Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 5,203
- 3,913
Wanapata airtime kwa sababu ya michakato ya kuelekea uchaguzi wao mkuu, muda ambao CCM walikuwa kimya na wajumbe wakiwa mikoani kwao wakisubiri mkutano mkuu Dodoma.Ila chadema wakati huu wamechanga karata vizuri sana
ππππ usisahau maua yako Mkuu.Mdogo mdogo watanzania wanaamka
Lodge gani ina "shoti taimu" ndugu!!???Mdomo wa binadamu haujaumbiwa kusema positives and negatives kwa muda mmoja.
Hauwezi kuzungumzia biashara ya Lodge wakati huo huo ukaongelea maambukizi ya Vvu vinavyosababishwa kupitia biashara yako hiyo ya 'gesti'!
Kwa hiyo u ataka kusema watu wasifanye uasherati kuepuka Vvu, ili kipato cha 'shoo taimu' unachovuna likauke?
Siwezi kuachana nazo maana nimewahi poteza binti kwa kujiua baada ya kugundua ameambukizwa VVU, na kosa ni la sisi wazazi kutokumueleza ukweli kuhusu ngono, mapenzi, mahusiano na magonjwa ya ngono.achana na habari za VVU mkuu
Sio mkutano, ni tamasha la zinaa na pombe Dodoma
Sad! Ukimwi upo. Ila watu wameamua kupuuza elimu ya afya na kujikinga na maambukiziSiwezi kuachana nazo maana nimewahi poteza binti kwa kujiua baada ya kugundua ameambukizwa VVU, na kosa ni la sisi wazazi kutokumueleza ukweli kuhusu ngono, mapenzi, mahusiano na magonjwa ya ngono.
3tatu'nini!Lodge gani ina "shoti taimu" ndugu!!???
Maambukizi ya VVU ni upumbavu na ujuha wa mtu.
Condoms zipo, kwa nini muende pekupeku!!??
Mimi lodges zangu kila chumba naweka paketi mbili za condom tatu tatu kila siku.
Hao jamaa kodi zetu wamekutana ni kuzikula na kukulanaKweli aise hili nimelishuhudia jana hapa lodge za makole