CCM wamenasa kwenye mtego wa Wasukuma, hawatoki tena

CCM wamenasa kwenye mtego wa Wasukuma, hawatoki tena

Unajua baada ya kufariki magufuli kosa kubwa Sana lilifanyika ndani ya ccm wenyewe kwa kuanzisha mashambulizi ya wazi kabisa kwenye media kwa kumtukana magufuli,kubagadha, kumkejeli marehemu,Mara eti wazuri hawafi na kuanzisha majina ya ajabu eti SUKUMA GANG,hadharani bila ya ccm kukemeana wenyewe ndani ya chama Mambo haya yaliwauma mno wasukuma,Sasa matusi na kejeli hizo ziliwaamsha Sana wasukuma na kuwaleta pamoja,matusi na slogani hizo zilijidhihirisha zaidi pale alipofariki membe ,ambapo nao walikejeli "kumbe na wazuri nao wanakufa!" Haijachukua muda Sasa mnataka kura zao mnafanyaje,wahenga walinena mchimba kisima huingia mwenyewe,Mimi niseme ni ushamba wa siasa za ccm wa kuropoka matusi mazito Kama hayo bila kupima athari zake mbeleni,Ina maana chama na serikali vilikosa watu wenye busara wa kuonya na kukemea kuwa Mambo hayo ya kutukana marehemu Yana impact Hadi kwa chama na serikali mbeleni???? CCM wamelichonga dude hili la ukanda lazima liwatafune Sana,hasa akitokea mpinzani mwenye influence Kama alivyokuwa lowasa itakuwa ni hatari hasa kwa ccm
 
Unajua baada ya kufariki magufuli kosa kubwa Sana lilifanyika ndani ya ccm wenyewe kwa kuanzisha mashambulizi ya wazi kabisa kwenye media kwa kumtukana magufuli,kubagadha, kumkejeli marehemu,Mara eti wazuri hawafi na kuanzisha majina ya ajabu eti SUKUMA GANG,hadharani bila ya ccm kukemeana wenyewe ndani ya chama Mambo haya yaliwauma mno wasukuma,Sasa matusi na kejeli hizo ziliwaamsha Sana wasukuma na kuwaleta pamoja,matusi na slogani hizo zilijidhihirisha zaidi pale alipofariki membe ,ambapo nao walikejeli "kumbe na wazuri nao wanakufa!" Haijachukua muda Sasa mnataka kura zao mnafanyaje,wahenga walinena mchimba kisima huingia mwenyewe,Mimi niseme ni ushamba wa siasa za ccm wa kuropoka matusi mazito Kama hayo bila kupima athari zake mbeleni,Ina maana chama na serikali vilikosa watu wenye busara wa kuonya na kukemea kuwa Mambo hayo ya kutukana marehemu Yana impact Hadi kwa chama na serikali mbeleni???? CCM wamelichonga dude hili la ukanda lazima liwatafune Sana,hasa akitokea mpinzani mwenye influence Kama alivyokuwa lowasa itakuwa ni hatari hasa kwa ccm
@chiembe Etwege na ChoiceVariable wanasema CHADEMA, Lissu na Mbowe ndio tatizo!
 
Wasukuma ni wengi zaidi Tanzania, ni wachapakazi kwa asili. Wasukuma na wanyamwezi idadi Yao ni kubwa inakaribia theluthi ya Watanzania wote. Pamoja na wingi wao, uchapakazi wao mkubwa na wingi wa rasilimali zilizoko kwenye mikoa Yao, wasukuma walikuwa sio chochote Wala lolote huko nyuma kwenye awamu za kwanza hadi ya nne (4).

Mikoa ya wasukuma pamoja na kuzalisha kwa wingi dhahabu, almasi, ng'ombe, pamba, viazi vitamu, mpunga na Katanga lakini walikuwa hawana barabara za lami, shule, hospital Wala umeme kuliko mikoa ya kaskazini , nyanda za juu kusuni na masharaki. Nguvu na rasilimali zao zilikuwa zinatumika zaidi kuleta maendeleo huko kaskazini na mashariki.

Awamu ya tano (5) ilileta mapinduzi makubwa sana kwa wasukuma na wanyamwezi, imewafungua macho na kuiona nafasi Yao kwenye taifa. Rais Magufuli (Msukuma) hakupepesa macho Wala kumung'unya maneno katika kuwalipa wasukuma kile walichonyang'anywa na "wahuni" tangu wakati wa ukoloni hadi kwenye awamu ya nne. Madini, ng'ombe na maliasili kama mbao za tabora vilikuwa vikijenga barabara, reli, viwanja vya ndege, hospital, mashule na kusambaza maji na umeme kwenye Kanda nyingine.

