CCM wamenasa kwenye mtego wa Wasukuma, hawatoki tena

CCM wamenasa kwenye mtego wa Wasukuma, hawatoki tena

Nimependa tu hiyo no. 7.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app

..hilo hawataki kulisema ndugu zetu wa kanda ya ziwa.

..Samuel Sitta alikuwa Spika akaishia kujenga ofisi ya kifahari. Je, hilo lilikuwa hitaji la wapigakura wake?

..Magufuli naye kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa Chato wakati wa Mwanza haujakamiliki. Je, Chato wanahitaji huo uwanja?

..Sasa Magufuli ameondoka ndugu zetu wa kanda ya ziwa wanalaumu jamii nyingine kwa kuwakwamisha.
 
Sisi wala hatuna shida tunapambana kilimo na kufuga maji hata km tufate km 43 tutayafata tunapikipiki na baiskeli harafu wala haruna roho mbaya.Viongozi wenyewe wameanza kujishtukia tu maana sisi ndo tunawapa kula harafu wanatuona wapuuuzi furani.Huwezi peleka maji mpaka singida wakati ziwa lipo mwanza na wakazi wa mwanza wanashida ya maji hivi hilo linaingia akilini.
Ziwa liko Mwanza tu kweli au
 
Wasukuma ni wengi zaidi Tanzania, ni wachapakazi kwa asili. Wasukuma na wanyamwezi idadi Yao ni kubwa inakaribia theluthi ya Watanzania wote. Pamoja na wingi wao, uchapakazi wao mkubwa na wingi wa rasilimali zilizoko kwenye mikoa Yao, wasukuma walikuwa sio chochote Wala lolote huko nyuma kwenye awamu za kwanza hadi ya nne (4).

Mikoa ya wasukuma pamoja na kuzalisha kwa wingi dhahabu, almasi, ng'ombe, pamba, viazi vitamu, mpunga na Katanga lakini walikuwa hawana barabara za lami, shule, hospital Wala umeme kuliko mikoa ya kaskazini , nyanda za juu kusuni na masharaki. Nguvu na rasilimali zao zilikuwa zinatumika zaidi kuleta maendeleo huko kaskazini na mashariki.

Awamu ya tano (5) ilileta mapinduzi makubwa sana kwa wasukuma na wanyamwezi, imewafungua macho na kuiona nafasi Yao kwenye taifa. Rais Magufuli (Msukuma) hakupepesa macho Wala kumung'unya maneno katika kuwalipa wasukuma kile walichonyang'anywa na "wahuni" tangu wakati wa ukoloni hadi kwenye awamu ya nne. Madini, ng'ombe na maliasili kama mbao za tabora vilikuwa vikijenga barabara, reli, viwanja vya ndege, hospital, mashule na kusambaza maji na umeme kwenye Kanda nyingine.

JPM hasira hiyo iliionyesha waziwazi kwa kupeleka miradi mingi Kanda ya ziwa na kuacha kupeleka miradi kama hiyo kwenye Kanda zilizokuwa zikipendelewa na wakoloni na watawala baada ya Uhuru.

Wasukuma Sasa wamejitambua na wamegeuka kuwa zimwi kubwa kwa watawala watakaofuata baada ya JPM. Itafikia siku wasukuma watakuwa kama wakikuyu wa Kenya kwenye siasa za CCM na Tanzania, ukabila utarudi upyaaaa!

Uteuzi wa Mh. Dotto Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu na Mh. Makonda kuwa Katibu mwenezi, itikadi na msemaji wa CCM ni ushahidi wa jambo hili; bila kufanya hivi CCM itaanguka. Na Iko siku huko mble mgombea Urais lazima awe msukuma au aungwe mkono na wasukuma kwa mashariti magumu.

Wakoloni na Nyerere waliona mbali sana kuwatenga wasukuma kwenye nyazifa za juu.
Kuna jamii Huwa hawachapi kazi? Acha upumbavu

Hao ni wengi na wanazaa.hovyo.kwa sababu hawana Elimu ya uzazi.

Kwa ccm kunaswa ni sahihi na inatishia mstikakabali wa Nchi ikiwa siasa za kutegemea Kanda na ukabila zitashika hatamu huko tuendako.
 
Wasukuma ni wengi zaidi Tanzania, ni wachapakazi kwa asili. Wasukuma na wanyamwezi idadi Yao ni kubwa inakaribia theluthi ya Watanzania wote. Pamoja na wingi wao, uchapakazi wao mkubwa na wingi wa rasilimali zilizoko kwenye mikoa Yao, wasukuma walikuwa sio chochote Wala lolote huko nyuma kwenye awamu za kwanza hadi ya nne (4).

