CCM wamenasa kwenye mtego wa Wasukuma, hawatoki tena

CCM wamenasa kwenye mtego wa Wasukuma, hawatoki tena

SIO kweli mkuu.
Kaskazini inachangia pato kubwa sana kupitia Utalii na wafanyabiashara wakubwa.
Mpaka leo Kaskazini na Tanga ni eneo linaloweza kuwa nchi na lisitegemee mkoa Mwingine wowote.
Shule na Taasisi za Binafsi Kwa ukanda Huo zilianza Kwa kiwango kikubwa zilikengwa na Wananchi wenyewe Kwa nguvu zao.
Hivi Sehemu yenye wasomi wengi kama Ukererewe inapokosa maendeleo utasemaje kuwa rasilimali zao zimepelekwa kaskazini kama SIO ukichaa na upunguani.
Madini ya dhahabu Kwa ukanda Wa Maziwa makuu yameanza kuchimbwa na wawekezaji miaka ya 2000. Nyuma ya Hapo mgodi ulikua mmoja tu Wa Williamson kule Mwadui. Amboa kimsingi huwezi kulinganisha na pato la watalii na mabepari waliokuwa wanamiliki mashamba ya shayiri ,ngano,maharagwe,ngano ,mkonge na Tanzanite , migodi mikubwa kule kararani Tanga ambayo Nyerere aliifunga Kwa kuogopa mzungu aliyeiweka nchi mfukoni kwake. Mgodi uliokufa mpaka leo. Tanga Ina Vito vingi sana Vya thamani,Tanga ndiyo manuspaa ya kwanza Tanzania ,ikiwa na viwanda vingi sana Lakini vilihujumiwa na kufa na kuwaacha wazawa wakiwa maskini. Arusha na Kilimanjaro palikua na mabilionea tangu ukoloni wakanyanganywa Mali zao na Nyerere na pia MAGUFULI.
Hakuna msukuma aliyenyanganywa n'gombe na kufanywa za Taifa ila watu Wa kaskazini walinyanganywa Mali na majumba na mashamba na kuwa ya umma na kufilisiwa.
Mbuga kubwa, maarufu na inayoongoza kwa kuingiza mapato, ipo mkoa gani? Hii mbuga ya serengeti nyinyi watu wabinafsi wa kaskazini mlishajimilikisha mkizani ipo upande wenu.
 
Hata nyumbu mbagani ni wengi sana ili kua na supply ya kutosha ya wanyama wala nyama

Sasa Tanzania ndio mbuga yenyewe na wasukuma ndio nyumbu kwa hiyo relax kundi la nyumbu hata liwe kubwa vipi haliwezi kumtisha simba
Kwani mpk mda huu wewe huoni yanayotokea?!
 
Hivi izo takwimu kuwa wasukuma ni wengi zaidi mnazitoa wapi?

Ndo mana tunasema hapa kila siku kuwa nyie watu ni wajinga sana na hamstahili kuongoza hii nchi


Tanzania ina mikoa 26 na idadi ya watu milioni 61. Mnataka kusema wasukuma nchi hii ni zaidi ya milioni 31? Nyie watu ni wajinga na wapuuzi sana kwa kweli!!


Huu ujinga wenu embu msituletee hapa. Hili ni jukwaa la great thinkers.
Fanya wasukuma wapo million 20.
 
Mbuga kubwa, maarufu na inayoongoza kwa kuingiza mapato, ipo mkoa gani? Hii mbuga ya serengeti nyinyi watu wabinafsi wa kaskazini mlishajimilikisha mkizani ipo upande wenu.
Nyerere National Park au zamani ikiitwa Selous game reserve ndio mbuga kubwa zaidi nchini ikifuatiwa na Ruaha National Park. Sehemu ya eneo la Serengeti iko Arusha, halafu hifadhi ya Serengeti ilikuwa ni ardhi ya Wamasai zamani kabla hawajahamishwa na wakoloni.
 
Unajua takwimu au unaropoka, madini utayacha wapi kwa kuingizia mapato taifa ili.
Madini hayaingizi pesa nyingi na kutengeneza ajira nyingi nzuri za hadhi kama utalii.
 
Nyerere National Park au zamani ikiitwa Selous game reserve ndio mbuga kubwa zaidi nchini ikifuatiwa na Ruaha National Park. Sehemu ya eneo la Serengeti iko Arusha, halafu hifadhi ya Serengeti ilikuwa ni ardhi ya Wamasai zamani kabla hawajahamishwa na wakoloni.
Serengeti imechukua mara, 68% na 32% ni mkoa wa simiyu acheni, kwahiyo hizo mbuga ni maarufu kuliko serengeti?
 
Fanya wasukuma wapo million 20.
Inashangaza sana serikali, baadhi ya vyama vya siasa, vikundi flani, watu wachache, kutoka makabila mengine mawili, matatu wanahangaika sana kuonyesha kwamba Wasukuma ni wachache, wajinga, hawana mchango wowote kwa Taifa. Wakiwekewa ukweli wanabisha.

Sijui wanaogopa nini? Wasukuma sio kama Wakikuyu, Kenya. Kiasili Wasukuma sio wagomvi, wala wabinafsi ni wajamaa, wazalendo watu wanaopenda kuishi pamaja na wengine, makabila yote, watu wote kwa amani mikoani kwao. Sio kama mikoa michache mingine.

Wenyewe Wasukuma wala hawahangaiki kivile na wengine sababu wanajua ukweli utasimama na kujisimamia wenyewe.
 
Kila kabila likitaka elezea maelezo yao Basi nchi hii itakuwa na nchi nyingi ndani yake acha kuhusisha ukabila,maendeleo na uongozi.
Kaka tuwe fair, nani hajui kama walimu wengi sana walikuwa wanapelekwa na serikali Kanda ya kaskazini kwakuwa kulikuwa na shule nyingi? Walimu hawa walilipwa kwa Kodi za watz wote, nani hajui kama kaskazini kulikuwa na huduma za uhakika za umeme na maji tangu enzi hizo? Nani hajui kama wakoloni waliiendeleza baadhi ya Kanda kwa fedha za watu wote?
 
Watu WOTE jumla kanda ya ziwa hawafiki milioni 20, hiyo ni kabla hata ya kuanza kuwagawanya katika makabila.
Unajua Dar pekee kun zaidi ya wasukuma milioni mbili, mikoa ya katavi, Tabora, mpanda, Morogoro, mbeya unajua kuna wasukuma wangapi na idadi yao ni kubwa kuliko wenyeji we kaa ukijifariji.
 
Back
Top Bottom