CCM wamenasa kwenye mtego wa Wasukuma, hawatoki tena

CCM wamenasa kwenye mtego wa Wasukuma, hawatoki tena

Kaskazini walitumia Mali za wasukuma kujiletea maendeleo kwa miaka mingi sana tangu ukoloni.
Na huo ulikuwa wakati wa CCM maana toka uhuru ni ccm tuu iko madarakani.
Hivyo kama wameamka it means CCM chali kabisa!
 
Wasukuma ni wengi zaidi Tanzania, ni wachapakazi kwa asili. Wasukuma na wanyamwezi idadi Yao ni kubwa inakaribia theluthi ya Watanzania wote. Pamoja na wingi wao, uchapakazi wao mkubwa na wingi wa rasilimali zilizoko kwenye mikoa Yao, wasukuma walikuwa sio chochote Wala lolote huko nyuma kwenye awamu za kwanza hadi ya nne (4).

Mikoa ya wasukuma pamoja na kuzalisha kwa wingi dhahabu, almasi, ng'ombe, pamba, viazi vitamu, mpunga na Katanga lakini walikuwa hawana barabara za lami, shule, hospital Wala umeme kuliko mikoa ya kaskazini , nyanda za juu kusuni na masharaki. Nguvu na rasilimali zao zilikuwa zinatumika zaidi kuleta maendeleo huko kaskazini na mashariki.

Awamu ya tano (5) ilileta mapinduzi makubwa sana kwa wasukuma na wanyamwezi, imewafungua macho na kuiona nafasi Yao kwenye taifa. Rais Magufuli (Msukuma) hakupepesa macho Wala kumung'unya maneno katika kuwalipa wasukuma kile walichonyang'anywa na "wahuni" tangu wakati wa ukoloni hadi kwenye awamu ya nne. Madini, ng'ombe na maliasili kama mbao za tabora vilikuwa vikijenga barabara, reli, viwanja vya ndege, hospital, mashule na kusambaza maji na umeme kwenye Kanda nyingine.

JPM hasira hiyo iliionyesha waziwazi kwa kupeleka miradi mingi Kanda ya ziwa na kuacha kupeleka miradi kama hiyo kwenye Kanda zilizokuwa zikipendelewa na wakoloni na watawala baada ya Uhuru.

Wasukuma Sasa wamejitambua na wamegeuka kuwa zimwi kubwa kwa watawala watakaofuata baada ya JPM. Itafikia siku wasukuma watakuwa kama wakikuyu wa Kenya kwenye siasa za CCM na Tanzania, ukabila utarudi upyaaaa!

Uteuzi wa Mh. Dotto Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu na Mh. Makonda kuwa Katibu mwenezi, itikadi na msemaji wa CCM ni ushahidi wa jambo hili; bila kufanya hivi CCM itaanguka. Na Iko siku huko mble mgombea Urais lazima awe msukuma au aungwe mkono na wasukuma kwa mashariti magumu.

Wakoloni na Nyerere waliona mbali sana kuwatenga wasukuma kwenye nyazifa za juu.
Kila kabila likitaka elezea maelezo yao Basi nchi hii itakuwa na nchi nyingi ndani yake acha kuhusisha ukabila,maendeleo na uongozi.
 
Hoja yangu CCM imenasa kwenye kabila ya kisukuma, huelewi nini hapo. Unaona ni kawaida Makonda kuwa Katibu mwenezi wa CCM wewe? CCM imeishiwa? Ukweli ni kwamba wapinzani wamepiga kambi usukumani pia. Wasukuma Sasa ni kete ya kisasa ka wakikuyu wa Kenya. Think critically bro
Ubaya huko wapi Makonda kuwa katibu muenezi? Kwani Makonda sio mwana CCM? Hajawahi kuwa kiongozi? Kwani wasukuma sio watanzania! Ukabila utawaua nyie wachaga
 
Acheni Ukabila, athari zake ni kubwa sana. Nilishawahi pia kuwaambia wengine, hayo maneno ya Sukuma gang ni hatari sana kwa sababu wapo Wasukuma kama ni mpinzani atajihisi anabaguliwa na ku-side kivyao.

Niliwaambia pia wanawaita Wagogo washamba kisa hawakubaliani na Ndugai wakati ule (wanaofanya hivi wanajijua) athari zake ni kubwa.

