Hii iweke sawa kwamba ni zaidi ya nusu ya wanaccm waliokua mafisadi wakakatiwa mirijaZaidi ya nusu ya wanaccm watampigia kura Lissu. CCM mpya imechokwa sana
CCM ina watu wa hovyo snTumeona vijijini,ccm wanadhana kuwawekea tbc pekee ndo wataweza mind control,mind control aliweza Nyerere pekee zamani, hata Sasa asingeweza control akili za watu. Wanajidanganya eti Lisu ajulikani vijijini sasa Kama trump tu anajulikana vijijini sembuse Lisu.
Shida ipo kwenye NECTegemeo lao kubwa ni dola, uzuri dola awajaongezewa mishahara 5 yrs hapa wamelikoroga nayo inataka mabadiliko. This time hata watumie euro au paund imekula kwao
Mwaka huu wakurugenzi wasipotenda haki na kutulaImisha kutuchagulia viongozi ili kumridhisha asiyefadhilika wasie na mtu watavuna mapando yao.Shida ipo kwenye NEC
Mkuu hatutafanya chochote tutaishia kulalamika overMwaka huu wakurugenzi wasipotenda haki na kutulaImisha kutuchagulia viongozi ili kumridhisha asiyefadhilika wasie na mtu watavuna mapando yao.
Mwaka huu wapinzani wamepata mgombea mpinzani halisi Tena mwenye damu toka Kenya, NEC watende haki hao wanaowategemea Wana hasira nao sababu wamewazulumu nyongeza za mishahara tunaishi nao mtaani wasidanganywe na mabosi zao ambao ni wanufaika. Hivyo wasichezee fyuzi.Ukiwa mwana siasa lazima uwe muongo , inabidi CdM mjipange kuzuia masanduku feki ya kura yasihesabiwe au tuyachome Moto kabla hayajaleta asali
Watz walikosa mtu jasiri haki lzm itapatikana ni heri kupigwa mabomu ya siku chache kuliko kupigwa njaa tena ya miaka 5Mkuu hatutafanya chochote tutaishia kulalamika over
CCM uwezo wao wa kufikiri umeisha(gota) 'We can no longer solve our problems with the same level of thinking that created them.”Nimemsikia Polepole Leo akidai kuwa CCM ina wanachama 16 million. Assuming kuwa mwanachama ni lazima awe na umri wa miaka 18 hivyo inamaanisha kuwa kwa idadi hiyo CCM ina 70 % ya Wapiga kura wote kwa Tanzania. Kwa vile anadai kuwa Kila wanachama 3 watarecruit mtu moja hivyo kuwa na wapiga kura wa zaidi ya 5 million wa ziada. Kwa madai hayo ina maana watakuwa na wapiga kura 21 million Kati ya 23 million wakiojiandikisha.
Je, huu ndiyo Mpango wa CCM kujustify ushindi wa kishindo na wanatuandaa kisaikolojia kwa Mpango wao wakati on the ground watu tunaona tofauti?
Binafsi Nikiangalia kwenye Familia, marafikiki na watu walionizunguka sioni hao wanachama wa CCM kwa number hizo wanazodai CCM.
Wadau naomba maoni yenu kuhusu anachokisena Polepole.
Wanachama wa ccm hawafiki milioni 2Nimemsikia Polepole Leo akidai kuwa CCM ina wanachama 16 million. Assuming kuwa mwanachama ni lazima awe na umri wa miaka 18 hivyo inamaanisha kuwa kwa idadi hiyo CCM ina 70 % ya Wapiga kura wote kwa Tanzania. Kwa vile anadai kuwa Kila wanachama 3 watarecruit mtu moja hivyo kuwa na wapiga kura wa zaidi ya 5 million wa ziada. Kwa madai hayo ina maana watakuwa na wapiga kura 21 million Kati ya 23 million wakiojiandikisha.
Je, huu ndiyo Mpango wa CCM kujustify ushindi wa kishindo na wanatuandaa kisaikolojia kwa Mpango wao wakati on the ground watu tunaona tofauti?
Binafsi Nikiangalia kwenye Familia, marafikiki na watu walionizunguka sioni hao wanachama wa CCM kwa number hizo wanazodai CCM.
Wadau naomba maoni yenu kuhusu anachokisena Polepole.
Ngoja tuone mkuuWatz walikosa mtu jasiri haki lzm itapatikana ni heri kupigwa mabomu ya siku chache kuliko kupigwa njaa tena ya miaka 5
Angalau mzee wa lupaso alitumia both nguvu na akili waliopo hamna mwenye akili ya kusolve zaidi ya nguvu,Wakitumia nguvu wamekwisha, Wakitumia nguvu wamemeza mtegoCCM uwezo wao wa kufukiri umeisha(gota) 'We can no longer solve our problems with the same level of thinking that created them.”
Sio wanachama wote wanaopiga kura. Lakini pia kuna wanachama wengi mfu.Waache kutudaganya. 2015 waliambulia kura 8 million. Kwa miaka 5 wanataka kudai wapiga kura wao wameongezeka...
Polepole yupo sawa, Chadema imepoteza umaarufu,na sisi wenye machungu na chama tumechukia.Nimemsikia Polepole Leo akidai kuwa CCM ina wanachama 16 million. Assuming kuwa mwanachama ni lazima awe na umri wa miaka 18 hivyo inamaanisha kuwa kwa idadi hiyo CCM ina 70 % ya Wapiga kura wote kwa Tanzania. Kwa vile anadai kuwa Kila wanachama 3 watarecruit mtu moja hivyo kuwa na wapiga kura wa zaidi ya 5 million wa ziada. Kwa madai hayo ina maana watakuwa na wapiga kura 21 million Kati ya 23 million wakiojiandikisha.
Je, huu ndiyo Mpango wa CCM kujustify ushindi wa kishindo na wanatuandaa kisaikolojia kwa Mpango wao wakati on the ground watu tunaona tofauti?
Binafsi Nikiangalia kwenye Familia, marafikiki na watu walionizunguka sioni hao wanachama wa CCM kwa number hizo wanazodai CCM.
Wadau naomba maoni yenu kuhusu anachokisena Polepole.
Hadi jamaa kawa mpole anafoka foka na ubabe wake Hali si Hali upepo si wao,anga limewakataa.Ngoja tuone mkuu
Ccm wanatapatapa.. hakuna ukweli hapoNimemsikia Polepole Leo akidai kuwa CCM ina wanachama 16 million. Assuming kuwa mwanachama ni lazima awe na umri wa miaka 18 hivyo inamaanisha kuwa kwa idadi hiyo CCM ina 70 % ya Wapiga kura wote kwa Tanzania. Kwa vile anadai kuwa Kila wanachama 3 watarecruit mtu moja hivyo kuwa na wapiga kura wa zaidi ya 5 million wa ziada. Kwa madai hayo ina maana watakuwa na wapiga kura 21 million Kati ya 23 million wakiojiandikisha.
Je, huu ndiyo Mpango wa CCM kujustify ushindi wa kishindo na wanatuandaa kisaikolojia kwa Mpango wao wakati on the ground watu tunaona tofauti?
Binafsi Nikiangalia kwenye Familia, marafikiki na watu walionizunguka sioni hao wanachama wa CCM kwa number hizo wanazodai CCM.
Wadau naomba maoni yenu kuhusu anachokisena Polepole.