Uchaguzi 2020 CCM tutafanya makosa makubwa kama tutajaribu kuzibeza hoja za Tundu Lissu

Wakati ule wa Lowassa silaha za kimkakati ilikuwa ni Msukuma na Kibajaji na "story" za mtu kujinyea. Sasa hapa ni hoja kwa hoja, bandika bandua. Hakuna tena ubabaishaji wala siasa rahisi, bali ni "facts" zenye kuthibitika na kuonekana kwa uwazi kabisa.
 
Ndiyo maana watu wenye akili,wanaoipenda nchi yao na watoto wao wanaona kumpa Magu miaka mingine mitano ni uasi kwa nchi hii.Huyu anapaswa kuondoshwa either kwa kura au nguvu.Ya Malawi yanatakiwa kutokea hapa kwetu pia
 


Huo ndiyo ukweli japo siyo mzururi
 
Ndani ya CCM sijaona mtu wa kuzijibu hoja za Lissu!!
Kazi mnayo!!
 
Ukijibishana na chizi ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu!
Yule asiyejulikana ni mzee au kijana kweli ana uwezo wa kujibu hoja za Lissu.. wakati uwezo wa kumaliza tatizo la kura za maoni na rushwa Lumumba kashachemka.
 
Ukweli Lissu atashinda urais. Magufuli atatangazwa kuwa ndiye rais.

Watu Wana hasira za mwezi wa 11 mwaka jana kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa watakomesha Kama si kulipiza.
 
Ukweli lisu atashinda uraisi. Magufuli atatangazwa kuwa ndiye raisi.

Watu Wana hasira za mwezi wa 11 mwaka jana kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa watakomesha Kama si kulipiza.
Mwamko umeongezeka
 
Lissu mwepesi sana bora Lowassa alikuwa tishio...

Kwa upinzani huu wa mwaka huu USHINDI mapemaaa mnoooo...
 
Jibu hoja iliyopo mezani, acha viroja mkuu.
Hakuna hoja hapo ni uhuni wa kupotosha watz kishetani! Unapita juu ya barabara zilizojengwa kwa usimamizi thabiti wa Magu, unafika nyumba I salama kwa Kuwa nchi ni salama unaanza kupotosha ukweli unaonekana kwa macho kabisa...ni juha na mpumba-fu tu ndio anaweza fanya hayo!
 

Vilevile mugabe aliwai kuongea hayo maneno na ni kweli zanu pf bado ipo madarakani,lakini Zimbabwe inasikisha.umeme masaa manne kwa siku.doctor wa zim analipwa laki ya tz.

Hivi unajua kwanini tra wameacha kutangaza mapato? Makusanyo yanazidi kushuka. Zimbabwe uchumi umekufa,washabiki wa zanu pf na wale walioipinga wote wamekutana Afrika kusini wakitafuta vibarua vya kufyeka nyasi huku kila mtu akimlaumu mwenzake
 

Hizi kauli za tra mapato yameshuka, sijui bandarini Malori hakuna yamehamia Msumbiji na blabla nyengine nyingi tulizisikia tangu 2016 hadi leo. Fisi anayesubiria mkono wa mwanadamu kudondoka
 
Na Mwenyekiti wao....
 

Mnatumia kila vioja na vitisho kumkatisha nani tamaa?

Kwani mkisema Rais wa Tanzania hapatikani kwa kupiga kura mtamtisha nani?

Kama damu tulishamwaga. Kama risasi tulishapigwa. Kama mauti tulishaonja tukarudi kuishi tena!

Hatuna cha kuogopa tena. Nyie ndio mnaogopa. Maana hamjawahi kuonja risasi...wala mauti...wala kumwaga damu yenu kwa ajili ya nchi hii.

Ni wakati myaonje haya safari hii ili mjifunze kuheshimu haki na kuthamini uhai wa binadamu wenzenu.

Uovu haulipi siku zote. Una mwisho. Chezeeni uchaguzi huu mwaka huu muone. Maana kama ni kumwaga damu ni zamu yenu..kama ni kuonja risasi ni zamu yenu, kama ni lazima kufa ni zamu yenu pia (japo sina hakika kama na ninyi mtarudi toka wafu kama TL). Mkiiba haki ya wengi safari hii si vibaya tuchapane ili tuheshimiane. Tuanze upya na tujenge nchi kama watanzania wenye haki miliki sawa ya nchi.

Be warned!
 
Mpaka April 2020, jumla ya deni la Tanzania lillikuwa trilioni 55.43. Kati ya hilo deni la ndani ni trilioni 14.85 na deni la nje ni trilioni 40.57 (chanzo ni hotuba ya waziri Mpango bungeni Dodoma mwezi june 2020)
 
in simple terms hujui , na ndo cdm walivo akili za bangi tu na ndo maaana mgombea wenu alibaki kupungia miti tu alivoenda dodoma
Hauna tofauti na waliokuwa Wana support ukoloni enzi TANU inatafuta uhuru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…