kuturudisha nyuma.
Tunahitaji maendeleo ya taifa na si propaganda za kutaka vyeo ki ujanga ujanja kwa kutumia uelewa duni wa wananchi wa chini.
Tunahitaji nia na uwezo wa kiongozi kulindoa taifa katika hali alipolifikisha raisi wetukulipeleka mbele zaidi na si kujifanya kwamba hajafanya kitu wakati kila mtu anajua Kikwkt aliliporomosha taifa na kuliingiza katika shimo la urefu gani kwenda chini.
Ninaomba tujali utaifa na maisha ya Vizazi vyetu na siyo ubinafsi, udanganyifu na hadaa. Watu kama Membe kugombea urais wa nchi ni tusi kubwa sana kwa Watanzania. Watanzania tuwe makini na Membe.
Hakuna utumwa mbaya kama wa kujiona upo free pole sanawacha nkuulize swali moja jepesi, unajua kwanini lazima ukope hata kama sio kwa ajili ya matumizi? ukishindwa hili swali basi we ni mbumbumbu
Swali kwako hauna matumizi utakopa Trillion 40 ya nini?swali rahisi kwako: kwanini nchi zinakopa hata kama sio kwenye miradi, ukishindwa just get lost man
Unaambiwa katika watanzania 10 wa 4 ni mental case kwanini asiseme ivyo?Miundombinu unayoiona tunajenga kwa pesa zetu za ndani, alisikika Magufuli kwenye mikutano yake akiongea.
Swali kwako hauna matumizi utakopa Trillion 40 ya nini?
Swali kwako hauna matumizi utakopa Trillion 40 ya nini?
Hayo nayo Ni mawazo yako hatuna budi kuyaheshimu tu.Lissu hana hoja zaidi ya dharau, kiburi na kujikweza. Haya yote ni machukizo kwa Mungu na atashushwa. Kapewa second chance na Mungu lakini inaonesha wazi hajapata neema ya kulijua hili na kubadilika.
JK kwa miaka yake 10 alikopa trilioni 23 ila huyu mzee mzima duuuh. Mwaka 2016 alikopa mpaka akafikia sehemu iliyoandikwa "Mkopo kasafiri"Kwa hakika Kuna mambo ni surprise aisee,nimeshangaa Sana kwamba eti kwa miaka 5 tu, tumekopa zaidi ya Trilioni 40!(Kama hii ni kweli) hii nchi tutakuwa tumerogwa haki ya Mungu, hivi kweli tunakopa pesa nyingi kiasi hicho zinakwenda wapi? Ndiyo haya madaraja, barabara, ndege na vivuko?
Kama ndiyo ina maana kila kitu tunafanya kwa kukopa? Makusanyo yetu yaliyoongezeka yanakwenda wapi?
Kama kweli haya yametokea, (kukopa zaidi ya trilioni 40 kwa miaka 5 tu) itakuwa ni UHUJUMU UCHUMI WA KIWANGO CHA JUU ZAIDI HAPA NCHINI!