CCM: Wananchi hawajawahi kudai Katiba mpya bali hilo ni takwa la wanasiasa kwa maslahi yao binafsi

CCM: Wananchi hawajawahi kudai Katiba mpya bali hilo ni takwa la wanasiasa kwa maslahi yao binafsi

Serikal ndio wenye wajbu na uwezo wa kufanya ayo yote.
Viongozi wa chama tawala yaani serikali unayoipa huo wajibu wameshakwambia wananchi hawataki katiba mpya, wanasiasa wachache ndo wanaitaka. Sasa maneno mengi mengi ya nn?
 
Akiongea na waandishi wa habari Leo 11/8/2021 ametoa maelekezo mwenye halmashauri na kisha kukaribisha maswali.
Moja ya swali ilikuwa Katiba mpya.
Muuliza swali amejenga hoja kwa kubalance vizuri sana.

Majibu yake ni Kwamba Katiba mpya ni hitaji la wanasiasa na Si wananchi kwakuwa mabango ya kudai Katiba ni yakutafuta madaraka tu.

Amemhoji umewaona wananchi wakiwa namabango wakidai katiba?

Swali langu,

1. Mwananchi ni yupi?

2. Mwanasiasa ni yupi?

3. Kudai katiba kunahalalisha vipi kuwa huyu ni mwanasiasa?
"Katiba Mpya Si Hitaji la CCM kwa Manufaa yao Kuendelea Kubaki madarakani."

Katiba iliyopo ina manufaa kwa CCM na sio manufaa kwa nchi (Tanzania).

Wananchi kutoshika mabango haina maana kwamba wananchi hawaihitaji katiba mpya; bali ni ulaghai unaotumiwa na CCM kuendelea kutetea katiba mbovu inayowalinda wao na siyo kulinda maslahi ya Tanzania.
 
Sheria ya bunge ya mwaka 2012 inatambua uwepo wa mchato wa kupatikana kwa katiba mpya. Tume iliundwa na mabilioni yalitumika katika mchakato na wananchi tulitoa maoni yetu. Bunge la watu zaidi ya 500 lilikutana na wakala posho za kutosha. Waliokuwa wajumbe wa bunge lile ni viongo wote wa sasa kuanzia Rais, waziri mkuu, Kabudi, Polepole n.k. Why leo waseme wananchi hatuhitaji katiba?
Wanaosema wananchi hawataki Katiba mpya tuwapatie maoni na takwimu za walioshiriki katika maandalizi na maoni ya katiba mpya yaliyozikwa na wanakijani.
 
"Katiba Mpya Si Hitaji la CCM kwa Manufaa yao Kuendelea Kubaki madarakani."

Katiba iliyopo ina manufaa kwa CCM na sio manufaa kwa nchi (Tanzania).

Wananchi kutoshika mabango haina maana kwamba wananchi hawaihitaji katiba mpya; bali ni ulaghai unaotumiwa na CCM kuendelea kutetea katiba mbovu inayowalinda wao na siyo kulinda maslahi ya Tanzania.
Sasa kama inahitajika kwann mabango yasishikwe? Kwann isipiganiwe na wanaoitaka? Utulivu wa nn iwapo viongozi hawawapi wananchi wanachohitaji?
 
Codes za kuisambaratisha ccm ni mbili.
Katiba mpya na uraia pacha hivi vitu Katu ccm haitoviruhusu,ikiviruhusu tu itakufa.
Ccm na umasikini ni kiatu na mguu.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Akiongea na waandishi wa habari Leo 11/8/2021 ametoa maelekezo mwenye halmashauri na kisha kukaribisha maswali.
Moja ya swali ilikuwa Katiba mpya.
Muuliza swali amejenga hoja kwa kubalance vizuri sana.

Majibu yake ni Kwamba Katiba mpya ni hitaji la wanasiasa na Si wananchi kwakuwa mabango ya kudai Katiba ni yakutafuta madaraka tu.

Amemhoji umewaona wananchi wakiwa namabango wakidai katiba?

Swali langu,

1. Mwananchi ni yupi?

2. Mwanasiasa ni yupi?

3. Kudai katiba kunahalalisha vipi kuwa huyu ni mwanasiasa?
Naunga mkono hoja ya KATIBU WETU MKUU kamarada Chongolo👊

Katiba mpya ni TAKWA LA WANASIASA NA UROHO WAO WA MADARAKA......

Sisi wananchi wala hatuihitaji katiba mpya......

