frenk julius
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 377
- 242
Check hii akili utadhani mtoto anakimbia kwa baba yakeMods huyu anatukana matusi hapa amegeuza jukwaa la kihuni hili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Check hii akili utadhani mtoto anakimbia kwa baba yakeMods huyu anatukana matusi hapa amegeuza jukwaa la kihuni hili
Zaidi ya nusu ya wanaccm watampigia kura Lissu. CCM mpya imechokwa sana
Niliyoandika nimeandika na ni ukweli mtupu hata wenye chama wanajua wewe kwa vile unaishia kwenye korido ya vyumbani huwezi kuyajua.Hii iweke sawa kwamba ni zaidi ya nusu ya wanaccm waliokua mafisadi wakakatiwa mirija
Na hao ni idadi ndogo mnoo ndani ya ccm hata CCM inajua hawana madhara kama ambavyo Lowasa hakuwa na madhara
Hiyo million 17 ndiyo uongo tunaouzungumzia hapa.Wewe ni wapi nimedai ,nimesema ushindi utakuwa 9m kwa ccm ila wanawachama ni M17 sio m16 kama ulivyosema usidhani nimekurupuka nimekupa nakisi tu kama Lowassa alipa m6 na Tundu apate ngapi kama sio m3 hivyo ushindi ni wa Ccm kwa sababu ina idadi ya wanachama inaowajua kindakindaki nimekupa tip mwambie katibu wa chadema akanushe na ataje wanachama wake we huoni hata mgombea wa chadema anashinikiza apigiwe hadi na watumishi ili wagawane maana anajua wanachama wa ccm ni wengi ni bora kuwachonganisha ili apigiwe yeye.
Unamsifia Chakubanga kwa vile unashibia mezani kwake.Polepole yupo sawa, Chadema imepoteza umaarufu,na sisi wenye machungu na chama tumechukia.
Nimeangalia sura ya Jakaya pale Mbagala, pamoja na yote anayosema sura iko wazi kabisa kuwa hawezi kumpa Magufuli kura hata kidogo.Zaidi ya nusu ya wanaccm watampigia kura Lissu. CCM mpya imechokwa sana
Eti sytem hio sytem si imwambie mgombea wake akae tu asubirie imuapishe.Kwasababu hauna akili huwezi kuelewa, ile ni kuzuga ulimwengu. Unahitaji akili ya ziada kuelewa. Hiyo yote ni mikakati inapangwa kabla. Hakuna linalofanyika bahati mbaya, tatizo hamtumii ubongo kufikiri mmejaa ushabiki maandazi. Ili Lissu awe Raisi unahitajika usaliti mkubwa sana kwenye system na bahati mbaya kwenu kwa Tanzania Sasa hivi haupo. Narudia tena na nakuhakikishia Lissu hawezi kuja kuwa Raisi wa nchi hii.NEVER.
Uhuru up unaoutaka ww? Hak ip ambayo inakunyima kufanya kaz? Maendeleo ni ww mwenyewe jukumu la serikali ni kukutengenezea miundombinu kama barabara, maji, Afya nzur, uhakika wa usafili wa anga,majini reli nkHuo ushakuwa wimbo vichekesho unaozidi kukosa mvuto hata kwa watoto.
WaTz tunataka Uhuru, Haki na Maendeleo ya Watu na sio ngonjera za madaraja.
Wanatuandaa kisaikolojia kwa wizi mkubwa wa kura ambao haujawahi kutokea Afrika nzima!
Kuujua ukweli Cdm na vyama vingine vijitokeze kusema wanawanachama wangapi maana sio kazi kubwa kunakisi ushindi kwa asilimia ikiwa tu unajua waliojiandikisha kwenye daftari na wanachama wako kikubwa na wao waseme wanaowangapi .Hiyo million 17 ndiyo uongo tunaouzungumzia hapa.
Ukifanya breakdown ya wapigakura unaona kabisa kuna kasoro kubwa.
Wakiojiandikisha ni 23 million, kama CCM ni 17 million, assuming CDM na vya vingine ni 3 million... wasio na vyama Ina maana ni kama million 3 tu. Kiukweli kwa TZ wasio na vyama ni wengi kuliko wanachama wa Vyama vyote combined including CCM.
