Alichosema Nape ni ukweli, na ameusema makusudi akijua wazi hatuwezi kuwafanya chochote, ndio maana amesema kwa kebehi na jeuri.Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Itikadi, Uenezi, Amos Makalla kimemjibu Mbunge wa Mtama Nape Nnauye kuhusu imani yake juu ya ushindi katika chaguzinchini. Makalla amesisitiza kuwa CCM haihitaji mbeleko na itashinda kutokana na rekodi nzuri ya kuwaletea wananchi maendeleo.
Kinywa cha mtu hutoa yaujazao moyo wake,Nape yuko sahihi alichosema ndicho CCM inafanya miaka yote. Ni Nape huyu huyu aliyesema 2015 kuwa CCM inashinda hata kwa goli la mkono.Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Itikadi, Uenezi, Amos Makalla kimemjibu Mbunge wa Mtama Nape Nnauye kuhusu imani yake juu ya ushindi katika chaguzinchini. Makalla amesisitiza kuwa CCM haihitaji mbeleko na itashinda kutokana na rekodi nzuri ya kuwaletea wananchi maendeleo.
HakikaAlichosema Nape ni ukweli, na ameusema makusudi akijua wazi hatuwezi kuwafanya chochote, ndio maana amesema kwa kebehi na jeuri.
Anachokisema Makalla ndio uongo, na atapata dhambi kwa Mungu, CCM ni wezi najua hivyo, wao wanajua, Makalla anatudanganya.
Mungu anatusaidia lakini akina Mwashambwa wanatukwamisha bure.Nape ni mwizi wa hela za wananchi. Na amekiri kabisa kwamba ana makumpuni ya simu yanayoweza kukata hela za wateja ili kujenga soko. Kumbe ndio maana tunajikutaga tu tumekatwa hela bila makubaliano. Ipo siku ukweli wote utawekwa wazi.