Sana, alikuwa hadi ananywesha akina Mbowe juice Ikulu, Walikuwa wanamkenulia hadi jino la mwisho, baada ya hapo akawa anawaagiza wazidi kumshindilia Lowasa huku wakizuga kwa kumtukana naye kiushkaji, wakimaliza kila mtu anamkatia bahasha yake. Wakadhani JPM ataendeleza huo upuuzi, Mwamba akawakazia!! Wamemjaribu Mother naye, oh tunaomba tuonane, kawakazia pia! Now wanatapatapa hawana pa kushika. Wamebaki kuita kila mtu dikteta, nyambaf zaoKwa hiyo unathibitisha JK alikuwa mtoa rushwa?
Huyo anaesema katiba mpya itamletea chakula ana yule adui mmoja wapo alomtaja Mwl Nyerere ujinga. Huyo anaujinga tena uliojaa mpaka pomoniMtaani huku wanachotaka kusikia barabara zimejengewa, maji yanapatikana na huduma za afya zimeboreshwa, suala la katiba mpya sijui nini hata hawana habari nazo na utafiti mdogo niliofanya juu ya umuhimu wa katiba mpya kwa wananchi wengi waliishia kuniambia, Je katiba mpya itaniletea chakula nyumbani? Sample ya utafiti huu ilikuwa ni ndogo lakini inatosha kuelezea maoni ya wananchi wengi juu ya Katiba Mpya. Wengi wanaona hii no bora na wengine wanafika mbali zaidi kwa kusema mchakato huu ni kama ule wa Tume ya Jaji Nyalali
Maana data walikusanya Kabudi na Polepole ndomana nimekuuliza uliwaona hao wananchi?Acha kuuliza maswali ya kipumbavu john.
Huyo anaesema katiba mpya itamletea chakula ana yule adui mmoja wapo alomtaja Mwl Nyerere ujinga. Huyo anaujinga tena uliojaa mpaka pomoni
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo imekwisha hiyo!!"Wapi uliona wananchi wamedai katiba mpya, dai la katiba mpya ni letu sisi wanasiasa, hivi kupitia kupatikana kwa katiba mpya itawaletea wananchi unga? Katiba mpya inayodaiwa na wanasiasa ni kwa ajili ya kutengeneza nafasi za uongozi na madaraka"
Daniel Chongolo,Katibu Mkuu wa CCM
Sasa hapo nilimjibu mtu hapo juu mkuuNdio unatakiwa kumfuta huo ujinga kwa kumpa faida za hicho unachodai
Ukimpuuza hapo na yeye atakupuuza kwenye kuidai
Tunza haya maneno ipo siku yatakugharimu.Sana, alikuwa hadi ananywesha akina Mbowe juice Ikulu, Walikuwa wanamkenulia hadi jino la mwisho, baada ya hapo akawa anawaagiza wazidi kumshindilia Lowasa huku wakizuga kwa kumtukana naye kiushkaji, wakimaliza kila mtu anamkatia bahasha yake. Wakadhani JPM ataendeleza huo upuuzi, Mwamba akawakazia!! Wamemjaribu Mother naye, oh tunaomba tuonane, kawakazia pia! Now wanatapatapa hawana pa kushika. Wamebaki kuita kila mtu dikteta, nyambaf zao
Sawasawa🙏
Jamaa linatumia maqalio kufikir, kwa hyo wanasiasa sio wananchi?Katibu mkuu wa CCM ndugu Chongollo amehoji kama kuna siku wananchi wamewahi kubeba mabango wakidai katiba mpya?!
Kadhalika Chongollo amehoji Tume huru ya uchaguzi inamsaidia nini mwananchi wa kawaida hadi aidai?
Kimsingi katiba mpya ni dai la wanasiasa kwa maslahi yao na siyo hitaji la wananchi kwa sasa a esisitiza Chongollo
Source: Channel ten
My take; Nakubaliana na Katibu u
Mungu ashatuambia kabla ya kumsaidia jirani yako anza kwanza kusaidia nyumban kwako. Sasa hawa wapinzani kabla ya kutusaidia sisi waanze kwanza kujisaidia wenyewe. Katiba yao ni mbovu na ni kichochoro cha mwenyekiti kupigia hela na kukaa madarakan kwa muda usiojulikana.Ok,
Ili katiba mpya iwe hitaji la watanzania wote ipo haja ya wanasiasa kujichunguza walikokosea, na kuweka maslahi ya wananchi mbele kabla ya maslahi ya vyama vyao.