Si Kila Msukuma atatafsiri neno "Sukuma gang" ni wale waliokuwa wafuasi wa JPM. Wapo watakaohisi wanalengwa wao.

Na ninyi mnaowachochea Wasukuma acheni. Yakiparaganyika kuiweka Nchi pamoja itakuwa kazi kubwa.
WATANZANIA wengi ni wapumbavu .
Ndio maana CCM inacheza na kete ya Udini na uiabila na ukanda .
Kete ya Udini awamu Hii imepwaya sana Baada ya Kanisa katoliki kukataa dhambi ya kuwapa waarabu uchumi wote Wa nchi na kuwaacha watanganyika wakiwa watumwa kwenye nchi Yao.

Bora wasukama watawale mana wanaonekana wanaweza kudhibiti Wezi Wa Mali za umma.
Hivi vikabila vidogovidogo vimejaa ufisadi na tamaa mbaya sana ya kujilimbikizia Mali bila kikomo.
Na pia ni Lazima wasukuma wakaze mana shujaa Wa Tanzania amekufa kifo cha utata na fedha za umma zikaporwa kisha tukadanganywa kuwa hakufanya kitu aliacha taifa likiwa hohehahe wakati tulifikia uchumi Wa Kati.
Tunamuomba Paulo Makonda Aishi Katika kiapo chake na adumishe uzalendo Wa MAGUFULI Daima.
Kila taifa Lina shujaa wake aliyeleta Mapinduzi makubwa ya kiuchumi na kuondoa dhulma.
Hata Mtume Mohamad aliondosha dhulma Kwa waarabu na kubaki kuwa Nabii mwenye wafuasi wengi sana Duniani.

Mbowe ni mbinafsi sana anayeangalia maslahi yake bila kujali Hali ya WATANZANIA Duni.
Mafuta yanapanda Bei.
Bandari imeshauzwa
Kia imeuzwa
Misitu yote imeuzwa.
Ardhi Kwa maelfu ya hekari yameuzwa .
Loliondo imeuzwa na Serengeti.
Biashara ya kusafirisha wanyama imeshamiri.
Madini hayana faida Kwa Taifa.
Umeme unakatika Katika .
Report ya CAG imeonyesha upotevu mkubwa Wa fedha za umma.
Bunge linapitisha miswaada ya hovyo.
Kikokotoo kinawaumiza wafanyakazi.
Upigaji ni mkubwa mpaka CCM wenyewe wanapoteana.Mafuta yamepanda Bei.
Cha ajabu chama kikubwa kama Chadema kimekaa kimya chini ya Mwenyekiti Mbowe. Sikuwahi kusikia Mbowe akitishia kuandamana Kupinga ugumu Wa maisha ya Watu Wa Chini. Anasubiri aandamane mikutano ya hadhara ikitishiwa Kupingwa marifuku.Wanaharakati walikosa kuungwa mkono na vyama vya wapinzani.
 
Ni mada nzuri yenye ka ukweli fulani hivi ila inapalilia ukabila na ukanda hivyo basi mada imekosa ueledi na kuonekana ni ya kikabila, upumbavu mtupu na ujinga hatutaki kurudi huko
 
Hata nyumbu mbagani ni wengi sana ili kua na supply ya kutosha ya wanyama wala nyama

Sasa Tanzania ndio mbuga yenyewe na wasukuma ndio nyumbu kwa hiyo relax kundi la nyumbu hata liwe kubwa vipi haliwezi kumtisha simba
Kabisa [emoji3578]
 
Mbowe na Lisu wana laana ya kushangilia kifo cha Magufuli
Kwa taarifa yako kama hujawahi kujua basi jua leo kwamba kati ya watu walio shangilia kwa imani ya ndani kabisa kifo cha Magufuli viongozi wa juu wa CHAMA CHA MAPINDUZI ( CCM) pamoja na makada wa daraja la kwanza na daraja pili.
 
Tukienda hivyo na fikra za kisukuma nchi itagawika vipande vipande! Tusisahau vugu vugu la kisiasa Nyanda za Kaskazini kwa Wachaga tusisahau Nyanda za Juu kusini kwa Wanyakyusa!
Bila kusahau kwa Wamakonde huko!
Nyerere alitumia akili kubwa kutoruhusu makabila makubwa kutawala!
CCM inachofanya ni kuwahadaa na kuwasahaulisha Wasukuma wasimkumbuke hayati Magu,waipe kura wakiingia laini tu baada ya uchaguzi 2025 watatoswa tu.
 
