Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
- Thread starter
-
- #141
Sasa Makadinali si mambo ya kuamini wanaongozwa na roho mtakatifu?Makadinali wanafanya kampeni kumpata papa, itakuwa CCM?
Mmhhh yetu macho na masikioDogo CCM ni kubwa kuliko uwezo wako wa kufikiri. Hayo maswali waulize madogo wenzako. Ila ujue tu baada ya kikao cha Dodoma na kumpata Makamu Mwenyekiti wa CCM, CCM itakuwa na nguvu zaidi ya jana. Mark my words!
CCM HAIJAWAHI kuwa na nguvu toka baada ya uchaguzi wa mwaka 1995.CCM itakuwa na nguvu zaidi ya jana. Mark my words!
Ahahahahaha!!!CCM HAIJAWAHI kuwa na nguvu toka baada ya uchaguzi wa mwaka 1995.
Baada ya uchaguzi ule CCM ikagundua haipendwi na watanzania, ndipo ilipojigeuza kuwa kikundi cha wapora chaguzi.
Siri gani wakati chama ni mali ya Umma ayo mambo ya siri ndo tuajikutaga tumeingiza nchi kwenye mikataba ya ovyo tukipigwa faini ya kuvunja mikataba tulipa wote hizo faini wenye vyama na wasio na vyama wakamuliwa kodi vyama vinapewa ruzukuVikao vya chama na maamuzi ya chama ni siri na siyo upayukaji kama huko CHADEMA. Kwani umeona wapi wana CCM wakilalamika? Tupo kimya kwa sababu tuna elewa kila kitu kinachopaswa kufanyika katika kila hatua na hatua zote zipo sawa na mambo ni moto moto tu na Taifa lijiandae kulipuka kwa shangwe, vifijo na nderemo
So unamaanisha ccm mazombi eehKwa siku mbili kati ya tarehe 18,19/01/2025, CCM itakuwa na mkutano wake maalum huko Dodoma.
Kwenye mkutano huo, pamoja na mambo mengine, wajumbe watapiga kura ya kumthibitisha (siyo kumchagua ) Makamo Mwenyekiti wa chama hicho kwa upande wa Tanganyika.
Leo siku tatu kabla ya mkutano huo kuanza, wajumbe hawajui ni nani wanayekwenda kumthibitisha awe Makamo Mwenyekiti wao kwa upande wa Tanganyika.
Katiba ya CCM inasema kuwa, Makamo wa Mwenyekiti atapendekezwa na Kamati Kuu kwa Halmashauri Kuu ya chama hicho ambayo ndiyo itapendekeza Kwa mkutano Mkuu, jina la anayetakiwa awe Makamo Mwenyekiti kwa ajili ya kuthibitishwa.
Sasa hao wajumbe mpaka Leo hawajui nani atakuwa Makamo wa Mwenyekiti wao, halafu CCM inajisifu kuwa yenyewe ni chama kikubwa.
Chama gani kikubwa kinachoendesha mambo kizamani sana kama jando au unyago?
Machawa wanangojea waletewe kiongozi wasiyemjua wala kumchagua, waanze kumpamba.
CC.
Machawa wote.
Hana uwezo wa kujibu hayo maswali yako.Sawa. Twende taratibu, huko kwenye kamati Kuu anayependekeza ni nani na vigezo vinavyotumika hadi mtu apendekezwe ni vipi?
Ni kweli katiba imefuatwa, lkn ni afya kwa demokrasia wajumbe wanakwenda Hadi ukumbini hawajui nani wanampigia kura?Katiba ipo wazi na imefuatwa vyema na hakuna kilicho kiukwa.
I never knew you are this low….Kabla haijawa wazi ilipataje mtu. Wakati Kinana anaondoka ulisikia Samia alisema nini?
Mnajifanya kuwachukia "mabeberu" ila mkitaka kuleta mbwembwe za kilumumba mnatumia lugha yao.
Ungeandika Kwa kiswahili usingeeleweka?
Wewe ndio hujui kitu hakuna mgombea kujinadi ni jina moja linatajwa na kurhibitishwa.Hii ni sahihi.
Kutakuwa hakuna majungu wala makundi.
Watajuwa wakiwa kenye kikao na watasikiliza wagombea wanavyo jinadi.
Hoja fikirishi, japokuwa wengi wanajua Ila hawawezi kusema hadharani. Makonda ndio anakua makamu
Unaweza usiamini lakini habari ndio hiyo
Lugha nyepesi ungesema Toka iyo 95 chama klikabidhwa kwenye Dola.CCM HAIJAWAHI kuwa na nguvu toka baada ya uchaguzi wa mwaka 1995.
