Theb
JF-Expert Member
- Jan 25, 2019
- 3,927
- 7,276
Tukusanye maoni ya wananchi tutapata ukweli..?"Wapi uliona wananchi wamedai katiba mpya, dai la katiba mpya ni letu sisi wanasiasa, hivi kupitia kupatikana kwa katiba mpya itawaletea wananchi unga? Katiba mpya inayodaiwa na wanasiasa ni kwa ajili ya kutengeneza nafasi za uongozi na madaraka"
Daniel Chongolo,Katibu Mkuu wa CCM
Sent using Jamii Forums mobile app