Uchaguzi 2020 CCM wanapotosha. Haiwezekani kuwa 70 % ya Wapiga kura ni Wana CCM

Uchaguzi 2020 CCM wanapotosha. Haiwezekani kuwa 70 % ya Wapiga kura ni Wana CCM

Maumivu yakiz muone daktar
Mkuu nimejarbu kufutilia context zako nikagundua wew ndo mtu wa hovyo kuwai kutokea kwenye hii karne ya sasa naisi hara elimu uliyo nayo niyakigumashi sana

Kwa wakati kama hizi most of people we need to change the. Feature this country Ila cha ajabu
Wewe unakumbatia. Umasikini na ufukara uliyo nayo hata kama una nyadhifa fulani usichukulie poah
Life is so tough
 
Nimemsikia Polepole Leo akidai kuwa CCM ina wanachama 16 million. Assuming kuwa mwanachama ni lazima awe na umri wa miaka 18 hivyo inamaanisha kuwa kwa idadi hiyo CCM ina 70 % ya Wapiga kura wote kwa Tanzania. Kwa vile anadai kuwa Kila wanachama 3 watarecruit mtu moja hivyo kuwa na wapiga kura wa zaidi ya 5 million wa ziada. Kwa madai hayo ina maana watakuwa na wapiga kura 21 million Kati ya 23 million wakiojiandikisha.

Je, huu ndiyo Mpango wa CCM kujustify ushindi wa kishindo na wanatuandaa kisaikolojia kwa Mpango wao wakati on the ground watu tunaona tofauti?

Binafsi Nikiangalia kwenye Familia, marafikiki na watu walionizunguka sioni hao wanachama wa CCM kwa number hizo wanazodai CCM.

Wadau naomba maoni yenu kuhusu anachokisena Polepole.
Wewe ulitoka Burundi na kuoa mrundi mwenzako- unategemea uwe na ukoo mkubwa kweli
 
Hizo hesabu hata kamani kweli
Kura ni siri ya mtu
Wapo wanye kadiza ccm kabisa lakini wako tayari kuipigia chadema kura kwa kishindo.

Sio ccm wote wanaridhika kwa matendo mengi maovu ya serikali ya chama chao yasiopendeza kwa umma wa watanzania

Wakaribisheni hao ni binadamu waungwana.

Na hao wamo kwenye hesabu yake polepole.

Hata hivyo bado hakuna ushahidi wa moja kwa moja juu ya madai yake
Nimemsikia Polepole Leo akidai kuwa CCM ina wanachama 16 million. Assuming kuwa mwanachama ni lazima awe na umri wa miaka 18 hivyo inamaanisha kuwa kwa idadi hiyo CCM ina 70 % ya Wapiga kura wote kwa Tanzania. Kwa vile anadai kuwa Kila wanachama 3 watarecruit mtu moja hivyo kuwa na wapiga kura wa zaidi ya 5 million wa ziada. Kwa madai hayo ina maana watakuwa na wapiga kura 21 million Kati ya 23 million wakiojiandikisha.

Je, huu ndiyo Mpango wa CCM kujustify ushindi wa kishindo na wanatuandaa kisaikolojia kwa Mpango wao wakati on the ground watu tunaona tofauti?

Binafsi Nikiangalia kwenye Familia, marafikiki na watu walionizunguka sioni hao wanachama wa CCM kwa number hizo wanazodai CCM.

Wadau naomba maoni yenu kuhusu anachokisena Polepole.
 
Muulize katibu wa Chadema anawanachama wangapi waliohai, ukipata rudi useme hapa ndipo utajua Ccm imeangalia idadi tao ya wanachama waliohai wanaolipia kadi .Idadi ya pembeni ni wale wasio na vyama ,kiukweli hapo ni idadi tu ya wanachama na wakienda wote mwaka huu Ccm 9m na chadema 3m utaona siku ndio hivo zinayoyoma.
Polepole anadai CCM wana wanachama 16 million. Wewe unasema 9 million. Ndiyo maana nimesema kuna upotoshaji hapa.
 