Mikoa ya wasukuma pamoja na kuzalisha kwa wingi dhahabu, almasi, ng'ombe, pamba, viazi vitamu, mpunga na Katanga lakini walikuwa hawana barabara za lami, shule, hospital Wala umeme kuliko mikoa ya kaskazini , nyanda za juu kusuni na masharaki. Nguvu na rasilimali zao zilikuwa zinatumika zaidi kuleta maendeleo huko kaskazini na mashariki.

Awamu ya tano (5) ilileta mapinduzi makubwa sana kwa wasukuma na wanyamwezi, imewafungua macho na kuiona nafasi Yao kwenye taifa. Rais Magufuli (Msukuma) hakupepesa macho Wala kumung'unya maneno katika kuwalipa wasukuma kile walichonyang'anywa na "wahuni" tangu wakati wa ukoloni hadi kwenye awamu ya nne. Madini, ng'ombe na maliasili kama mbao za tabora vilikuwa vikijenga barabara, reli, viwanja vya ndege, hospital, mashule na kusambaza maji na umeme kwenye Kanda nyingine.

JPM hasira hiyo iliionyesha waziwazi kwa kupeleka miradi mingi Kanda ya ziwa na kuacha kupeleka miradi kama hiyo kwenye Kanda zilizokuwa zikipendelewa na wakoloni na watawala baada ya Uhuru.

Wasukuma Sasa wamejitambua na wamegeuka kuwa zimwi kubwa kwa watawala watakaofuata baada ya JPM. Itafikia siku wasukuma watakuwa kama wakikuyu wa Kenya kwenye siasa za CCM na Tanzania, ukabila utarudi upyaaaa!

Uteuzi wa Mh. Dotto Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu na Mh. Makonda kuwa Katibu mwenezi, itikadi na msemaji wa CCM ni ushahidi wa jambo hili; bila kufanya hivi CCM itaanguka. Na Iko siku huko mble mgombea Urais lazima awe msukuma au aungwe mkono na wasukuma kwa mashariti magumu.

Wakoloni na Nyerere waliona mbali sana kuwatenga wasukuma kwenye nyazifa za juu.
Haha kumbe usukuma una mambo huko mbele kuna utusi na unyarwanda uko mbele soon kwa watanzania
 
Wasukuma ni wengi zaidi Tanzania, ni wachapakazi kwa asili. Wasukuma na wanyamwezi idadi Yao ni kubwa inakaribia theluthi ya Watanzania wote. Pamoja na wingi wao, uchapakazi wao mkubwa na wingi wa rasilimali zilizoko kwenye mikoa Yao, wasukuma walikuwa sio chochote Wala lolote huko nyuma kwenye awamu za kwanza hadi ya nne (4).

Mikoa ya wasukuma pamoja na kuzalisha kwa wingi dhahabu, almasi, ng'ombe, pamba, viazi vitamu, mpunga na Katanga lakini walikuwa hawana barabara za lami, shule, hospital Wala umeme kuliko mikoa ya kaskazini , nyanda za juu kusuni na masharaki. Nguvu na rasilimali zao zilikuwa zinatumika zaidi kuleta maendeleo huko kaskazini na mashariki.

Awamu ya tano (5) ilileta mapinduzi makubwa sana kwa wasukuma na wanyamwezi, imewafungua macho na kuiona nafasi Yao kwenye taifa. Rais Magufuli (Msukuma) hakupepesa macho Wala kumung'unya maneno katika kuwalipa wasukuma kile walichonyang'anywa na "wahuni" tangu wakati wa ukoloni hadi kwenye awamu ya nne. Madini, ng'ombe na maliasili kama mbao za tabora vilikuwa vikijenga barabara, reli, viwanja vya ndege, hospital, mashule na kusambaza maji na umeme kwenye Kanda nyingine.

JPM hasira hiyo iliionyesha waziwazi kwa kupeleka miradi mingi Kanda ya ziwa na kuacha kupeleka miradi kama hiyo kwenye Kanda zilizokuwa zikipendelewa na wakoloni na watawala baada ya Uhuru.

Wasukuma Sasa wamejitambua na wamegeuka kuwa zimwi kubwa kwa watawala watakaofuata baada ya JPM. Itafikia siku wasukuma watakuwa kama wakikuyu wa Kenya kwenye siasa za CCM na Tanzania, ukabila utarudi upyaaaa!