Kaskazini walitumia Mali za wasukuma kujiletea maendeleo kwa miaka mingi sana tangu ukoloni.
Unafahamua kwamba Kaskazini na Arusha, Manyara, Kilimanjaro na Tanga?

Unafahamu kwamba utalii ndio sekta inayoongoza kwa mapato Tanzania na Kaskazini ndio kitovu cha utalii cha nchi?

Unafahamu Kaskazini kumekuwepo na Kahawa na Tanzanite kwa muda mrefu sana?

Unafahamu reli ya kwanza ilijengwa na Wajerumani kuelekea Kaskazini kwa ajili ya kusafirisha Kahawa, chai na mkonge?
 
Kaskazini walitumia Mali za wasukuma kujiletea maendeleo kwa miaka mingi sana tangu ukoloni.
SIO kweli mkuu.
Kaskazini inachangia pato kubwa sana kupitia Utalii na wafanyabiashara wakubwa.
Mpaka leo Kaskazini na Tanga ni eneo linaloweza kuwa nchi na lisitegemee mkoa Mwingine wowote.
Shule na Taasisi za Binafsi Kwa ukanda Huo zilianza Kwa kiwango kikubwa zilikengwa na Wananchi wenyewe Kwa nguvu zao.
Hivi Sehemu yenye wasomi wengi kama Ukererewe inapokosa maendeleo utasemaje kuwa rasilimali zao zimepelekwa kaskazini kama SIO ukichaa na upunguani.
Madini ya dhahabu Kwa ukanda Wa Maziwa makuu yameanza kuchimbwa na wawekezaji miaka ya 2000. Nyuma ya Hapo mgodi ulikua mmoja tu Wa Williamson kule Mwadui. Amboa kimsingi huwezi kulinganisha na pato la watalii na mabepari waliokuwa wanamiliki mashamba ya shayiri ,ngano,maharagwe,ngano ,mkonge na Tanzanite , migodi mikubwa kule kararani Tanga ambayo Nyerere aliifunga Kwa kuogopa mzungu aliyeiweka nchi mfukoni kwake. Mgodi uliokufa mpaka leo. Tanga Ina Vito vingi sana Vya thamani,Tanga ndiyo manuspaa ya kwanza Tanzania ,ikiwa na viwanda vingi sana Lakini vilihujumiwa na kufa na kuwaacha wazawa wakiwa maskini. Arusha na Kilimanjaro palikua na mabilionea tangu ukoloni wakanyanganywa Mali zao na Nyerere na pia MAGUFULI.
Hakuna msukuma aliyenyanganywa n'gombe na kufanywa za Taifa ila watu Wa kaskazini walinyanganywa Mali na majumba na mashamba na kuwa ya umma na kufilisiwa.
 
Muache kuchochea ukabila na ukanda mkidhani mnafanya jembo jema. Wapumbavu ni wengi wa aina hii, kuna wale wanalialia kuwa nao awamu fulani fulani ziliwaacha na kuwatenga katika dini yao huku wakijiona eti walipigania uhuru wa nchi hii, stupid. Mkiruhusu roho hizi zitamalaki kwa malalamiko yao ya kipuuzi huko ni kufufua mazimwi ya kikabila na kidini na kuanza kusumbua taifa.
 
Wasukuma walipigwa ganzi (nusu kaputi) na wakoloni, kisha na Nyerere, walikuwa wakitumia nguvu nyingi sana kulima, kuchimba madini na kufuga ng'ombe lakini barabara zao hazilingani na nguvu na utajiri wa rasilimali zao, walinyimwa elimu makusudi ili wasifike kule juu kabisa, na hakuna msukuma aliwahi kuwa hata waziri Mkuu pamoja na kuwa na idadi kubwa ya watu.
Wazungu walianza kupora madini usukumani tangu enzi za Williamson mwaka 1940 huko mwadui alipokuta wanachezea almasi bao na hata mpaka leo wanaomiliki hiyo migodi huko ni wazungu , sasa sijui wewe weusi wenzako wa Kaskazini, Kusini na kanda nyingine wamekukosea nini mpaka ufikiri wao ndio wanachota madini ya kanda ya ziwa na kijitajirisha nayo.
 
