Uchaguzi 2020 CCM wajiweke kisaikolojia kujiandaa na matokeo yoyote

Uchaguzi 2020 CCM wajiweke kisaikolojia kujiandaa na matokeo yoyote

Prof Koboko

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2020
Posts
350
Reaction score
2,550
CCM Kuna mahali nimekosea, target mbaya, maandalizi mabaya na mipango pia imekaa vibaya. Mzee Warioba alisema kwa Tundu ni mtu ambaye anazijua sana sheria kupambana naye penye haki itakuletea matatizo makubwa.

Kwa hali ilivyo sasa kuna uwezekano ulio wazi ni kwamba CCM wajiweke kisaikolojia kujiandaa na matokeo yeyote. Ukweli uko wazi CCM wananchi hawakipendi labda kwa ukongwe wake au kushindwa kutimiza ahadi zake kwa miaka 59 iliyopita.
 
Narudia kushindwa kwa Lissu hakuna ubishi, muhimu sasa ni kuangalia na kushughulika na yatokanayo na uchaguzi 2020.

Lissu baada ya kushindwa atakuwa anahasira kwa vile wako wanaomdanganya na kujidanga eti atashinda uchaguzi. Mkakati wake ili kuficha aibu atataka kuionesha dunia hakushindwa kihalali. Hili halihitaji akili kubwa kuliona, hata wakati huu wa kampeni anachojaribu kufanya ni kuonesha uchaguzi hauwezi kuwa wa huru na haki. Ili, ili, ili, ili... baada ya kushindwa kitu ambacho hata yeye anajua anaenda kushindwa. Atumie kushindwa kwake kama silaha ya maadui wa ndani na nje ya Taifa la Tanzania. Atazunguka Ulaya na Marekani kuhakikisha anaihujumu nchi kwa kusema uchaguzi wa Tanzania haukuwa haki na huru. Kaporwa ushindi na uongo mwengine wa aina hiyo.

Hili ni muhimu lishughulikiwe mapema kabla ya kuchelewa. Maadui wa ndani na nje ya Tanzania wata hamishia vita vyao katika kuihujumu serikali kwa njia hiyo. Kumbuka hawa nia yao ni kuhakisha Mh Rais JPM na serikali chini ya uongozi wake hawafanikiwi. Mafanikio kama haya yanayo onekana kwa wazi wao hawayataki maana ni tishio kwa mstakabali wao mzima, hivyo wanafanya kila njia kupotosha ukweli.
 
Narudia kudhondwa kwa Lissu hakuna ubishi, muhimu sasa ni kuangalia na kushughulika na yatikanayo na uchaguzi 2020.

Lissu baada ya kushindwa atakuwa anahasira kwa vile wako wanaomdanganya na kujidanga eti atashinda uchaguzi. Mkakati wake ili kuficha aibu atataka kuionesha dunia hakushindwa kihalali...
Si Kuna kijana Kiongozi wenu anasema safari hii mtatumia Sindano ya Sumu kummaluza Lissu,Kama Mungu alimlinda na Risasi 30+hiyo Sumu itawarejea ninyi na kizazi chenu!
 
Si Kuna kijana Kiongozi wenu anasema safari hii mtatumia Sindano ya Sumu kummaluza Lissu,Kama Mungu alimlinda na Risasi 30+hiyo Sumu itawarejea ninyi na kizazi chenu!

Lissu anatakiwa ashitakiwe kwa yale aliyokuwa akiyafanya huko Marekani na Ulaya kabla ya kurudi hapa nchini. Yule mlinzi wake anatakiwa awe na pingu mkononi baada tu 28/10. Atiwe nguvuni akajibu tuhuma zake.
 
CCM haijawahi shindwa, hakitashindwa. Kama mlishindwa kukitoa kidude 2015 kwa ukawa, safari hii hakichomoki.Chama cha Mbowe kimekuwa dhaifu Sana sasa kuliko awali. JPM tano tena.
 
CCM haijawahi shindwa, hakitashindwa. Kama mlishindwa kukitoa kidude 2015 kwa ukawa, safari hii hakichomoki.Chama cha Mbowe kimekuwa dhaifu Sana sasa kuliko awali. JPM tano tena.
Chadema imezidi kuwa kubwa asaiv ndio chama kilichoenea zaidi maeneo mengi adi kwenye ngome za ccm mfano geita, simiyu nk.we unazani kufanya mkutano bariadi kwa chama cha upinzani ni kazi rahisi? lakini mwamba lisu kakiwasha na raia wamekubali nyie endeleeni na polojo zetu but mjue huu ndio mwisho wenu
 
CCM Kuna mahali nimekosea, target mbaya, maandalizi mabaya na mipango pia imekaa vibaya. Mzee Warioba alisema kwa Tundu ni mtu ambaye anazijua sana sheria kupambana naye penye haki itakuletea matatizo makubwa.

