HORSE POWER
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 2,238
- 1,577
Habari hizi za makabila zitaturudisha nyuma katika harakati zetu za kuutafuta 'ukombozi wa kweli.'Tz ipo kwenye mikono ya madhalimu na walafi.Jitihadaha zetu ni kupambana kuwang'oa hawa wanaokula bila ya kunawa na kufuta mikono badala kuangalia ukabila.