Wasukuma ni wengi zaidi Tanzania, ni wachapakazi kwa asili. Wasukuma na wanyamwezi idadi Yao ni kubwa inakaribia theluthi ya Watanzania wote. Pamoja na wingi wao, uchapakazi wao mkubwa na wingi wa rasilimali zilizoko kwenye mikoa Yao, wasukuma walikuwa sio chochote Wala lolote huko nyuma kwenye awamu za kwanza hadi ya nne (4).

Mikoa ya wasukuma pamoja na kuzalisha kwa wingi dhahabu, almasi, ng'ombe, pamba, viazi vitamu, mpunga na Katanga lakini walikuwa hawana barabara za lami, shule, hospital Wala umeme kuliko mikoa ya kaskazini , nyanda za juu kusuni na masharaki. Nguvu na rasilimali zao zilikuwa zinatumika zaidi kuleta maendeleo huko kaskazini na mashariki.

Awamu ya tano (5) ilileta mapinduzi makubwa sana kwa wasukuma na wanyamwezi, imewafungua macho na kuiona nafasi Yao kwenye taifa. Rais Magufuli (Msukuma) hakupepesa macho Wala kumung'unya maneno katika kuwalipa wasukuma kile walichonyang'anywa na "wahuni" tangu wakati wa ukoloni hadi kwenye awamu ya nne. Madini, ng'ombe na maliasili kama mbao za tabora vilikuwa vikijenga barabara, reli, viwanja vya ndege, hospital, mashule na kusambaza maji na umeme kwenye Kanda nyingine.

JPM hasira hiyo iliionyesha waziwazi kwa kupeleka miradi mingi Kanda ya ziwa na kuacha kupeleka miradi kama hiyo kwenye Kanda zilizokuwa zikipendelewa na wakoloni na watawala baada ya Uhuru.

Wasukuma Sasa wamejitambua na wamegeuka kuwa zimwi kubwa kwa watawala watakaofuata baada ya JPM. Itafikia siku wasukuma watakuwa kama wakikuyu wa Kenya kwenye siasa za CCM na Tanzania, ukabila utarudi upyaaaa!

Uteuzi wa Mh. Dotto Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu na Mh. Makonda kuwa Katibu mwenezi, itikadi na msemaji wa CCM ni ushahidi wa jambo hili; bila kufanya hivi CCM itaanguka. Na Iko siku huko mble mgombea Urais lazima awe msukuma au aungwe mkono na wasukuma kwa mashariti magumu.

Wakoloni na Nyerere waliona mbali sana kuwatenga wasukuma kwenye nyazifa za juu.
Wewe ni kabila gani? Hivi tunajuaje kwamba mtu fulani ni msukuma au mchagga?
 
Wasukuma ni wengi zaidi Tanzania, ni wachapakazi kwa asili. Wasukuma na wanyamwezi idadi Yao ni kubwa inakaribia theluthi ya Watanzania wote. Pamoja na wingi wao, uchapakazi wao mkubwa na wingi wa rasilimali zilizoko kwenye mikoa Yao, wasukuma walikuwa sio chochote Wala lolote huko nyuma kwenye awamu za kwanza hadi ya nne (4).

Mikoa ya wasukuma pamoja na kuzalisha kwa wingi dhahabu, almasi, ng'ombe, pamba, viazi vitamu, mpunga na Katanga lakini walikuwa hawana barabara za lami, shule, hospital Wala umeme kuliko mikoa ya kaskazini , nyanda za juu kusuni na masharaki. Nguvu na rasilimali zao zilikuwa zinatumika zaidi kuleta maendeleo huko kaskazini na mashariki.

Awamu ya tano (5) ilileta mapinduzi makubwa sana kwa wasukuma na wanyamwezi, imewafungua macho na kuiona nafasi Yao kwenye taifa. Rais Magufuli (Msukuma) hakupepesa macho Wala kumung'unya maneno katika kuwalipa wasukuma kile walichonyang'anywa na "wahuni" tangu wakati wa ukoloni hadi kwenye awamu ya nne. Madini, ng'ombe na maliasili kama mbao za tabora vilikuwa vikijenga barabara, reli, viwanja vya ndege, hospital, mashule na kusambaza maji na umeme kwenye Kanda nyingine.