Kwa hali ilivyo sasa kuna uwezekano ulio wazi ni kwamba CCM wajiweke kisaikolojia kujiandaa na matokeo yeyote. Ukweli uko wazi CCM wananchi hawakipendi labda kwa ukongwe wake au kushindwa kutimiza ahadi zake kwa miaka 59 iliyopita.
Ni juha tu atakayekipigia CCM kura. Si chama tu, hata Jiwe kama mtu binafsi hauziki na ni jiko la kufua chuki nchi nzima. Uwepo wake Ikulu yetu unapaisha hasira kubwa inayopenya mawingu kumfikia Allah ikuwa na bango "dhalimu anapotawala nchi huugua".
 
Narudia kushindwa kwa Lissu hakuna ubishi, muhimu sasa ni kuangalia na kushughulika na yatokanayo na uchaguzi 2020.

Lissu baada ya kushindwa atakuwa anahasira kwa vile wako wanaomdanganya na kujidanga eti atashinda uchaguzi. Mkakati wake ili kuficha aibu atataka kuionesha dunia hakushindwa kihalali...

Mpaka tunavyoongea idadi ya wapiga kura ni ya kupika, unatarajia matokeo yatakuwa halali? Mwenendo mzima wa uchaguzi una viashiria vyote vya matokeo kuwa ya kumbeba Magufuli na ccm yake, rejea idadi ya wapinzani walioenguliwa kwa hila na tume ya uchaguzi.

Tutaweka na ushahidi wa dhuluma zitakazofanyika hapa. Ombeni ukondoo a.k.a amani iendelee na uchaguzi huu, kinyume na hapo tutaenda kwenye hitimisho sahihi.
 
Lissu anatakiwa ashitakiwe kwa yale aliyokuwa akiyafanya huko Marekani na Ulaya kabla ya kurudi hapa nchini. Yule mlinzi wake anatakiwa awe na pingu mkononi baada tu 28/10. Atiwe nguvuni akajibu tuhuma zake.
Kwanini musimpige shindano ya sumu kama munavo jinadi majukwaani

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli CCM wajiandae maana USHINDI wa JPM utakuwa wa KISHINDO KIKUU.

October 28th kura zote za ndio ni kwa JPM

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Narudia kushindwa kwa Lissu hakuna ubishi, muhimu sasa ni kuangalia na kushughulika na yatokanayo na uchaguzi 2020.

Lissu baada ya kushindwa atakuwa anahasira kwa vile wako wanaomdanganya na kujidanga eti atashinda uchaguzi. Mkakati wake ili kuficha aibu atataka kuionesha dunia hakushindwa kihalali...
CCM itashinda bila kupigiwa kura? Kote waliko tegemea zimegeuka ngome kuu za CHADEMA. Angalia kilicho token Bariadi, Lamadi, Ukerewe, Simiyu yote na Kagera yote bado CCM wana chao tena? Mtwara na Lindi watapata kura sifuri. Mbeya ndio usiseme. Kufeni salama CCM tumechoka kuwasikia.
 
Uchaguzi huu CCM inakwenda kushinda kwa kishindo kwakua upinzani nidhaifu kuliko wakati wowote tangu kuanzishwa kwa vyama vingi.
 
Kwanini musimpige shindano ya sumu kama munavo jinadi majukwaani

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app


Kumbe ni kujinadi majukwaani. Hata Lissu huoni anavyo jinadi kushitaki the Hague kama vile mahakama hiyo imegeuka mpiga kura Tanzania.. Lissu asubri hukumu yake kwenye sanduku la kura 28/10 wala haiko mbali siku 9 tu. Na baada ya hapo ni kuhakikisha hatoroki nchi, kwenda kuendelezea uasi wake Marekani na Ulaya.
 
CCM itashinda bila kupigiwa kura? Kote waliko tegemea zimegeuka ngome kuu za CHADEMA. Angalia kilicho token Bariadi, Lamadi, Ukerewe, Simiyu yote na Kagera yote bado CCM wana chao tena? Mtwara na Lindi watapata kura sifuri. Mbeya ndio usiseme. Kufeni salama CCM tumechoka kuwasikia.

Siku 9 sio mbali usikimbie hapa. Sioni mashoga Tanzania wa kumpa Lissu kura hata 0.001%.
 
Back
Top Bottom