Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Umemjulia kweli! Usikute ni kiongozi wa [emoji304] wa kanda ya ziwa huyo!Wewe una laana ya kutumika kinyume cha maumbile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemjulia kweli! Usikute ni kiongozi wa [emoji304] wa kanda ya ziwa huyo!Wewe una laana ya kutumika kinyume cha maumbile
Na huo ulikuwa wakati wa CCM maana toka uhuru ni ccm tuu iko madarakani.Kaskazini walitumia Mali za wasukuma kujiletea maendeleo kwa miaka mingi sana tangu ukoloni.
Kila kabila likitaka elezea maelezo yao Basi nchi hii itakuwa na nchi nyingi ndani yake acha kuhusisha ukabila,maendeleo na uongozi.Wasukuma ni wengi zaidi Tanzania, ni wachapakazi kwa asili. Wasukuma na wanyamwezi idadi Yao ni kubwa inakaribia theluthi ya Watanzania wote. Pamoja na wingi wao, uchapakazi wao mkubwa na wingi wa rasilimali zilizoko kwenye mikoa Yao, wasukuma walikuwa sio chochote Wala lolote huko nyuma kwenye awamu za kwanza hadi ya nne (4).
Mikoa ya wasukuma pamoja na kuzalisha kwa wingi dhahabu, almasi, ng'ombe, pamba, viazi vitamu, mpunga na Katanga lakini walikuwa hawana barabara za lami, shule, hospital Wala umeme kuliko mikoa ya kaskazini , nyanda za juu kusuni na masharaki. Nguvu na rasilimali zao zilikuwa zinatumika zaidi kuleta maendeleo huko kaskazini na mashariki.
Awamu ya tano (5) ilileta mapinduzi makubwa sana kwa wasukuma na wanyamwezi, imewafungua macho na kuiona nafasi Yao kwenye taifa. Rais Magufuli (Msukuma) hakupepesa macho Wala kumung'unya maneno katika kuwalipa wasukuma kile walichonyang'anywa na "wahuni" tangu wakati wa ukoloni hadi kwenye awamu ya nne. Madini, ng'ombe na maliasili kama mbao za tabora vilikuwa vikijenga barabara, reli, viwanja vya ndege, hospital, mashule na kusambaza maji na umeme kwenye Kanda nyingine.
JPM hasira hiyo iliionyesha waziwazi kwa kupeleka miradi mingi Kanda ya ziwa na kuacha kupeleka miradi kama hiyo kwenye Kanda zilizokuwa zikipendelewa na wakoloni na watawala baada ya Uhuru.
Wasukuma Sasa wamejitambua na wamegeuka kuwa zimwi kubwa kwa watawala watakaofuata baada ya JPM. Itafikia siku wasukuma watakuwa kama wakikuyu wa Kenya kwenye siasa za CCM na Tanzania, ukabila utarudi upyaaaa!
Uteuzi wa Mh. Dotto Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu na Mh. Makonda kuwa Katibu mwenezi, itikadi na msemaji wa CCM ni ushahidi wa jambo hili; bila kufanya hivi CCM itaanguka. Na Iko siku huko mble mgombea Urais lazima awe msukuma au aungwe mkono na wasukuma kwa mashariti magumu.
Wakoloni na Nyerere waliona mbali sana kuwatenga wasukuma kwenye nyazifa za juu.
Ubaya huko wapi Makonda kuwa katibu muenezi? Kwani Makonda sio mwana CCM? Hajawahi kuwa kiongozi? Kwani wasukuma sio watanzania! Ukabila utawaua nyie wachagaHoja yangu CCM imenasa kwenye kabila ya kisukuma, huelewi nini hapo. Unaona ni kawaida Makonda kuwa Katibu mwenezi wa CCM wewe? CCM imeishiwa? Ukweli ni kwamba wapinzani wamepiga kambi usukumani pia. Wasukuma Sasa ni kete ya kisasa ka wakikuyu wa Kenya. Think critically bro
WATANZANIA wengi ni wapumbavu .Acheni Ukabila, athari zake ni kubwa sana. Nilishawahi pia kuwaambia wengine, hayo maneno ya Sukuma gang ni hatari sana kwa sababu wapo Wasukuma kama ni mpinzani atajihisi anabaguliwa na ku-side kivyao.
Niliwaambia pia wanawaita Wagogo washamba kisa hawakubaliani na Ndugai wakati ule (wanaofanya hivi wanajijua) athari zake ni kubwa.
Si Kila Msukuma atatafsiri neno "Sukuma gang" ni wale waliokuwa wafuasi wa JPM. Wapo watakaohisi wanalengwa wao.
