CCM wanachekesha Sana, wanakwenda kuchagua bila kujua watamchagua nani!

CCM wanachekesha Sana, wanakwenda kuchagua bila kujua watamchagua nani!

Makadinali wanafanya kampeni kumpata papa, itakuwa CCM?
Sasa Makadinali si mambo ya kuamini wanaongozwa na roho mtakatifu?

Sasa hao CCM wanaongozwa na nini hadi wafikirie kwa niaba ya wana CCM wenzao.

CCM watu wa ajabu Sana.
 
Dogo CCM ni kubwa kuliko uwezo wako wa kufikiri. Hayo maswali waulize madogo wenzako. Ila ujue tu baada ya kikao cha Dodoma na kumpata Makamu Mwenyekiti wa CCM, CCM itakuwa na nguvu zaidi ya jana. Mark my words!
Mmhhh yetu macho na masikio
 
CCM itakuwa na nguvu zaidi ya jana. Mark my words!
CCM HAIJAWAHI kuwa na nguvu toka baada ya uchaguzi wa mwaka 1995.

Baada ya uchaguzi ule CCM ikagundua haipendwi na watanzania, ndipo ilipojigeuza kuwa kikundi cha wapora chaguzi.
 
Vikao vya chama na maamuzi ya chama ni siri na siyo upayukaji kama huko CHADEMA. Kwani umeona wapi wana CCM wakilalamika? Tupo kimya kwa sababu tuna elewa kila kitu kinachopaswa kufanyika katika kila hatua na hatua zote zipo sawa na mambo ni moto moto tu na Taifa lijiandae kulipuka kwa shangwe, vifijo na nderemo
Siri gani wakati chama ni mali ya Umma ayo mambo ya siri ndo tuajikutaga tumeingiza nchi kwenye mikataba ya ovyo tukipigwa faini ya kuvunja mikataba tulipa wote hizo faini wenye vyama na wasio na vyama wakamuliwa kodi vyama vinapewa ruzuku
 
Kwa siku mbili kati ya tarehe 18,19/01/2025, CCM itakuwa na mkutano wake maalum huko Dodoma.

Kwenye mkutano huo, pamoja na mambo mengine, wajumbe watapiga kura ya kumthibitisha (siyo kumchagua ) Makamo Mwenyekiti wa chama hicho kwa upande wa Tanganyika.

Leo siku tatu kabla ya mkutano huo kuanza, wajumbe hawajui ni nani wanayekwenda kumthibitisha awe Makamo Mwenyekiti wao kwa upande wa Tanganyika.

Katiba ya CCM inasema kuwa, Makamo wa Mwenyekiti atapendekezwa na Kamati Kuu kwa Halmashauri Kuu ya chama hicho ambayo ndiyo itapendekeza Kwa mkutano Mkuu, jina la anayetakiwa awe Makamo Mwenyekiti kwa ajili ya kuthibitishwa.

Sasa hao wajumbe mpaka Leo hawajui nani atakuwa Makamo wa Mwenyekiti wao, halafu CCM inajisifu kuwa yenyewe ni chama kikubwa.

Chama gani kikubwa kinachoendesha mambo kizamani sana kama jando au unyago?

Machawa wanangojea waletewe kiongozi wasiyemjua wala kumchagua, waanze kumpamba.

CC.

Machawa wote.
So unamaanisha ccm mazombi eeh
Hahahaha
 
Kabla haijawa wazi ilipataje mtu. Wakati Kinana anaondoka ulisikia Samia alisema nini?

Mnajifanya kuwachukia "mabeberu" ila mkitaka kuleta mbwembwe za kilumumba mnatumia lugha yao.

Ungeandika Kwa kiswahili usingeeleweka?
I never knew you are this low….
 