#SiempreSerikaliMbiliZaJMT
 
Acha kuandika ujinga wewe!!! Maccm kama wanapendwa kiasi hicho kwanini wanapora uchaguzi badala ya kushinda kihalali? Kwanini wanahofia uchaguzi HURU na wa HAKI hao wanaopendwa? Kwanini Mkapa alipotaka uchaguzi wa 2020 usimamiwe na Tume huru ya uchaguzi maccm yakaingia mitini? Acha kuonyesha ujuha wako hadharani.
Hawataki kusikia hayo, wao ni bora waungane na mataifa ya nje kuweka shinikizo ili watwae madaraka kuliko kufanya hayo...

Wanadhani watanzania ni wajinga, hawajui kutofautisha nyekundu na kijani...Nenda kwenye grassroot uone CCM inabebwa na kina nani? Kisha linganisha na vyama vingine...Utakuta hao wengine wanapata bahati ya kuungwa mkono na vijana ambao hawana ajira zao la hao hao wanaodhani watawasaidia kupata madaraka....They are both short sighted and minded people...

Walikuwa na wabunge, badala ya zile pesa za maendeleo kutengeneza miradi ya maendeleo wao walikuwa busy kuzipeleka chamani kusaidia kuvuruga amani na utulivu wa jamii kwa maandamano na malumbano yasiyoisha...Mmeweka historia mbaya...

If truly hayo mataifa yanataka maendeleo na wellbeing ya commoners wawaletee misaada ya miradi ya maendeleo kuajiri hao vijana na kuongeza pato la mkulima uone kama mtahitaji katiba kupata madaraka....Acheni usanii na siasa za kilaghai...Tanzania is a country na tupo ambao tupo tayari kuilinda bila kujali status ya vyama vyetu
 
Akiongea na waandishi wa habari Leo 11/8/2021 ametoa maelekezo mwenye halmashauri na kisha kukaribisha maswali.
Moja ya swali ilikuwa Katiba mpya.
Muuliza swali amejenga hoja kwa kubalance vizuri sana.

Majibu yake ni Kwamba Katiba mpya ni hitaji la wanasiasa na Si wananchi kwakuwa mabango ya kudai Katiba ni yakutafuta madaraka tu.

Amemhoji umewaona wananchi wakiwa namabango wakidai katiba?

Swali langu,

1. Mwananchi ni yupi?

2. Mwanasiasa ni yupi?

3. Kudai katiba kunahalalisha vipi kuwa huyu ni mwanasiasa?
Sisi wananchi dai letu ni tozo za miamala ya simu kuondolewa na siyo Katiba mpya kama chadema wa avyoongopa na siyo kukubali tozo za miamala ya simu kama Rais Samia anavyoongopa
 
Sasa kama inahitajika kwann mabango yasishikwe? Kwann isipiganiwe na wanaoitaka? Utulivu wa nn iwapo viongozi hawawapi wananchi wanachohitaji?
"Utulivu" wa mitutu ya bunduki na mabomu ya machozi, huo ndio unauita utulivu?

Wananchi wanahitaji uongozi wa kuwaongoza kudai Katiba Mpya. Viongozi hao mnawatia hofu na kuwabambikizia kesi za ugaidi, leo bado na akili mbovu kama hiyo unakuja hapa kudai kwamba wananchi hawahitaji katiba mpya?

Ondoa hiyo mitutu ya bunduki na mabomu, halafu uone kitakachotokea kuhusu wananchi na uhitaji wao wa katiba mpya.

Vinginevyo, endelea kukandamiza na hiyo mitutut na vitisho vyote ulivyo navyo, huku ukijidai hakuna hitaji la katiba mpya, itakapofika mahali ambapo vitisho na mitutu haitakuwa na aana yoyote kwa wananchi, hapo ndipo utakapotambua uhitaji mkubwa walionao wananchi juu ya katiba mpya.

Najuwa bado huko ndani ya CCM kutakuwa na watu wenye akili za kutosha kujuwa linakoelekea taifa letu.
 
"Utulivu" wa mitutu ya bunduki na mabomu ya machozi, huo ndio unauita utulivu?

Wananchi wanahitaji uongozi wa kuwaongoza kudai Katiba Mpya. Viongozi hao mnawatia hofu na kuwabambikizia kesi za ugaidi, leo bado na akili mbovu kama hiyo unakuja hapa kudai kwamba wananchi hawahitaji katiba mpya?

Ondoa hiyo mitutu ya bunduki na mabomu, halafu uone kitakachotokea kuhusu wananchi na uhitaji wao wa katiba mpya.

Vinginevyo, endelea kukandamiza na hiyo mitutut na vitisho vyote ulivyo navyo, huku ukijidai hakuna hitaji la katiba mpya, itakapofika mahali ambapo vitisho na mitutu haitakuwa na aana yoyote kwa wananchi, hapo ndipo utakapotambua uhitaji mkubwa walionao wananchi juu ya katiba mpya.

