issa yurry
JF-Expert Member
- Apr 20, 2014
- 626
- 818
Mwaka wa 8 huu wamewaweka mashekhe ndani bila sababu
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkapa hayupo, sisi tupoItaondoka this time uzuri Mkapa hayupo ondoa shaka
Wewe uko upande upi
Sasa kama ww upo njoo huku Zanzibar usikae huko baraMkapa hayupo, sisi tupo
Niko pemba, sema unachotaka kusemaSasa kama ww upo njoo huku Zanzibar usikae huko bara
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Nyie watani wa jadi tunawamuduMkapa hayupo, sisi tupo
Uko Pemba sehemu gani kwanza hakuna mpemba ccm na wapemba wote wanajielewa ccm aliyeko Pemba huyo ni muuza sumu yapanya kunguni viroboto mendeNiko pemba, sema unachotaka kusema
Ccm ipo hata ndani ya familia yako ndiyo maana ccm hushinda kwa kishindo mara zoteUko Pemba sehemu gani kwanza hakuna mpemba ccm na wapemba wote wanajielewa ccm aliyeko Pemba huyo ni muuza sumu yapanya kunguni viroboto mende
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Jibu hoja broo usije na matusi lkn siwalaumu nyinyi matusi mushazoea kwani mumerisi kwa shangazi yenu asha bakariCcm ipo hata ndani ya familia yako ndiyo maana ccm hushinda kwa kishindo mara zote
Kama hujavurugwa nioneshe neno moja tusi katika post yangu: ndiyo maana watu wa ainayako wanahitaji kuongozwa na kuelekezwaJibu hoja broo usije na matusi lkn siwalaumu nyinyi matusi mushazoea kwani mumerisi kwa shangazi yenu asha bakari
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Mukiambiwa ccm hamna akili muna hamaki hebu jiulize jee kuna mungano wowote Tanzania walio ungana na nchi kama uengereza ,sweede, Canada, German jee ipo tarehe walioungana na nchihizi mbona kuna watanganyika wanishi huku na wazanzibari wala kububudhiwaJe na hawa wapenda walioko tanganyika mnawapeleka wapi mabolizozo nyie
Sasa mambo ya familia yameingiaje paleKama hujavurugwa nioneshe neno moja tusi katika post yangu: ndiyo maana watu wa ainayako wanahitaji kuongozwa na kuelekezwa
Hili la Masheikh anatakiwa aulizwe hadharani, namuona ana sijda kwa hio anaswali.Kama mwinyi ni mzanzibar huu ni mwaka wa 20 yuko bungeni niliwahi kumsikia lini akaitetea Zanzibar au nyengine yy ni waziri wa vyombo vya ulinzi mbona mpaka Leo ushahidi hauja kamilika kuhusu mashehe wale wala yy kuwatetea mashehe wale
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Siyo sijida ile lile nipaku la ngoziHili la Masheikh anatakiwa aulizwe hadharani, namuona ana sijda kwa hio anaswali.
&*$%#@@*#*#**#*@ aaakoWazanzibari wana ulemavu, ulemavu wa akili. Ni vema kuchaguliwa mtu wa kuwaongoza
Ndiyo rais wako mtarajiwa huyo muheshimu tafadhaliUnaweza kunitajia shule aliyosoma mwinyi hapa Zanzibar au ukatuma clip moja tu mwinyi akiwa bungeni kuitetea Zanzibar
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Kuilinda amani ni gharama, wajinga hawawezi kuachiwa waiporomoshe. Walinzi wa amani hao wape supportWeek mzima hii Pemba inapelekewa vikosi tu utasema kuna vita
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
nadhani huu ndo utakuwa muhula wa mwisho kwa Seif kugombea Zanzibar(umri) hivyo hana cha kupoteza.Wacheni kujipa moyo maalim anashinda kwa asilimia 89 kama watakubali kua na sanduku la kura wasipokubali kinachofuata nikitendo cha Malawi sijaonapo dunia hii dola ikaishinda nguvu ya umma
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app