Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 5,203
- 3,913
Wanapata airtime kwa sababu ya michakato ya kuelekea uchaguzi wao mkuu, muda ambao CCM walikuwa kimya na wajumbe wakiwa mikoani kwao wakisubiri mkutano mkuu Dodoma.Ila chadema wakati huu wamechanga karata vizuri sana