Na ninyi mnaowachochea Wasukuma acheni. Yakiparaganyika kuiweka Nchi pamoja itakuwa kazi kubwa.
Kabisa [emoji3578]Hata nyumbu mbagani ni wengi sana ili kua na supply ya kutosha ya wanyama wala nyama
Sasa Tanzania ndio mbuga yenyewe na wasukuma ndio nyumbu kwa hiyo relax kundi la nyumbu hata liwe kubwa vipi haliwezi kumtisha simba
Kwa taarifa yako kama hujawahi kujua basi jua leo kwamba kati ya watu walio shangilia kwa imani ya ndani kabisa kifo cha Magufuli viongozi wa juu wa CHAMA CHA MAPINDUZI ( CCM) pamoja na makada wa daraja la kwanza na daraja pili.Mbowe na Lisu wana laana ya kushangilia kifo cha Magufuli
Unafahamua kwamba Kaskazini na Arusha, Manyara, Kilimanjaro na Tanga?Kaskazini walitumia Mali za wasukuma kujiletea maendeleo kwa miaka mingi sana tangu ukoloni.
SIO kweli mkuu.Kaskazini walitumia Mali za wasukuma kujiletea maendeleo kwa miaka mingi sana tangu ukoloni.
Wazungu walianza kupora madini usukumani tangu enzi za Williamson mwaka 1940 huko mwadui alipokuta wanachezea almasi bao na hata mpaka leo wanaomiliki hiyo migodi huko ni wazungu , sasa sijui wewe weusi wenzako wa Kaskazini, Kusini na kanda nyingine wamekukosea nini mpaka ufikiri wao ndio wanachota madini ya kanda ya ziwa na kijitajirisha nayo.Wasukuma walipigwa ganzi (nusu kaputi) na wakoloni, kisha na Nyerere, walikuwa wakitumia nguvu nyingi sana kulima, kuchimba madini na kufuga ng'ombe lakini barabara zao hazilingani na nguvu na utajiri wa rasilimali zao, walinyimwa elimu makusudi ili wasifike kule juu kabisa, na hakuna msukuma aliwahi kuwa hata waziri Mkuu pamoja na kuwa na idadi kubwa ya watu.
Wewe ni kabila gani? Hivi tunajuaje kwamba mtu fulani ni msukuma au mchagga?Wasukuma ni wengi zaidi Tanzania, ni wachapakazi kwa asili. Wasukuma na wanyamwezi idadi Yao ni kubwa inakaribia theluthi ya Watanzania wote. Pamoja na wingi wao, uchapakazi wao mkubwa na wingi wa rasilimali zilizoko kwenye mikoa Yao, wasukuma walikuwa sio chochote Wala lolote huko nyuma kwenye awamu za kwanza hadi ya nne (4).
Mikoa ya wasukuma pamoja na kuzalisha kwa wingi dhahabu, almasi, ng'ombe, pamba, viazi vitamu, mpunga na Katanga lakini walikuwa hawana barabara za lami, shule, hospital Wala umeme kuliko mikoa ya kaskazini , nyanda za juu kusuni na masharaki. Nguvu na rasilimali zao zilikuwa zinatumika zaidi kuleta maendeleo huko kaskazini na mashariki.
Awamu ya tano (5) ilileta mapinduzi makubwa sana kwa wasukuma na wanyamwezi, imewafungua macho na kuiona nafasi Yao kwenye taifa. Rais Magufuli (Msukuma) hakupepesa macho Wala kumung'unya maneno katika kuwalipa wasukuma kile walichonyang'anywa na "wahuni" tangu wakati wa ukoloni hadi kwenye awamu ya nne. Madini, ng'ombe na maliasili kama mbao za tabora vilikuwa vikijenga barabara, reli, viwanja vya ndege, hospital, mashule na kusambaza maji na umeme kwenye Kanda nyingine.
JPM hasira hiyo iliionyesha waziwazi kwa kupeleka miradi mingi Kanda ya ziwa na kuacha kupeleka miradi kama hiyo kwenye Kanda zilizokuwa zikipendelewa na wakoloni na watawala baada ya Uhuru.
Wasukuma Sasa wamejitambua na wamegeuka kuwa zimwi kubwa kwa watawala watakaofuata baada ya JPM. Itafikia siku wasukuma watakuwa kama wakikuyu wa Kenya kwenye siasa za CCM na Tanzania, ukabila utarudi upyaaaa!
Uteuzi wa Mh. Dotto Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu na Mh. Makonda kuwa Katibu mwenezi, itikadi na msemaji wa CCM ni ushahidi wa jambo hili; bila kufanya hivi CCM itaanguka. Na Iko siku huko mble mgombea Urais lazima awe msukuma au aungwe mkono na wasukuma kwa mashariti magumu.