JPM hasira hiyo iliionyesha waziwazi kwa kupeleka miradi mingi Kanda ya ziwa na kuacha kupeleka miradi kama hiyo kwenye Kanda zilizokuwa zikipendelewa na wakoloni na watawala baada ya Uhuru.

Wasukuma Sasa wamejitambua na wamegeuka kuwa zimwi kubwa kwa watawala watakaofuata baada ya JPM. Itafikia siku wasukuma watakuwa kama wakikuyu wa Kenya kwenye siasa za CCM na Tanzania, ukabila utarudi upyaaaa!

Uteuzi wa Mh. Dotto Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu na Mh. Makonda kuwa Katibu mwenezi, itikadi na msemaji wa CCM ni ushahidi wa jambo hili; bila kufanya hivi CCM itaanguka. Na Iko siku huko mble mgombea Urais lazima awe msukuma au aungwe mkono na wasukuma kwa mashariti magumu.

Wakoloni na Nyerere waliona mbali sana kuwatenga wasukuma kwenye nyazifa za juu.
Kuna mdada hapo ikulu anatuharibia Tanganyika yetu yeye anajua ni wapi atakimbilia, tuwe makini na mdada huyu!
 
@chiembe Etwege na ChoiceVariable wanasema CHADEMA, Lissu na Mbowe ndio tatizo!
Hivi nape aliyesema mungu ameamua ugomvi ni wa chadema? Hivi makamba aliyesema wazuri hawafi ni chadema? Hivi membe aliyesema bahari umetulia ni chadema? Aliyetoa kauli ya simba wa yuda akitokea chadema?
 
Hivi nape aliyesema mungu ameamua ugomvi ni wa chadema? Hivi makamba aliyesema wazuri hawafi ni chadema? Hivi membe aliyesema bahari umetulia ni chadema? Aliyetoa kauli ya simba wa yuda akitokea chadema?
Anthony Diallo pia akasema kulikuwa na faili Mirembe!
 
Anthony Diallo pia akasema kulikuwa na faili Mirembe!
Dude hili la ukabila na ukanda wanelipalilia ccm wenyewe kwa kuwa na viongozi wasio na vision ya kuona athari ya maneno wanayoyatoa ,kesho itakuwaje,lakini pia bila kupima uzito wa nafasi aliyokalia ,wakati anatoa kauli hizo,wake waliokuwa bado na machungu ya kuondokewa na mpendwa wao,Sasa zinapotoka kauli za kutengwa,na kudharauliwa na kiongozi wa juu,wasukuma walijiona wanyonge Sana na wametengwa na viongozi wao,hivyo kilicho Bora wali opt kuunganisha nguvu ili wafarijiane wao kwa wao,Sasa kwenye kuunganisha nguvu huko Sana ,imewalazimu kuwa endelevu kuanzia hapo.
 
Rais Magufuli (Msukuma) hakupepesa macho Wala kumung'unya maneno katika kuwalipa wasukuma kile walichonyang'anywa na "wahuni"
Hapa ndipo mnapokosea kuwaita wengine wahuni. Sukuma gang tambueni ya kwamba "never and never again" na Mungu ameamulia ugomvi.
 
Wasukuma ni wengi zaidi Tanzania, ni wachapakazi kwa asili. Wasukuma na wanyamwezi idadi Yao ni kubwa inakaribia theluthi ya Watanzania wote. Pamoja na wingi wao, uchapakazi wao mkubwa na wingi wa rasilimali zilizoko kwenye mikoa Yao, wasukuma walikuwa sio chochote Wala lolote huko nyuma kwenye awamu za kwanza hadi ya nne (4).

Mikoa ya wasukuma pamoja na kuzalisha kwa wingi dhahabu, almasi, ng'ombe, pamba, viazi vitamu, mpunga na Katanga lakini walikuwa hawana barabara za lami, shule, hospital Wala umeme kuliko mikoa ya kaskazini , nyanda za juu kusuni na masharaki. Nguvu na rasilimali zao zilikuwa zinatumika zaidi kuleta maendeleo huko kaskazini na mashariki.