Nimemsikia Polepole Leo akidai kuwa CCM ina wanachama 16 million. Assuming kuwa mwanachama ni lazima awe na umri wa miaka 18 hivyo inamaanisha kuwa kwa idadi hiyo CCM ina 70 % ya Wapiga kura wote kwa Tanzania. Kwa vile anadai kuwa Kila wanachama 3 watarecruit mtu moja hivyo kuwa na wapiga kura wa zaidi ya 5 million wa ziada. Kwa madai hayo ina maana watakuwa na wapiga kura 21 million Kati ya 23 million wakiojiandikisha.

Je, huu ndiyo Mpango wa CCM kujustify ushindi wa kishindo na wanatuandaa kisaikolojia kwa Mpango wao wakati on the ground watu tunaona tofauti?

Binafsi Nikiangalia kwenye Familia, marafikiki na watu walionizunguka sioni hao wanachama wa CCM kwa number hizo wanazodai CCM.

Wadau naomba maoni yenu kuhusu anachokisena Polepole.
Ila YOUTUBE wakisema video ya wimbo DESPASITO umetizamwa na watu bilioni Saba na kuvunja rekodi inakua sawa?

By the way kupinga tafiti kunahitaji tatiti pia...
 
Polepoleanadai CCM wana wanachama 16 million. Wewe unasema 9 million. Ndiyo maana nimesema kuna upotodhaji hapa.
Wewe ni wapi nimedai ,nimesema ushindi utakuwa 9m kwa ccm ila wanawachama ni M17 sio m16 kama ulivyosema usidhani nimekurupuka nimekupa nakisi tu kama Lowassa alipa m6 na Tundu apate ngapi kama sio m3 hivyo ushindi ni wa Ccm kwa sababu ina idadi ya wanachama inaowajua kindakindaki nimekupa tip mwambie katibu wa chadema akanushe na ataje wanachama wake we huoni hata mgombea wa chadema anashinikiza apigiwe hadi na watumishi ili wagawane maana anajua wanachama wa ccm ni wengi ni bora kuwachonganisha ili apigiwe yeye.
 
Mkuu nimejarbu kufutilia context zako nikagundua wew ndo mtu wa hovyo kuwai kutokea kwenye hii karne ya sasa naisi hara elimu uliyo nayo niyakigumashi sana
Kwa wakati kama hizi most of people we need to change the. Feature this country Ila cha ajabu
Wew unakumbati. Umasikini na ufukara uliyo nayo hata kama una nyadhifa flan usichukulie poah
Life is so tough
Jaribu kuficha ujinga wako kidogo!! Umaskini ni wakwako kama huwez kufanya kaz endelea kujishinda mitandaon na kulaumu serkali, kamaeni na hao wanatumwa kutuvulugia nch, iko hiv huyu beberu hapit na mkileta vulugu tutawadhibit
 
Nimemsikia Polepole Leo akidai kuwa CCM ina wanachama 16 million. Assuming kuwa mwanachama ni lazima awe na umri wa miaka 18 hivyo inamaanisha kuwa kwa idadi hiyo CCM ina 70 % ya Wapiga kura wote kwa Tanzania. Kwa vile anadai kuwa Kila wanachama 3 watarecruit mtu moja hivyo kuwa na wapiga kura wa zaidi ya 5 million wa ziada. Kwa madai hayo ina maana watakuwa na wapiga kura 21 million Kati ya 23 million wakiojiandikisha.

Je, huu ndiyo Mpango wa CCM kujustify ushindi wa kishindo na wanatuandaa kisaikolojia kwa Mpango wao wakati on the ground watu tunaona tofauti?

Binafsi Nikiangalia kwenye Familia, marafikiki na watu walionizunguka sioni hao wanachama wa CCM kwa number hizo wanazodai CCM.

Wadau naomba maoni yenu kuhusu anachokisena Polepole.
Ndugu Polepole asikusumbue kichwa....kuongea hayo ni part ya Job Description(JD) yake ili mkono uende kinywani...hata kama ungekuwa wewe umeajiriwa katika hiyo nafasi ungefanya....maana lazima ule na watoto wale...maneno yake yasikusumbue hata kidogo hata Nappe aliongea sana sasa hivi yupo wapi? ......tumpuuze tu.
 