Baada ya uchaguzi ule CCM ikagundua haipendwi na watanzania, ndipo ilipojigeuza kuwa kikundi cha wapora chaguzi.
Wee ndo mjinga umeulizwa kwa nini kusiwe na uchaguz yaan kamati ya watu 12 sijui 32 iwaamulie wanaccm mamilioni upumbafuu kabisaUnauliza swali la kijinga na kitoto,huo ni utaratibu wa CCM walivyokubalina Sasa unataka wafuate utaratibu wa Vyama vyenu vinavyotegemea Nguvu ya mtu? CCM ina muundo wa kikomunist
Kwa siku mbili kati ya tarehe 18,19/01/2025, CCM itakuwa na mkutano wake maalum huko Dodoma.
Kwenye mkutano huo, pamoja na mambo mengine, wajumbe watapiga kura ya kumthibitisha (siyo kumchagua ) Makamo Mwenyekiti wa chama hicho kwa upande wa Tanganyika.
Leo siku tatu kabla ya mkutano huo kuanza, wajumbe hawajui ni nani wanayekwenda kumthibitisha awe Makamo Mwenyekiti wao kwa upande wa Tanganyika.
Katiba ya CCM inasema kuwa, Makamo wa Mwenyekiti atapendekezwa na Kamati Kuu kwa Halmashauri Kuu ya chama hicho ambayo ndiyo itapendekeza Kwa mkutano Mkuu, jina la anayetakiwa awe Makamo Mwenyekiti kwa ajili ya kuthibitishwa.
Sasa hao wajumbe mpaka Leo hawajui nani atakuwa Makamo wa Mwenyekiti wao, halafu CCM inajisifu kuwa yenyewe ni chama kikubwa.
Chama gani kikubwa kinachoendesha mambo kizamani sana kama jando au unyago?
Machawa wanangojea waletewe kiongozi wasiyemjua wala kumchagua, waanze kumpamba.
CC.
Machawa wote.
Viingereza kwa sisi LY unatuchanganya tu. Leo bado siku mbili tu ili Mkutano Mkuu wa CCM uanze, wajumbe bado wapo gizani... HAWAJUI nani atakuwa Makamo Mwenyekiti wao🙄I never knew you are this low….
Hio ndo ile kwa kiswahili wanaita Kichwa maji😀. Wagiriki wanaita Hydrocephalus.Leo siku tatu kabla ya mkutano huo kuanza, wajumbe hawajui ni nani wanayekwenda kumthibitisha awe Makamo Mwenyekiti wao kwa upande wa Tanganyika.😂😂😂View attachment 3202681
Ndio maana nimekwambia wewe ni mjinga Kwa sababu muundo wa CCM ni tofauti na Vyama vyenu vinavyotegemea mtu binafsiWee ndo mjinga umeulizwa kwa nini kusiwe na uchaguz yaan kamati ya watu 12 sijui 32 iwaamulie wanaccm mamilioni upumbafuu kabisa
Ila MAKAMU watakuwa wanamjua tayariKwa siku mbili kati ya tarehe 18,19/01/2025, CCM itakuwa na mkutano wake maalum huko Dodoma.
Kwenye mkutano huo, pamoja na mambo mengine, wajumbe watapiga kura ya kumthibitisha (siyo kumchagua ) Makamo Mwenyekiti wa chama hicho kwa upande wa Tanganyika.
Leo siku tatu kabla ya mkutano huo kuanza, wajumbe hawajui ni nani wanayekwenda kumthibitisha awe Makamo Mwenyekiti wao kwa upande wa Tanganyika.
Katiba ya CCM inasema kuwa, Makamo wa Mwenyekiti atapendekezwa na Kamati Kuu kwa Halmashauri Kuu ya chama hicho ambayo ndiyo itapendekeza Kwa mkutano Mkuu, jina la anayetakiwa awe Makamo Mwenyekiti kwa ajili ya kuthibitishwa.
Sasa hao wajumbe mpaka Leo hawajui nani atakuwa Makamo wa Mwenyekiti wao, halafu CCM inajisifu kuwa yenyewe ni chama kikubwa.
Chama gani kikubwa kinachoendesha mambo kizamani sana kama jando au unyago?
Machawa wanangojea waletewe kiongozi wasiyemjua wala kumchagua, waanze kumpamba.
CC.
Machawa wote.