Uteuzi wa Mh. Dotto Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu na Mh. Makonda kuwa Katibu mwenezi, itikadi na msemaji wa CCM ni ushahidi wa jambo hili; bila kufanya hivi CCM itaanguka. Na Iko siku huko mble mgombea Urais lazima awe msukuma au aungwe mkono na wasukuma kwa mashariti magumu.

Wakoloni na Nyerere waliona mbali sana kuwatenga wasukuma kwenye nyazifa za juu.
Kwamba kanda ya ziwa ni kama IOA Marekani
 
Ni mada nzuri yenye ka ukweli fulani hivi ila inapalilia ukabila na ukanda hivyo basi mada imekosa ueledi na kuonekana ni ya kikabila, upumbavu mtupu na ujinga hatutaki kurudi huko
Ndo tumesharudi Ivoo, Naibu Waziri Mkuu kutoka kule na katibu mwenezi kutoka hukohuko na mafao ya wajane yameshapitishwa. Kanda ya ziwa ni kete ya ushindi. Haikuwa hivyo kabla ya ujio wa JPM.
 
Hivi izo takwimu kuwa wasukuma ni wengi zaidi mnazitoa wapi?

Ndo mana tunasema hapa kila siku kuwa nyie watu ni wajinga sana na hamstahili kuongoza hii nchi


Tanzania ina mikoa 26 na idadi ya watu milioni 61. Mnataka kusema wasukuma nchi hii ni zaidi ya milioni 31? Nyie watu ni wajinga na wapuuzi sana kwa kweli!!


Huu ujinga wenu embu msituletee hapa. Hili ni jukwaa la great thinkers.
Screenshot_20231112_233555_Chrome.jpg

Siyo 31 millions, ni just 10 millions; or simply just over 16% of the total population kwenye nchi yenye makabila zaidi ya 120.

Kwa maneno mengine, makabila 119 yaliyobaki ndiyo kwa ujumla wao wanatengeza million 50 zinazobaki.
 
Mtego gani? Mtego ni upi? Kwanini kuna mtego?
JPM alianzisha miradi mingi mno Kanda ya ziwa, wasukuma wanataka miradi yote hiyo ikamilishwe na Samia la sivyo......
 
Wasukuma ni wengi zaidi Tanzania, ni wachapakazi kwa asili. Wasukuma na wanyamwezi idadi Yao ni kubwa inakaribia theluthi ya Watanzania wote. Pamoja na wingi wao, uchapakazi wao mkubwa na wingi wa rasilimali zilizoko kwenye mikoa Yao, wasukuma walikuwa sio chochote Wala lolote huko nyuma kwenye awamu za kwanza hadi ya nne (4).

Mikoa ya wasukuma pamoja na kuzalisha kwa wingi dhahabu, almasi, ng'ombe, pamba, viazi vitamu, mpunga na Katanga lakini walikuwa hawana barabara za lami, shule, hospital Wala umeme kuliko mikoa ya kaskazini , nyanda za juu kusuni na masharaki. Nguvu na rasilimali zao zilikuwa zinatumika zaidi kuleta maendeleo huko kaskazini na mashariki.

Awamu ya tano (5) ilileta mapinduzi makubwa sana kwa wasukuma na wanyamwezi, imewafungua macho na kuiona nafasi Yao kwenye taifa. Rais Magufuli (Msukuma) hakupepesa macho Wala kumung'unya maneno katika kuwalipa wasukuma kile walichonyang'anywa na "wahuni" tangu wakati wa ukoloni hadi kwenye awamu ya nne. Madini, ng'ombe na maliasili kama mbao za tabora vilikuwa vikijenga barabara, reli, viwanja vya ndege, hospital, mashule na kusambaza maji na umeme kwenye Kanda nyingine.

JPM hasira hiyo iliionyesha waziwazi kwa kupeleka miradi mingi Kanda ya ziwa na kuacha kupeleka miradi kama hiyo kwenye Kanda zilizokuwa zikipendelewa na wakoloni na watawala baada ya Uhuru.

Wasukuma Sasa wamejitambua na wamegeuka kuwa zimwi kubwa kwa watawala watakaofuata baada ya JPM. Itafikia siku wasukuma watakuwa kama wakikuyu wa Kenya kwenye siasa za CCM na Tanzania, ukabila utarudi upyaaaa!

Uteuzi wa Mh. Dotto Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu na Mh. Makonda kuwa Katibu mwenezi, itikadi na msemaji wa CCM ni ushahidi wa jambo hili; bila kufanya hivi CCM itaanguka. Na Iko siku huko mble mgombea Urais lazima awe msukuma au aungwe mkono na wasukuma kwa mashariti magumu.

