Uchaguzi 2020 CCM wanapotosha. Haiwezekani kuwa 70 % ya Wapiga kura ni Wana CCM

Uchaguzi 2020 CCM wanapotosha. Haiwezekani kuwa 70 % ya Wapiga kura ni Wana CCM

Nimemsikia Polepole Leo akidai kuwa CCM ina wanachama 16 million. Assuming kuwa mwanachama ni lazima awe na umri wa miaka 18 hivyo inamaanisha kuwa kwa idadi hiyo CCM ina 70 % ya Wapiga kura wote kwa Tanzania. Kwa vile anadai kuwa Kila wanachama 3 watarecruit mtu moja hivyo kuwa na wapiga kura wa zaidi ya 5 million wa ziada. Kwa madai hayo ina maana watakuwa na wapiga kura 21 million Kati ya 23 million wakiojiandikisha.

Je, huu ndiyo Mpango wa CCM kujustify ushindi wa kishindo na wanatuandaa kisaikolojia kwa Mpango wao wakati on the ground watu tunaona tofauti?

Binafsi Nikiangalia kwenye Familia, marafikiki na watu walionizunguka sioni hao wanachama wa CCM kwa number hizo wanazodai CCM.

Wadau naomba maoni yenu kuhusu anachokisena Polepole.
Mkuu huyo jamaa asikutishe na hiyo statistical data
Kwanza unachotakiwa kujua kwa humphrey polepole ubongo wake aina afya yakutosha kuzungumzi vitu vikubwa vya nchi hii
Kimsingi kwa sasa hicho chama maguful na polepole wanatapatapa kama wafa maji, inshort this term watakufa kifo cha mande
 
Nimemsikia Polepole Leo akidai kuwa CCM ina wanachama 16 million. Assuming kuwa mwanachama ni lazima awe na umri wa miaka 18 hivyo inamaanisha kuwa kwa idadi hiyo CCM ina 70 % ya Wapiga kura wote kwa Tanzania. Kwa vile anadai kuwa Kila wanachama 3 watarecruit mtu moja hivyo kuwa na wapiga kura wa zaidi ya 5 million wa ziada. Kwa madai hayo ina maana watakuwa na wapiga kura 21 million Kati ya 23 million wakiojiandikisha.

Je, huu ndiyo Mpango wa CCM kujustify ushindi wa kishindo na wanatuandaa kisaikolojia kwa Mpango wao wakati on the ground watu tunaona tofauti?

Binafsi Nikiangalia kwenye Familia, marafikiki na watu walionizunguka sioni hao wanachama wa CCM kwa number hizo wanazodai CCM.

Wadau naomba maoni yenu kuhusu anachokisena Polepole.
Cheki huyu mjinga!! Yaani ww unafanya utafit wa familia yako, mwezako kafanya utafit nchi nzima..""no reaserch no light to speak "
 
Tumeona vijijini,ccm wanadhana kuwawekea tbc pekee ndo wataweza mind control,mind control aliweza Nyerere pekee zamani, hata Sasa asingeweza control akili za watu. Wanajidanganya eti Lisu ajulikani vijijini sasa Kama trump tu anajulikana vijijini sembuse Lisu.
Polepole anadai kuwa watu wana kwenda kumwangalia Lissu. Kama ni kweli mbona hawaendi kuwaangalia wengine.
 
Waache kutudaganya. 2015 waliambulia kura 8 million. Kwa miaka 5 wanataka kudai wapiga kura wao wameongezeka zaidi ya mara 3. Hawa Jamaa wana mipingo mibaya kwa nchi.
Upepo wa lowasa huwez kulinganisha na huyu beberu wenu
 
Hadi jamaa kawa mpole anafoka foka na ubabe wake Hali si Hali upepo si wao,anga limewakataa.
Connect dot Kutokimbizwa kwa mwenge plus kifo Cha nguzo yao mzee wa lupaso,hapa lzm ccm imfate KANU.huu ni unabii
Kuna watu Kama 10 humu mtakunywa hadi sumu kuanzia tarehe 29 mwezi huu mkianza kusomewa matokeo. Lissu hawezi kuja kuwa Raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania sio 2020 tu bali ni kamwe(NEVER). Hata ukashawishi ukoo wako wote na mkoa mzima wampigie kura, hawezi kushinda. Uzuri ni kuwa bado siku chache sana hizi kelele zenu ziishe. Badala ya kuwa wabunifu mmeweka akili zenu kwa Lissu. Eti mbeba maono, WAPUMBAVU sana nyie.
 
Wakati serikali ina hamasisha watu waende kujiandikisha kwaajili ya uchaguzi mkuu chadema walikua wakihamasisha watu wasiende kujiandikisha mbaka ipatikane katiba Mpya, Chakushangaza baada ya matokeo ya uchaguzi mkuu watadai wameibiwa kura.
 
Hadi jamaa kawa mpole anafoka foka na ubabe wake Hali si Hali upepo si wao,anga limewakataa.
Connect dot Kutokimbizwa kwa mwenge plus kifo Cha nguzo yao mzee wa lupaso,hapa lzm ccm imfate KANU.huu ni unabii
Siyo rahisi kivihivyo mkuu
 
Kuna watu Kama 10 humu mtakunywa hadi sumu kuanzia tarehe 29 mwezi huu mkianza kusomewa matokeo. Lissu hawezi kuja kuwa Raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania sio 2020 tu bali ni kamwe(NEVER). Hata ukashawishi ukoo wako wote na mkoa mzima wampigie kura, hawezi kushinda. Uzuri ni kuwa bado siku chache sana hizi kelele zenu ziishe. Badala ya kuwa wabunifu mmeweka akili zenu kwa Lissu. Eti mbeba maono, WAPUMBAVU sana nyie.