Awamu ya tano (5) ilileta mapinduzi makubwa sana kwa wasukuma na wanyamwezi, imewafungua macho na kuiona nafasi Yao kwenye taifa. Rais Magufuli (Msukuma) hakupepesa macho Wala kumung'unya maneno katika kuwalipa wasukuma kile walichonyang'anywa na "wahuni" tangu wakati wa ukoloni hadi kwenye awamu ya nne. Madini, ng'ombe na maliasili kama mbao za tabora vilikuwa vikijenga barabara, reli, viwanja vya ndege, hospital, mashule na kusambaza maji na umeme kwenye Kanda nyingine.

JPM hasira hiyo iliionyesha waziwazi kwa kupeleka miradi mingi Kanda ya ziwa na kuacha kupeleka miradi kama hiyo kwenye Kanda zilizokuwa zikipendelewa na wakoloni na watawala baada ya Uhuru.

Wasukuma Sasa wamejitambua na wamegeuka kuwa zimwi kubwa kwa watawala watakaofuata baada ya JPM. Itafikia siku wasukuma watakuwa kama wakikuyu wa Kenya kwenye siasa za CCM na Tanzania, ukabila utarudi upyaaaa!

Uteuzi wa Mh. Dotto Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu na Mh. Makonda kuwa Katibu mwenezi, itikadi na msemaji wa CCM ni ushahidi wa jambo hili; bila kufanya hivi CCM itaanguka. Na Iko siku huko mble mgombea Urais lazima awe msukuma au aungwe mkono na wasukuma kwa mashariti magumu.

Wakoloni na Nyerere waliona mbali sana kuwatenga wasukuma kwenye nyazifa za juu.
Usilete ukabila. Biteko hana kabisa influence labda abebwe ila kinachombeba mtu ni uthubutu wa kusomamia falsafa ya Dkt Magufuli. Hivyo haijalishi uwe msukuma au mchaga, yeyote anayebeba hayo maono atapendwa. Ndiyo maana tuliwaambia Dkt Magufuli siyo mtu bali falsafa
 
Mbuga kubwa, maarufu na inayoongoza kwa kuingiza mapato, ipo mkoa gani? Hii mbuga ya serengeti nyinyi watu wabinafsi wa kaskazini mlishajimilikisha mkizani ipo upande wenu.
ndiyo kisa cha kupiga vita Mwanza airport isikamilishwe kuwa international ili KIA na pia Serengeti iendelee kutangazwa iko Arusha na kubeba uchumi wa kaskazini yetu macho
 
Hoja yako ni hipi mbona ueleweki? Wewe utakuwa ni mchaga
Aisee ni janga la elimu hili. ''hipi'' ''ueleweki''. Unachanganya madesa. Inawezekana kabisa wewe ni sekondari school graduate na pengine una division one!
 
ndiyo kisa cha kupiga vita Mwanza airport isikamilishwe kuwa international ili KIA na pia Serengeti iendelee kutangazwa iko Arusha na kubeba uchumi wa kaskazini yetu macho
Hao watu wanafigisu za kiuchumi toka zamani lakini hawamu hii wameula wa chuya😂😂😂
 
😃😃

Kama Wasukuma ni waafrika ulichoandika ni sawa na kibonzo tuu.

Akili ndio rasilimali muhimu ambayo jamii fulani ikiwa nayo inapaswa kujivunia.
 
Waliowabatiza sukuma gang ndo wenye kosa waliwaunganisha bila kujua na kuwatengenezea the sense of oneness. Huenda wala hawakuwa na mawazo haya ila kitendo cha kumuhukumu Magufuli na kabila lake na kuwalink wafuasi wake na usukuma huku wakitengwa na kusemwa kwa ubaya kunawafanya wasukuma wawaunge mkono
Umeona mbali sana.
 
Usilete ukabila. Biteko hana kabisa influence labda abebwe ila kinachombeba mtu ni uthubutu wa kusomamia falsafa ya Dkt Magufuli. Hivyo haijalishi uwe msukuma au mchaga, yeyote anayebeba hayo maono atapendwa. Ndiyo maana tuliwaambia Dkt Magufuli siyo mtu bali falsafa

Falsafa, formula yenyewe ni simple sana hata huyu SSM angeweza kuifanya, teua watu sahihi sehemu sahihi, tatua changamoto zao kama maji, umeme, mfumuko wa bei, simamia haki, nidhamu serikalini, kemea rushwa, ufisadi, ukanda, ukabila, watu kuibiwa ardhi.