Wakoloni na Nyerere waliona mbali sana kuwatenga wasukuma kwenye nyazifa za juu.
Kwahiyo revenue ya utalii ambayo inapita ya dhahabu nayo asili yake ni Usukumani?
 
View attachment 2812121
Siyo 31 millions, ni just 10 millions; or simply just over 16% of the total population kwenye nchi yenye makabila zaidi ya 120.

Kwa maneno mengine, makabila 119 yaliyobaki ndiyo kwa ujumla wao wanatengeza million 50 zinazobaki.
Hizo data za wapi? Mnajiandikia huko kwenye mitandao alafu unaleta humu kama proof??

Hizo ni takwimu za kupika tu hazina ukweli wowote
 
Zile siasa za kishamba za dhalimu lazima zitaendelea kuwa ni athari hasi, na alikuwa anafumbiwa macho. Niliwahi kusema anaweza kuua upinzani kinyume kabisa na utashi wa wananchi, lakini kutaanza kujitokeza upinzani usio na afya wa kikabila. Na sasa tunaelekea huko kwa kasi. Ngoja tuone hatima yake.
Sawa chukua ka zawadi sasa
20231113_103301.jpg
 
Kwa taarifa yako kama hujawahi kujua basi jua leo kwamba kati ya watu walio shangilia kwa imani ya ndani kabisa kifo cha Magufuli viongozi wa juu wa CHAMA CHA MAPINDUZI ( CCM) pamoja na makada wa daraja la kwanza na daraja pili.
Sio kwamba makada wa juu wanawapenda wasukuma, lahashah, lakini inawabidi wawapende kutoka na upepo wa urais 2025 unavyovuma.
 
Tukisema wasukuma tuna maana kanda ya ziwa. Mhaya , mkurya, mkerewe , mjita, msimbiti nk wote ni wasukuma. Ndio walionyimwa elimu na maendeleo ya vitu kama shule , barabara na maji . Utajiri wao wa maliasili vilipelekwa kwingine ili wazidi kuwa duni.

Kwa juhudi zao wamepambana na kujitambua. Leo lazima mgombea yeyote aende kanda ya ziwa akubalike ndipo ashinde.


Kumbuka wasukuma , wazaramo na wairinga wote ni wamoja kiitikadi
Misitu yao minene ya mininga, miyombo na mivule alisombwa na wajanja kutoka kaskazini na wao kuachwa ndani ya matembe. Wahuni walipeleka umeme hadi kwenye mashamba yao ya migomba huku wasukuma wakiachwa gizani na mashimo yao ya almasi na dhahabu. JPM alipokuja alisimamisha miradi yote kule kwa "wahuni" ili arekebishe kwanza adhali za ukoloni na awamu 4 zilizopita
Miradi mingi hatuipeleka kwa wasukuma wengi ila alipeleka Chato. Wasukuma hawakai Chato tu.
Inatia hasira sana, JPM alikuwa mbunge na waziri wa ujenzi kwa miaka mingi, alikuwa akitumwa kujenga barabara na madaraja kwenye mikoa, wilaya, tarafa na vijiji vya watu wengine lakini kwao kukiwa vumbi tupu. Akagundua kuwa factor kubwa ni nafasi ya urais, umakamo wa rais au uwaziri mkuu. Mzee Mkapa alipompatia kandarasi ya kuwa Rais alijaribu kufanya mambo mengi sana kwa muda mfupi sana kule kwao kana kwamba alijua hatakuwa na maisha marefu. Tabia hii ya watu kutumia nafasi zao kujiletea maendeleo yao, ya familia, kabila na kanda walikotoka ndiyo itaibua na kuimarisha siasa za ukabila na ukanda.
 
Kuna jamii Huwa hawachapi kazi? Acha upumbavu

Hao ni wengi na wanazaa.hovyo.kwa sababu hawana Elimu ya uzazi.

Kwa ccm kunaswa ni sahihi na inatishia mstikakabali wa Nchi ikiwa siasa za kutegemea Kanda na ukabila zitashika hatamu huko tuendako.
CCM ni chama kikubwa chenye uzoefu usikilinganishe na vyama vingine
 
JPM alianzisha miradi mingi mno Kanda ya ziwa, wasukuma wanataka miradi yote hiyo ikamilishwe na Samia la sivyo......
Miradi mingi alianzisha Chato siyo Kanda ya Ziwa. Daraja la Busisi Kigongo nalo labda alianzisha kwa kuwa litapitisha magari kwenda Chato. Vivuko kwenye Ziwa Victoria viko vingi tu.
 
Back
Top Bottom