2015 walipopata kura 8 million, CCM ilikuwa na wanachama wangapi? Polepole anataka kusema idadi ya wanachama wao imedouble in 5 years.Unajua kukusanya data?? Akisema kila watu 3, 2 ni Ccm inamaana amechukua idad ya wapiga kura wote akagawa na wanachama hai wa ccm ndo inapatikan hiyo 1/3 mfano mikoa ming saiv inamuunga makufur nenda kanda ya ziwa kanda ya kat pwan,maghalib nk hizo zote ni ngome za Ccm sjajua ni mkoa gan ndo tundu atapata kura lisu.. Kiongoz kaa utulie uache ushabik madaz utagundua meng san na utakubaliana na polepole
Huwezi kuongoza watu kizazi cha sasa ambacho kimezaliwa akimjui Nyerere zaidi ya kumsoma kwenye history kwa kutumia mawazo ya enzi za Nyerere yaliyofaa zama za Giza na sio hizi za global vision.Swala lilikua ni uwepo wa vyombo vya kutoa matangazo.
Wakati wa Nyerere na hata ukoloni, TBC/RTD ilikuwa ndio radio pekee iliyokuwapo nchini.
Kwenye mipaka ya nchi, baadae ziliweza pia kusikika radio za nje na baadae hasa kwenye 70's, TV kutoka Kenya na Uganda na TVZ pwani ya TZ.
Ukisomesha watu namba tegemea kusoma kura zao.Njaa imewaunganisha watz uzuri wanufaika ni wachacheUnajua kukusanya data?? Akisema kila watu 3, 2 ni Ccm inamaana amechukua idad ya wapiga kura wote akagawa na wanachama hai wa ccm ndo inapatikan hiyo 1/3 mfano mikoa ming saiv inamuunga makufur nenda kanda ya ziwa kanda ya kat pwan,maghalib nk hizo zote ni ngome za Ccm sjajua ni mkoa gan ndo tundu atapata kura lisu.. Kiongoz kaa utulie uache ushabik madaz utagundua meng san na utakubaliana na polepole
Haya ndo Mawazo mgando!! Unanijua au unajipendekeza tu njoo nikuajili ww pamoja ukoo wako wote!! Unashinda njaa mda wote kulaumu serkali tu!! Utaendelea hivo vivo kukaa kwa shemej yakoHopeless kabisa tumia akili kugikiri unaimba mapambio wakati wazazi wako na ndg zako ni fukura kama mbwa koko wew
Kuna Msemaji wa Familia ya Marehemu [emoji23] yan huwa wanakuwa na sentensi ndefuuOgopa sana mtu anayekuwa kwenye kitengo cha "msemaji wa kitu fulani"
Msemaji wa timu
Msemaji wa chama
Msemaji wa kampuni.
Naomba Tume ya Uachaguzi iwe Makini sana NA haya MACHEDEMA. Hawa wanaweza Itumia Mitandaona Vibaya wakati Wa Kupiga Kura wakaleta Taharuki. UKIACHANA NA KICHAA LISU AMBAE UCHAGUZI UKIISHA ANAENDA JELA. NAOMBA WAHUNI WENGINE WATAKATHUBUTU KUTANGAZA MATOKEO YA UWONGO NAO WAENDE JELA WAKANYEEE NDOO HILI NALISEMA KWA MACHADEMA MAANA HAYAEKEWEKI NIA YAO NI KUTAKA KUHARIBU AMANI NA UTULIVU ILI YATUIIBIEWanategemea kuingiza masanduku ya kura feki, mwaka huu watabaki nayo Lumumba
Wanachama hata wakipiga kwa idadi ya 2015 (8.8m) ila kumbuka pia 2015 shule bure hazikupiga mwaka huu zitapiga kwasababu mwaka jana wamejiandisha kwenye daftari hivyo pia ni reserve kubwa kwa ccm kitakachofelisha wale waliojiandikishia vituo vya mbali walipokuwa wanasoma ndio kuna changamoto ya kupiga kura mwaka huu kila mmja anatakiwa apige alipojiandikishia .2015 walipopata kura 8 million, CCM ilikuwa na wanachama wangapi? Polepole anataka kusema idadi ya wanachama wao imedouble in 5 years.
Mkuu, CCM wanaweza kushinda kiahalali. Hilo Sina tatizo nalo. Tatizo ni hizo number tunazopewa na Polepole.Wanachama hata wakipiga kwa idadi ya 2015 (8.8m) ila kumbuka pia 2015 shule bure hazikupiga mwaka huu zitapiga kwasababu mwaka jana wamejiandisha kwenye daftari hivyo pia ni reserve kubwa kwa ccm kitakachofelisha wale waliojiandikishia vituo vya mbali walipokuwa wanasoma ndio kuna changamoto ya kupiga kura mwaka huu kila mmja anatakiwa apige alipojiandikishia .
Wanaposema mwaka huu ushindi ni mkubwa wanamaanisha na ukumbuke hakuna mwaka Ccm ilichokwa kama 2015 ila ilishinda sasa mwaka huu ni M9 na kuendelea Chadema ni 3M