Tumeona vijijini,ccm wanadhana kuwawekea tbc pekee ndo wataweza mind control,mind control aliweza Nyerere pekee zamani, hata Sasa asingeweza control akili za watu. Wanajidanganya eti Lisu ajulikani vijijini sasa Kama trump tu anajulikana vijijini sembuse Lisu.
Swala lilikua ni uwepo wa vyombo vya kutoa matangazo.
Wakati wa Nyerere na hata ukoloni, TBC/RTD ilikuwa ndio radio pekee iliyokuwapo nchini.
Kwenye mipaka ya nchi, baadae ziliweza pia kusikika radio za nje na baadae hasa kwenye 70's, TV kutoka Kenya na Uganda na TVZ pwani ya TZ.
 
Why mnapiga magoti kuomba kura kwann msikae dodoma kusubiria kuapishwa tu si mmenunua ndege zije zipaki, flyover, SGR,why mnaomba msaada kwa police.
Mtza yeyeto anaweza kuwa raisi akiaminiwa.Nchi sio chama.Nchi ni katiba
Kwasababu hauna akili huwezi kuelewa, ile ni kuzuga ulimwengu. Unahitaji akili ya ziada kuelewa. Hiyo yote ni mikakati inapangwa kabla. Hakuna linalofanyika bahati mbaya, tatizo hamtumii ubongo kufikiri mmejaa ushabiki maandazi. Ili Lissu awe Raisi unahitajika usaliti mkubwa sana kwenye system na bahati mbaya kwenu kwa Tanzania Sasa hivi haupo. Narudia tena na nakuhakikishia Lissu hawezi kuja kuwa Raisi wa nchi hii.NEVER.
 
Ila YOUTUBE wakisema video ya wimbo DESPASITO umetizamwa na watu bilioni Saba na kuvunja rekodi inakua sawa?

By the way kupinga tafiti kunahitaji tatiti pia...
Kuna mambo hayahitaji utafiti. Ni common sense.
 
CCM ngome zao zilikuwa vijijini....kwa sasa Lissu kavuruga sana huko...bado yako makundi ambayo utawala wa awamu ya tano umeyavuruga....lkn pia wapo watu wenye kadi za CCM na kupretend tu ili biashara na mambo yao yaende kwa mfumo wa ukandamizaji uliopo...ila kwenye chumba cha kura wanajua wanachofanya...
 
Jaribu kuficha ujinga wako kidogo!! Umaskini ni wakwako kama huwez kufanya kaz endelea kujishinda mitandaon na kulaumu serkali, kamaeni na hao wanatumwa kutuvulugia nch, iko hiv huyu beberu hapit na mkileta vulugu tutawadhibit
Hopeless kabisa tumia akili kugikiri unaimba mapambio wakati wazazi wako na ndg zako ni fukura kama mbwa koko wew
 
Hata mimi ni mwanachama wa CCM na kadi ninayo ila toka 2015 sijawai ipigia CCM kura na mpaka nakufa sitokuja kuipigia ccm kura.

Hii maana yake ni kweli ccm inawanachama wengi ila wapo kinafiki. Kkwa mfano kuna walioaminishwa kupata kazi, mkopo, na fursa nyingine za kiserikal ni lazma uwe na kadi ya CCM. So tupo wengi makadi tunayyo ila hayana maana
Wewe unawezaji kusema mpaka nakufa sitokuja kuipigia CCM kura Mwl wako wa tenses ni Chadema?mm kifupi cjakuelewa.
 
Kwasababu hauna akili huwezi kuelewa, ile ni kuzuga ulimwengu. Unahitaji akili ya ziada kuelewa. Hiyo yote ni mikakati inapangwa kabla. Hakuna linalofanyika bahati mbaya, tatizo hamtumii ubongo kufikiri mmejaa ushabiki maandazi. Ili Lissu awe Raisi unahitajika usaliti mkubwa sana kwenye system na bahati mbaya kwenu kwa Tanzania Sasa hivi haupo. Narudia tena na nakuhakikishia Lissu hawezi kuja kuwa Raisi wa nchi hii.NEVER.
Never say Never.....