Punguza matumizi yasiyo ya lazima kama warsha, seminars, safari na nje, makongamano, kununua ma-VX.

Tembelea wananchi wako, Wawajibishe wasiowajibika kwenye nafasi zao.
 
Acheni Ukabila, athari zake ni kubwa sana. Nilishawahi pia kuwaambia wengine, hayo maneno ya Sukuma gang ni hatari sana kwa sababu wapo Wasukuma kama ni mpinzani atajihisi anabaguliwa na ku-side kivyao.

Niliwaambia pia wanawaita Wagogo washamba kisa hawakubaliani na Ndugai wakati ule (wanaofanya hivi wanajijua) athari zake ni kubwa.

Si Kila Msukuma atatafsiri neno "Sukuma gang" ni wale waliokuwa wafuasi wa JPM. Wapo watakaohisi wanalengwa wao.

Na ninyi mnaowachochea Wasukuma acheni. Yakiparaganyika kuiweka Nchi pamoja itakuwa kazi kubwa.
 
Falsafa, formula yenyewe ni simple sana hata huyu SSM angeweza kuifanya, teua watu sahihi sehemu sahihi, tatua changamoto zao kama maji, umeme, mfumuko wa bei, simamia haki, nidhamu serikalini, kemea rushwa, ufisadi, ukanda, ukabila, watu kuibiwa ardhi.

Punguza matumizi yasiyo ya lazima kama warsha, seminars, safari na nje, makongamano, kununua ma-VX.

Tembelea wananchi wako, Wawajibishe wasiowajibika kwenye nafasi zao.
Dawa ya ukanda na ukabila au udini usitawale kwa falsafa au kanuni ya kuwagawa watu.Hiyo ndiyo dawa.
 
Fanya wasukuma wapo million 20.
Kwa hiyo kwenye watanzania milioni 60 wasukuma ni milioni 20? Hizo takwimu za wapi na amezitangaza nani?

Nyie watu ni wapuuzi sana!! Ndo mana kamwe haitotokea mje kuongoza tena hii nchi katika miaka ya karibuni maana mna akili za ukabila na upuuzi sana!!
 
Falsafa, formula yenyewe ni simple sana hata huyu SSM angeweza kuifanya, teua watu sahihi sehemu sahihi, tatua changamoto zao kama maji, umeme, mfumuko wa bei, simamia haki, nidhamu serikalini, kemea rushwa, ufisadi, ukanda, ukabila, watu kuibiwa ardhi.

Punguza matumizi yasiyo ya lazima kama warsha, seminars, safari na nje, makongamano, kununua ma-VX.

Tembelea wananchi wako, Wawajibishe wasiowajibika kwenye nafasi zao.
Yaani bosi mkubwa hapo umenena jambo la ukweli 💯. Ndiyo maana kumteua Dotto Biteko haisaidii na tulishaonya tangu enzi zile kinachotakiwa hata kama angemteua Mchengerwa kinachoangaliwa na wa Tanzani ni kimoja tu je ana falsafa za Dkt Magufuli??? Haijalishi hata kama ni mtoto wake. Hii kitu watanzania hatujifunzi. Hivi mbona watoto wa Mwl Nyerere hata kama wakipewa vyeo wanaonekana hawana uthubutu wa Baba yao mpaka alivyotokea Dkt Magufuli??? Hapa kwa nchi hii sasa anayeshika hiyo nafasi ni Makonda kupitia CCM. Cheki nyomi anayokusanya na muitikio wa wadau.
 
Waliowabatiza sukuma gang ndo wenye kosa waliwaunganisha bila kujua na kuwatengenezea the sense of oneness. Huenda wala hawakuwa na mawazo haya ila kitendo cha kumuhukumu Magufuli na kabila lake na kuwalink wafuasi wake na usukuma huku wakitengwa na kusemwa kwa ubaya kunawafanya wasukuma wawaunge mkono
Magufuli alipiga kampeni za ukabila na kweli akachaguliwa na wasukuma kwa sababu tu ya ukabila.
Alikuwa anaongea mpk kisukuma kwenye mikutano wakati Kuna lugha ya taifa.
Sio mbaya kuwapekekea mendeleo sababu nao ni watanzania lakini huko kudeka kwao sio poa sababu nchi ni ya watu wote.
 
Back
Top Bottom