Swali langu,
1. Mwananchi ni yupi?
2. Mwanasiasa ni yupi?
3. Kudai katiba kunahalalisha vipi kuwa huyu ni mwanasiasa?
Hapa ndipo unapoweza kuelewa kuwa zaidi ya 99% ya Journalists wa Tanzania ni maamuma na makanjanja kwa 100%....
Yaani wanaitwa na kiongozi wa umma, anamwaga ujinga wake mbele yao, wanamuuliza maswali magumu yenye maslahi kwa umma, anawajibu kunya, kirahisi na kipropaganda wanamwacha aende free bila kumtoa jasho...
Yaani waandishi wa habari wa Bongoland au Bongolala wanalishwa pumba na matango pori nao kama wajinga na wasioenda shule wanakubali tu...
Tafsiri ya hii, maana yake ni kuwa, kiongozi huyu anawatazama na kuwaona waandishi wote aliowaita kuripoti habari yake kuwa ni wajinga, wapumbavu na mabongolala tu....!!
Ndiyo. Likely ndivyo walivyo...
Mfano; sijui ni kwanini tu waandishi wetu hawa walishindwa kumuuliza maswali muhimu na magumu kama haya na wahakikishe anatoa majibu sahihi na ya kuridhisha...
Waandishi wa habari hakikisheni mna uelewa wa kutosha wa mambo ya katiba na kisheria, elimu, biashara, afya, michezo, current trending affairs globally nk nk mnapokwenda kuhojiana na viongozi ili kuepuka kuripoti ujinga na upumbavu wa viingozi hao kwa kuwa wanakuwa wameshawatambua kuwa nyie ni maamuma, hamjui lolote....!!
Mkiwa na ufahamu huu, watawaheshimu na hawatakuwa wanakutana nanyi kuzungumza na vyombo vyenu vya habari huku wakiwa wamelewa mvinyo wa madaraka yao...
Poor Tanzanians journalists....!!