Chadema mkiweza kuondoka humu mitandaoni na kwenda kufanya hili mtakuja kunishukuru😃😃
Ila kwa ninavyowajua wapinzani CCM bado wapo sanaaaaa
Tunataka katiba mpya. Tume huru ni kipengele kimojawapo tu. Tutaanzia pale ilipoishia tume ya Warioba (attached).kubali usikubali huo ndiyo ukweli ila hamtaki kuukubali wanasiasa wanataka katiba mpya kwaajili ya kipengele cha tume huru tu ambayo wanayoitumiani wana siasa mwananchi wa kawaida inamhusu nini?
Mungu ashatuambia kabla ya kumsaidia jirani yako anza kwanza kusaidia nyumban kwako. Sasa hawa wapinzani kabla ya kutusaidia sisi waanze kwanza kujisaidia wenyewe. Katiba yao ni mbovu na ni kichochoro cha mwenyekiti kupigia hela na kukaa madarakan kwa muda usiojulikana.
Unyumbu ni hali inayotokea kwa binadamu ambaye huacha kufikiri kwaajili yake badala yake hutumia akili za kikundi kukidhi malengo ya kikundi 'an occurrence of thoughtful people suspending their individual reasoning because of panic or fear'Akiongea na waandishi wa habari Leo 11/8/2021 ametoa maelekezo mwenye halmashauri na kisha kukaribisha maswali.
Moja ya swali ilikuwa Katiba mpya.
Muuliza swali amejenga hoja kwa kubalance vizuri sana.
Majibu yake ni Kwamba Katiba mpya ni hitaji la wanasiasa na Si wananchi kwakuwa mabango ya kudai Katiba ni yakutafuta madaraka tu.
Amemhoji umewaona wananchi wakiwa namabango wakidai katiba?
Swali langu,
1. Mwananchi ni yupi?
2. Mwanasiasa ni yupi?
3. Kudai katiba kunahalalisha vipi kuwa huyu ni mwanasiasa?
Acha ujinga wewe, yanigharimu vipi? Wahuni wa CDM kupiga hela za kuhongwa kuliishia kwa JK, now ubandidu tu, watakula kwa jasho lao! Unadhani Lema anapenda kuendesha Uber Canada? Mambo tightTunza haya maneno ipo siku yatakugharimu.
Sio dai la Kila mwanasiasa ni dai la wananchi wakipitia kwa wawakilishi wao wanasiasaAkiongea na waandishi wa habari Leo 11/8/2021 ametoa maelekezo mwenye halmashauri na kisha kukaribisha maswali.
Moja ya swali ilikuwa Katiba mpya.
Muuliza swali amejenga hoja kwa kubalance vizuri sana.
Majibu yake ni Kwamba Katiba mpya ni hitaji la wanasiasa na Si wananchi kwakuwa mabango ya kudai Katiba ni yakutafuta madaraka tu.
Amemhoji umewaona wananchi wakiwa namabango wakidai katiba?
Swali langu,
1. Mwananchi ni yupi?
2. Mwanasiasa ni yupi?
3. Kudai katiba kunahalalisha vipi kuwa huyu ni mwanasiasa?
Ikiwa mwenyekiti wao taifa alipigwa mawe katika jimbo lake mwenyewe, vipi kwa mtu asiekuwa na jina ndan au nje ya chama hicho atagombea ubunge na ashinde?Na watakaporudi kwa wananchi wataulizwa
Iboya kumbe wewe ni boya kwelikubali usikubali huo ndiyo ukweli ila hamtaki kuukubali wanasiasa wanataka katiba mpya kwaajili ya kipengele cha tume huru tu ambayo wanayoitumiani wana siasa mwananchi wa kawaida inamhusu nini?
Ikiwa mwenyekiti wao taifa alipigwa mawe katika jimbo lake mwenyewe, vipi kwa mtu asiekuwa na jina ndan au nje ya chama hicho atagombea ubunge na ashinde?