Why mnapiga magoti kuomba kura kwann msikae dodoma kusubiria kuapishwa tu si mmenunua ndege zije zipaki, flyover, SGR,why mnaomba msaada kwa police.
Mtza yeyeto anaweza kuwa raisi akiaminiwa.Nchi sio chama.Nchi ni katiba
 
Nimemsikia Polepole Leo akidai kuwa CCM ina wanachama 16 million. Assuming kuwa mwanachama ni lazima awe na umri wa miaka 18 hivyo inamaanisha kuwa kwa idadi hiyo CCM ina 70 % ya Wapiga kura wote kwa Tanzania. Kwa vile anadai kuwa Kila wanachama 3 watarecruit mtu moja hivyo kuwa na wapiga kura wa zaidi ya 5 million wa ziada. Kwa madai hayo ina maana watakuwa na wapiga kura 21 million Kati ya 23 million wakiojiandikisha.

Je, huu ndiyo Mpango wa CCM kujustify ushindi wa kishindo na wanatuandaa kisaikolojia kwa Mpango wao wakati on the ground watu tunaona tofauti?

Binafsi Nikiangalia kwenye Familia, marafikiki na watu walionizunguka sioni hao wanachama wa CCM kwa number hizo wanazodai CCM.

Wadau naomba maoni yenu kuhusu anachokisena Polepole.
Muulize katibu wa Chadema anawanachama wangapi waliohai, ukipata rudi useme hapa ndipo utajua Ccm imeangalia idadi tao ya wanachama waliohai wanaolipia kadi .Idadi ya pembeni ni wale wasio na vyama ,kiukweli hapo ni idadi tu ya wanachama na wakienda wote mwaka huu Ccm 9m na chadema 3m utaona siku ndio hivo zinayoyoma.
 
Kuna ukweli kabisa kwamba ccm itashinda kwa zaidi ya asilimia 70. Hii ni kutokana na yafuatayo:
a. CCM inamtaji mkubwa wa wanachama, wanachama wa CCM huwa wanaimani sana na chama chao hata kama hakiko kwenye mfumo mzuri wanachama wa CCM huchagua mgombea wao kwa ajilo ya maslahi ya chama.

b. Mikutano ya kampeni ya CCM imekuwa ikijaza sana watu ukiangalia watu wanaohudhuria mikutano hiyo unaona kabisa wengi wale ni wana CCM maana wengi wamekuwa na na sare za CCM hii inaonyeshwa wazi kabisa ccm wafuasi hai wako wengi. Haijalishi hata kama sare hizo zinagwawiwa bure lakini tayari ile kukubali kuvaa hiyo sare tayari amekubaliana na sera zenu. Kwa upande mwingine chadema wamekuwa wakijinasibu kwamba wanaungwa mkono kutokana na ummati unaohudhuria mikutano hiyo.

Ukifuatilia kwa makini mikutano ya chadema utabaini kwamba wanaohudhuria mikutano ya chadema si wanachama wote, maana wengi utawaona wamesimama wamekunja mikono hata kutoa shangwe vifijo kwa mgombea hawafanyi. Moja kwa moja utajua kwamba wengi wao si wanachama bali wanakusanyika kusikia sera. Ajabu hata sera hazipo ni matusi na lawama zisizo na kichwa wala miguu. Chadema ilipaswa kutumia fursa ya mahudhurio kwa kuonyesha sera mbadala lakini wamekuwa ni watu wa kukejeli juhudi ambazo zinaonekana zimelenga kuwakwamua wananchi kiuchumi. Hata pale wanapoeleza mipango ya manufaa kwa wananchi mipango hiyo imekuwa ni ya kusadikika.

b. Chadema wanajua kabisa wana hali mbaya kuliko hata 2015. Silaha pekee waliyo naye kuvuruga mchakato mzima wa uchaguzi ili kuukosesha uhalali. Mara kwa mara tumeona viongozi wa chadema wakikiuka sheria halali kwa makusudi ili wachukuliwe hatua waonekane kuwa wanaonewa. Nawapongeza polisi kwa weledi na uvumilivu wao wamejitahidi sana kuwapuuza.
 
Siasa ndivyo zilivyo... Waserikalini wote by defult ni wanachana wa CCM...

Mambo yao waachie wenyewe...



Cc: mahondaw
 
Cheki huyu mjinga!! Yaani ww unafanya utafit wa familia yako, mwezako kafanya utafit nchi nzima..""no reaserch no light to speak "
Sikusema nimefanya utafiti. Ila simple logic tu atakuonyesha kama CCM Ina wanachama na wapiga kura wote hao ni lazima watakuwa kwenye kila Familia au watu waliokaribu yako. Sasa kama katika watu 10 wa karibu yako hakuna mwana CCM au yuko moja hiyo inaashiria hawako wengi kama wanavyotaka kutuaminisha.
 
1.Sera ya CCM KUJITEGEA KIFIKRA
2.sera ya Chadema kuwa tegemezi kwa kila kitu, kula Bata na kuwapigia magoti wale wanaotuona subhumans.
 
Back
Top Bottom