JPM hasira hiyo iliionyesha waziwazi kwa kupeleka miradi mingi Kanda ya ziwa na kuacha kupeleka miradi kama hiyo kwenye Kanda zilizokuwa zikipendelewa na wakoloni na watawala baada ya Uhuru.

Wasukuma Sasa wamejitambua na wamegeuka kuwa zimwi kubwa kwa watawala watakaofuata baada ya JPM. Itafikia siku wasukuma watakuwa kama wakikuyu wa Kenya kwenye siasa za CCM na Tanzania, ukabila utarudi upyaaaa!

Uteuzi wa Mh. Dotto Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu na Mh. Makonda kuwa Katibu mwenezi, itikadi na msemaji wa CCM ni ushahidi wa jambo hili; bila kufanya hivi CCM itaanguka. Na Iko siku huko mble mgombea Urais lazima awe msukuma au aungwe mkono na wasukuma kwa mashariti magumu.

Wakoloni na Nyerere waliona mbali sana kuwatenga wasukuma kwenye nyazifa za juu.
Bro, una fikiria, Doto ndio naibu waziri mkuu wa kwanza? Alikuwepo Lyatonga Mrema, aka pita,
Doto na Makonda, are just means to an end, ccm wakishachukua madaraka tena, ndio imetoka, jaribu kuwaza Bongo na wasukuma baada ya Samia kuondoka! Pili huna data bro, Mkoa unaoongoza kwa kuchangia Pato la Taifa kwa asilimia 80! Ni, Dar! Kila, Tsh 100 inayokusanywa, 80,inatoka Dar!
Hizo pesa za ngombe na maziwa yenu, zinaishia huko huko, kwenu!
Je unajua wanaoongoza kwa, kushika nyanja za uchumi hapo Dar? Chaga and haya people! So, acha kelele kusema pesa ya, kanda ya, ziwa ilienda kaskazini, kujenga uchumi na miundombinu.
Anayewafanya maskini, na kuvunja nguvu zenu za kiuchumi za vyama vya u shirika ni ccm na wabunge wasukuma wenzenu!
Wingi sio hoja bro! Nigeria ina watu milioni 200! Lakini rasilimali zote za mafuta na gesi zinashikiliwa na mzungu!
Ukiwa, na, populations ya kisukuma, isiyo na elimu(anzia ushirombo, Kahama, Kalumwa, msalala,fika mpaka Isakamaliwa, isagene), kama Hao ndio unajivunia, bado mna safari ndefu!
Anayepitishwa na ccm ndio mshindi,na wanaomchagua hawazidi hata watu 20!
pinda,Sumaye, Msuya, walioba, Kikwete, Mwinyi, Samia, Chongolo,
 
Kaskazini walitumia Mali za wasukuma kujiletea maendeleo kwa miaka mingi sana tangu ukoloni.
Ndugu ukiona umezidiwa akili..ni bora uombe Mungu uzaliwe upya...wanacho fanya israel kwenye hii dunia ni kwamba iq ya mmoja mmoja ni kubwa ndio maana unayaona hya...kaskazin wazee wengi ukihesabu level ya shule yao kwa wastan ni kama form four....haya kakojoe ukalale...hakuna vijiji Tanzania vinatisha kwa maendeleo kama kaskazin
 
Hata nyumbu mbagani ni wengi sana ili kua na supply ya kutosha ya wanyama wala nyama

Sasa Tanzania ndio mbuga yenyewe na wasukuma ndio nyumbu kwa hiyo relax kundi la nyumbu hata liwe kubwa vipi haliwezi kumtisha simba

Au sio endelea kujifariji wakati huo mnapishana kanda ya ziwa kila siku ili mpate kuungwa mkono.
 
Hivi izo takwimu kuwa wasukuma ni wengi zaidi mnazitoa wapi?

Ndo mana tunasema hapa kila siku kuwa nyie watu ni wajinga sana na hamstahili kuongoza hii nchi


Tanzania ina mikoa 26 na idadi ya watu milioni 61. Mnataka kusema wasukuma nchi hii ni zaidi ya milioni 31? Nyie watu ni wajinga na wapuuzi sana kwa kweli!!


Huu ujinga wenu embu msituletee hapa. Hili ni jukwaa la great thinkers.

Hatuongelei only wasukuma tunaongelea kanda ya ziwa kwa ujumla wake,pia hata ki takwimu kabila la wasukuma ndio linaongoza kuwana watu wengi tz.
 
Back
Top Bottom