Najuwa bado huko ndani ya CCM kutakuwa na watu wenye akili za kutosha kujuwa linakoelekea taifa letu.
Wananchi B kadhaa waogope bunduki zisizozidi m5 za jeshi lote?

Au ni kakikundi fulani hivi unakazungumzia?

Mm naongelea wananchi kama wale wa mikutano ya TL na EL.

Kama wale waloenda mpokea TL airport pamoja na mitutu iliyokuwepo.
 
Katibu atakuwa Genius. Nia ya swali ndo jibu. Na Ukweli wa maisha yetu Ndo dira. Tell me. Mwaka Jana uchaguzi. Nchi maskini Sasa ni kazi tu. Katiba mimi inanisaidia Nini kwa Sasa katika kupunguza changamoto zangu za maisha ? Kwa Sasa. Baada ya uchaguzi mwaka Jana.

Lini watanzania tutatulia na kuwaza maendeleo. Katiba katiba. Then what. Mambo haya yatakuja tu.
Mbona mama yenu naye kasema wananchi ndio wameomba tozo ni lini tulihojiwa tukaomba tozo?
 
Uko ndiko kufilisika kwa chama tunakosema kila mara.chama kikongwe kilichokaa madarakani takribani miaka 60,viongozi wake wanatoa majibu mepesi kwenye swala la katiba.Uku nikuishiwa hoja kwa kiwango kikubwa.Nasio kwamba hawajui bali wanafanya makusudi kutapatapa kukinusuru chama kilichoishiwa hoja.
 
Swali ni kuwa ushawahi waona wananchi wakitoka na mabango kudai katiba? Kama wanaitaka watoke waidai hakuna haja ya kutumia mwanasiasa wa upinzani.
Hao wananchi utatumia njia gani kupata mawazo yao bila kupitia makundi maalum.Uku nikutapatapa tu kusiko na msingi wowote.
 
Akiongea na waandishi wa habari Leo 11/8/2021 ametoa maelekezo mwenye halmashauri na kisha kukaribisha maswali.
Moja ya swali ilikuwa Katiba mpya.
Muuliza swali amejenga hoja kwa kubalance vizuri sana.

Majibu yake ni Kwamba Katiba mpya ni hitaji la wanasiasa na Si wananchi kwakuwa mabango ya kudai Katiba ni yakutafuta madaraka tu.

Amemhoji umewaona wananchi wakiwa namabango wakidai katiba?

Swali langu,

1. Mwananchi ni yupi?

2. Mwanasiasa ni yupi?

3. Kudai katiba kunahalalisha vipi kuwa huyu ni mwanasiasa?
Huyu kaanzisha fukuto la mjadala, unaweza kula kwake
 
Hao wananchi utatumia njia gani kupata mawazo yao bila kupitia makundi maalum.Uku nikutapatapa tu kusiko na msingi wowote.
Wenye mamlaka wamekwambia, wananchi hawataki katiba. Ulimsikia? Njia pekee ya kuonyesha hawapo sahihi ni kuwaambia TUNATAKA KATIBA sio sijui mawazo kupitia makundi maalum sijui sanduku la maoni.
 
Wananchi au watanzania kwa ujumla vipaumbele vyetu ni maendeleo, amani, upendo na umoja. Hili swala la katiba mpya linataka kutumiwa kama uchochoro na wanasiasa uchwara ili kupiga hela katika vikao vya katiba.

Inajulikana kwamb wanaodai katiba ni wale walioshindwa vibaya ktk uchaguzi mkuu, kwa maana hiyo hawana ruzuku wala mshahara wowote wanaoupata kupitia bunge kama walivyozoea miaka ya nyuma.

Sasa wanataka kupiga hela kupitia bunge la katiba ili wajaze matumbo yao. Nasema tena watanzania katiba sio kipaumbele chetu. Sisi tunachotaka ni maji safi, shule na hospital zijengwe kwa wingi hasa vijijini, barabara nzuri, mazingira mazuri ya kufanyia biashara na ajira.
Huna unachojua wewe.hakuna dudumizi mwenye akili ata mmoja.tulia wenye akili wakusaidie kufikiri kwa ajili ya wajukuu zako.
 
"Wapi uliona wananchi wamedai katiba mpya, dai la katiba mpya ni letu sisi wanasiasa, hivi kupitia kupatikana kwa katiba mpya itawaletea wananchi unga? Katiba mpya inayodaiwa na wanasiasa ni kwa ajili ya kutengeneza nafasi za uongozi na madaraka"

Daniel Chongolo,Katibu Mkuu wa CCM
Kwani CCM ilipoliweka suala la katiba mpya kwenye ilani ya uchaguzi ya mwaka 2015 ilikuwa haijui inachokifanya?
 
Back
Top Bottom