Hii ni sahihi.
Kutakuwa hakuna majungu wala makundi.
Watajuwa wakiwa kenye kikao na watasikiliza wagombea wanavyo jinadi.
Wewe ndio hujui kitu hakuna mgombea kujinadi ni jina moja linatajwa na kurhibitishwa.
Ni kama uwendawazimu flani
 
Unauliza swali la kijinga na kitoto,huo ni utaratibu wa CCM walivyokubalina Sasa unataka wafuate utaratibu wa Vyama vyenu vinavyotegemea Nguvu ya mtu? CCM ina muundo wa kikomunist
Wee ndo mjinga umeulizwa kwa nini kusiwe na uchaguz yaan kamati ya watu 12 sijui 32 iwaamulie wanaccm mamilioni upumbafuu kabisa
 
Kwa siku mbili kati ya tarehe 18,19/01/2025, CCM itakuwa na mkutano wake maalum huko Dodoma.

Kwenye mkutano huo, pamoja na mambo mengine, wajumbe watapiga kura ya kumthibitisha (siyo kumchagua ) Makamo Mwenyekiti wa chama hicho kwa upande wa Tanganyika.

Leo siku tatu kabla ya mkutano huo kuanza, wajumbe hawajui ni nani wanayekwenda kumthibitisha awe Makamo Mwenyekiti wao kwa upande wa Tanganyika.

Katiba ya CCM inasema kuwa, Makamo wa Mwenyekiti atapendekezwa na Kamati Kuu kwa Halmashauri Kuu ya chama hicho ambayo ndiyo itapendekeza Kwa mkutano Mkuu, jina la anayetakiwa awe Makamo Mwenyekiti kwa ajili ya kuthibitishwa.

Sasa hao wajumbe mpaka Leo hawajui nani atakuwa Makamo wa Mwenyekiti wao, halafu CCM inajisifu kuwa yenyewe ni chama kikubwa.

Chama gani kikubwa kinachoendesha mambo kizamani sana kama jando au unyago?

Machawa wanangojea waletewe kiongozi wasiyemjua wala kumchagua, waanze kumpamba.

CC.

Machawa wote.

CCM ni chama cha Kicomunist. Sawa na Russia , China na North Korea.

Zidumu fikra za Mwenyekiti.
 
I never knew you are this low….
Viingereza kwa sisi LY unatuchanganya tu. Leo bado siku mbili tu ili Mkutano Mkuu wa CCM uanze, wajumbe bado wapo gizani... HAWAJUI nani atakuwa Makamo Mwenyekiti wao🙄
 
Chama Cha Mambuzi wanakwenda kugomga Mhuri UTEUZI wa Bi Kizimkazi. Wao hawafanyi uchaguzi wanarlekezwa wampitishe mtu
 
Wee ndo mjinga umeulizwa kwa nini kusiwe na uchaguz yaan kamati ya watu 12 sijui 32 iwaamulie wanaccm mamilioni upumbafuu kabisa
Ndio maana nimekwambia wewe ni mjinga Kwa sababu muundo wa CCM ni tofauti na Vyama vyenu vinavyotegemea mtu binafsi
 
Kwa siku mbili kati ya tarehe 18,19/01/2025, CCM itakuwa na mkutano wake maalum huko Dodoma.

Kwenye mkutano huo, pamoja na mambo mengine, wajumbe watapiga kura ya kumthibitisha (siyo kumchagua ) Makamo Mwenyekiti wa chama hicho kwa upande wa Tanganyika.

Leo siku tatu kabla ya mkutano huo kuanza, wajumbe hawajui ni nani wanayekwenda kumthibitisha awe Makamo Mwenyekiti wao kwa upande wa Tanganyika.

Katiba ya CCM inasema kuwa, Makamo wa Mwenyekiti atapendekezwa na Kamati Kuu kwa Halmashauri Kuu ya chama hicho ambayo ndiyo itapendekeza Kwa mkutano Mkuu, jina la anayetakiwa awe Makamo Mwenyekiti kwa ajili ya kuthibitishwa.

Sasa hao wajumbe mpaka Leo hawajui nani atakuwa Makamo wa Mwenyekiti wao, halafu CCM inajisifu kuwa yenyewe ni chama kikubwa.

Chama gani kikubwa kinachoendesha mambo kizamani sana kama jando au unyago?

Machawa wanangojea waletewe kiongozi wasiyemjua wala kumchagua, waanze kumpamba.

CC.

Machawa wote.
Ila MAKAMU watakuwa wanamjua tayari
 
Back
Top Bottom