Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Nice muda wa kupiga pesa ya majambaziDah kumbe kuna fursa kabisa Dom kipindi hiki...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nice muda wa kupiga pesa ya majambaziDah kumbe kuna fursa kabisa Dom kipindi hiki...
Endeleeni na jitihada hizo labda mtachukua nchi ndani ya miaka 150 ijayoBado unadhiilisha Ujinga wako hapa
Hawa nyumbu ni mburura kabisa kumbe, weupeeeee kuvichwa. Nimewajua kipindi hiki. Kistratejia ccm Iko mbaaaaaali mno kutoka walipo hawa. Kwa Hali ilivyo, nauona ushindi rahisi wa 97% wa Samia hapo mwezi wa 10usiwaseme watu sema we uko bize na chadomo wanavyoparuana. Kile siyo chama ni kikundi cha wahuni, hakuna nidhamu, hakuna mkubwa, wote kambale. CCM kuna nidhamu ya hali ya juu sana huwezi utovu wa nidhamu k, wa chadomo
kusubiria bungo chini ya mperaKwa wizi sawa.
Ila ujue tu, wizi hauwezi kutamalaki milele, umma umeshachoka na kukinai
150?!, mbona michache iyo, mpaka infinity QbaakeEndeleeni na jitihada hizo labda mtachukua nchi ndani ya miaka 150 ijayo
Ule ushindi wa Nape na yule aliyekuwa mkuu wa mkoa longido au ule aliosema Januari hadi akaleftishwa?Hawa nyumbu ni mburura kabisa kumbe, weupeeeee kuvichwa. Nimewajua kipindi hiki. Kistratejia ccm Iko mbaaaaaali mno kutoka walipo hawa. Kwa Hali ilivyo, nauona ushindi rahisi wa 97% wa Samia hapo mwezi wa 10



Wapeleke Area. C kwa biesta vipo vyumba mpaka vya alfu 3. Msiende na majuba yenu ya chama Biesta ni chadema pure.Dodoma imetapika.. kupata sehemu ya kulala sasa hivi ni shida
Kuna burdani gani huko bwasheeeWapeleke Area. C kwa biesta vipo vyumba mpaka vya alfu 3. Msiende na majuba yenu ya chama Biesta ni chadema pure.
Kuna burdani gani huko bwasheee
Utapata watoto wa st john's university ukitaka ulanzi wewe tu chapati za jero jero chipsi za buku 2 humalizi mkuu. Tatizo Biesta mpinzani ana allergy na CCMKuna burdani gani huko bwasheee
Hilo jabo dogooo sanaaa mkuu wangu.. nataka hiyo ya elfu tatu.. itapendezaaUtapata watoto wa st john's university ukitaka ulanzi wewe tu chapati za jero jero chipsi za buku 2 humalizi mkuu. Tatizo Biesta mpinzani ana allergy na CCM
Wewe tu mkuu chukua boda mwambie akupeleke Area C kwa Biesta Usivae Sare za chama Utaishia GetiniHilo jabo dogooo sanaaa mkuu wangu.. nataka hiyo ya elfu tatu.. itapendezaa
Kinachonichekesha ni kwamba cdm muda wote wanaijadili CCM. Yaani Wana hofu haoooo, wakati huo CCM wako kimyaaa wanaendelea na mambo yao Huku wakiwa hata hawajui kama Kuna cdm.
Kule Dodoma Kuna watu wenye akili, ueledi, waliostaarabika na wasio washamba wameyapangilia mambo yao vizuuuuuuri kabisa yanaendelea kwa ustadi wa Hali ya juu.........hakuna vichambo Wala utafutaji wa sifa.
Enyi nyumbu msio na maono, kinachoendelea ni chengesha bwege. Hao wachache wanaowafuatilia na kuwaandika wapo kwa ajili ya huo mvutano na hivyo vijembe vinavyoendelea huko na si nini' kinajadiliwa. Ni kawaida hiyo kwa maisha yetu ya uswahilini. Kuwe na shughuli muhimu hapa, halafu wapite bodaboda weeengi na mahoni yao, watu watasimamosha masikio kwanza kuangalia tu kina nini', wakishapata jibu basi wanarudi kuendelea a shughuli zao. Huko Kuna chengesha bwege la kufa mtu kwa taarifa yenu. Issue ni nini kinafuata baada ya hapo, na hicho ndicho wenye akili kule Dodoma wanakisubiri.
Kila siku mpo kituo hiki, kituo kile. Mmewaona kule Dodoma wanahangaika kwenye media?!!!! Kuna maana kubwa kwa mwenye akili.........nyie endeleeni tu kufunga vibwebwe mkichekelea kutrend sababu ya ugomvi. Mlitarajiaje kwani?!!!! Kwanza kuchekelea kutrend ni ujinga. Chekelea mikakati. Mnaenda kupigwa pigo Moja takatifu kwa nguvu ndogo kabisa hamtoamini. Kalagha bao.
Ccm daimaWakuu,
Safari hii CCM imedoda, Watanzania wako bize na mkutano wa CHADEMA.
Mlianza na kiki ya mabasi ambayo tunajua ni upigaji, watanzania wamechamba kizungu halafu wamerudi kwenye jambo la maana kwa sasa.![]()
Hilo limebuma eti mnaigiza kama bongo movie kujipa umuhimu! Mdogo mdogo watanzania wanaamka
Upi huo!!?utabiri wa sheikh YAHYA lzma utimie
Mbona mbowe amekimbia mdahalo 😂 au naye ameenda DodomaWakuu,
Safari hii CCM imedoda, Watanzania wako bize na mkutano wa CHADEMA.
Mlianza na kiki ya mabasi ambayo tunajua ni upigaji, watanzania wamechamba kizungu halafu wamerudi kwenye jambo la maana kwa sasa.![]()
Hilo limebuma eti mnaigiza kama bongo movie kujipa umuhimu! Mdogo mdogo watanzania wanaamka
CCM ilianza na TANU na ASP miaka mingi kabla Lissu hajazaliwa.Siku ambayo dola ikaamua kujitenga na hiki chama basi ndio utakua mwisho wa Safari yao wasome alama za nyakati inachukua main stream media zote wasanii wote A class kuimba na kuigiza media personal wakubwa wote still CDM na mapungufu yao wana trend hii tunaita ufunuo wa TAL naamini akikamata kile kiti pale akajenga team yake jumuishi na kwakua anauungwaji mkono na makundi yote na wanataalumu basi 2025 inaweza ikawa ngumu sana kwa vegetables huu ni ufunuo hii ni kazi yakitume