Wakoloni na Nyerere waliona mbali sana kuwatenga wasukuma kwenye nyazifa za juu.
Bro, una fikiria, Doto ndio naibu waziri mkuu wa kwanza? Alikuwepo Lyatonga Mrema, aka pita,Wasukuma ni wengi zaidi Tanzania, ni wachapakazi kwa asili. Wasukuma na wanyamwezi idadi Yao ni kubwa inakaribia theluthi ya Watanzania wote. Pamoja na wingi wao, uchapakazi wao mkubwa na wingi wa rasilimali zilizoko kwenye mikoa Yao, wasukuma walikuwa sio chochote Wala lolote huko nyuma kwenye awamu za kwanza hadi ya nne (4).
Mikoa ya wasukuma pamoja na kuzalisha kwa wingi dhahabu, almasi, ng'ombe, pamba, viazi vitamu, mpunga na Katanga lakini walikuwa hawana barabara za lami, shule, hospital Wala umeme kuliko mikoa ya kaskazini , nyanda za juu kusuni na masharaki. Nguvu na rasilimali zao zilikuwa zinatumika zaidi kuleta maendeleo huko kaskazini na mashariki.
Awamu ya tano (5) ilileta mapinduzi makubwa sana kwa wasukuma na wanyamwezi, imewafungua macho na kuiona nafasi Yao kwenye taifa. Rais Magufuli (Msukuma) hakupepesa macho Wala kumung'unya maneno katika kuwalipa wasukuma kile walichonyang'anywa na "wahuni" tangu wakati wa ukoloni hadi kwenye awamu ya nne. Madini, ng'ombe na maliasili kama mbao za tabora vilikuwa vikijenga barabara, reli, viwanja vya ndege, hospital, mashule na kusambaza maji na umeme kwenye Kanda nyingine.
JPM hasira hiyo iliionyesha waziwazi kwa kupeleka miradi mingi Kanda ya ziwa na kuacha kupeleka miradi kama hiyo kwenye Kanda zilizokuwa zikipendelewa na wakoloni na watawala baada ya Uhuru.
Wasukuma Sasa wamejitambua na wamegeuka kuwa zimwi kubwa kwa watawala watakaofuata baada ya JPM. Itafikia siku wasukuma watakuwa kama wakikuyu wa Kenya kwenye siasa za CCM na Tanzania, ukabila utarudi upyaaaa!
Uteuzi wa Mh. Dotto Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu na Mh. Makonda kuwa Katibu mwenezi, itikadi na msemaji wa CCM ni ushahidi wa jambo hili; bila kufanya hivi CCM itaanguka. Na Iko siku huko mble mgombea Urais lazima awe msukuma au aungwe mkono na wasukuma kwa mashariti magumu.
Wakoloni na Nyerere waliona mbali sana kuwatenga wasukuma kwenye nyazifa za juu.
Itawagharimu kwa muda mrefu sana. Makonda anatumia kivuli cha Magu..ana wiki tu cheki nyomi hiyo. Unadhani makonda ana nini cha ziada.Mbowe na Lisu wana laana ya kushangilia kifo cha Magufuli
Ndugu ukiona umezidiwa akili..ni bora uombe Mungu uzaliwe upya...wanacho fanya israel kwenye hii dunia ni kwamba iq ya mmoja mmoja ni kubwa ndio maana unayaona hya...kaskazin wazee wengi ukihesabu level ya shule yao kwa wastan ni kama form four....haya kakojoe ukalale...hakuna vijiji Tanzania vinatisha kwa maendeleo kama kaskazinKaskazini walitumia Mali za wasukuma kujiletea maendeleo kwa miaka mingi sana tangu ukoloni.
Hata nyumbu mbagani ni wengi sana ili kua na supply ya kutosha ya wanyama wala nyama
Sasa Tanzania ndio mbuga yenyewe na wasukuma ndio nyumbu kwa hiyo relax kundi la nyumbu hata liwe kubwa vipi haliwezi kumtisha simba
Hivi izo takwimu kuwa wasukuma ni wengi zaidi mnazitoa wapi?
Ndo mana tunasema hapa kila siku kuwa nyie watu ni wajinga sana na hamstahili kuongoza hii nchi
Tanzania ina mikoa 26 na idadi ya watu milioni 61. Mnataka kusema wasukuma nchi hii ni zaidi ya milioni 31? Nyie watu ni wajinga na wapuuzi sana kwa kweli!!
Huu ujinga wenu embu msituletee hapa. Hili ni jukwaa la great thinkers.