Huko kwenye system ni watu wenye utashi kama mimi na wewe

Polisi ni watu wenye utashi kama mimi na wewe

Wapo wanaopenda CCM kama wewe na wapo wanaopenda mageuzi kama mimi

Usijiamini kwa 100%

Trust me hata pale kamati kuu ya CCM kuna watu watapigia kura CDM maana kura ni individual.
 
Sina vithibitisho ila hiyo idadi ya 16M Kama ulivyoelezea inatia mashaka.

Jambo moja anapaswa ajue ni kwamba , Kura Ni Siri ya mtu.
Ingekua idadi ya wanachama ndio kura. Basi NEC / Sheria ingehitaji ijulikane tu idadi ya wanachama kwa kila Chama. Kisha chenye wanachama wengi. Au sahihi zaidi Kama Kuna chenye wanachama wanao zidi nusu ya idadi ya, wenye kupiga kura Basi Chama chenye wanachama hao wangetangazwa tu washindi, hasa kwenye Uraisi.

Lakini mtu aweza kuwa mwanaChama wa Chama Fulani lakini asiafiki sera ya Chama hiko hivyo kumpigia mwengine

Swala kubwa zaidi ajue wengi hao wenye Kadi za CCM ambao ndio wanahesabiwa Kama wanachama, wanazo kwa Maslahi binafsi tu.

Wapo wenye kadi ila hawaafiki sera na itikadi za Chama, na hataipipigia CCM.

Wapo wenye Kadi za CCM ila hawakubaliani na Mgombea au wagombea wao wataka ashinde mwingine tofauti na wa kwao. Hawataipigia CCM.

Wapo wenye Kadi, hawaafiki sera na itikadi, hawaafiki mgombea, na Wala hawaipendi CCM ila wanakadi ili Mambo yao yaende..na Hawa wapo wengi tu.

Hawa hawataipigia CCM.

Wapo wale wasanii zaidi. Wana kadi ya Chama zaidi ya kimoja
Aidha wapo kimaslahi , au kwa sababu nyingine tu lakini si kwamba Ni wapenzi wa CCM.

Hawa pia wengi tu hawataipigia CCM Wala kuwapigia Kampeni za chini kwa chini. Zile za mkono kwa mkono.

Hivyo CCM wasijidanganye. Wao waendelee tu kufanya Kampeni kwa nguvu kushawishi watu waipigie kura.

Kisha wasubiri Box la Kura ndio Litasema ukweli na kutupa ukweli. Waache box ndio litaamua.
 
Sikusema nimefanya utafiti. Ila simple logic tu atakuonyesha kama CCM Ina wanachama na wapiga kura wote hao ni lazima watakuwa kwenye kila Familia au watu waliokaribu yako. Sasa kama katika watu 10 wa karibu yako hakuna mwana CCM au yuko moja hiyo inaashiria hawako wengi kama wanavyotaka kutuaminisha.
Unajua kukusanya data?? Akisema kila watu 3, 2 ni Ccm inamaana amechukua idad ya wapiga kura wote akagawa na wanachama hai wa ccm ndo inapatikan hiyo 1/3 mfano mikoa ming saiv inamuunga makufur nenda kanda ya ziwa kanda ya kat pwan,maghalib nk hizo zote ni ngome za Ccm sjajua ni mkoa gan ndo tundu atapata kura lisu.. Kiongoz kaa utulie uache ushabik madaz utagundua meng san na utakubaliana na polepole
 
Jaribu kuficha ujinga wako kidogo!! Umaskini ni wakwako kama huwez kufanya kaz endelea kujishinda mitandaon na kulaumu serkali, kamaeni na hao wanatumwa kutuvulugia nch, iko hiv huyu beberu hapit na mkileta vulugu tutawadhibit
Huo ushakuwa wimbo vichekesho unaozidi kukosa mvuto hata kwa watoto.
WaTz tunataka Uhuru, Haki na Maendeleo ya Watu na sio ngonjera za madaraja.
 
Wanatakiwa kuelewa kua mwanachama wako hana mkataba na wewe kuhusu uamuzi wake wa kupiga kura. Uanachama unabaki kua uanachama na maamuzi ya nani ampigie kura anabakinayo mru mwenyewe, haviingiliani
Kama hii ndo hali halisi, kipi kinawafanya mseme mtashinda??
 
Back
Top Bottom