Pre GE2025 CCM wapinga kauli ya Nape Nnauye kuhusu imani yake kwenye ushindi wa chaguzi nchini, wasema CCM haihitaji mbeleko

Pre GE2025 CCM wapinga kauli ya Nape Nnauye kuhusu imani yake kwenye ushindi wa chaguzi nchini, wasema CCM haihitaji mbeleko

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Itikadi, Uenezi, Amos Makalla kimemjibu Mbunge wa Mtama Nape Nnauye kuhusu imani yake juu ya ushindi katika chaguzinchini.

Pia soma: Kuelekea 2025 - Nape: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!

Makalla amesisitiza kuwa CCM haihitaji mbeleko na itashinda kutokana na rekodi nzuri ya kuwaletea wananchi maendeleo.
Aise, Ila Sijui kwanini Nape ameongea huuUjonga Mkubwa hivi.
 
Wahuni wapo sisiemu,na wanafaida kipindi Cha uchaguzi.ila Jamaa kakelaa sana tunajua wanaibaga lkn sio ndo watuambia.. ...ni sawa na Jamaa anagonga mkeo afu akaja kukuonesha chupii ya mkeo iliyopotea🤣🤣
Hilo ni bonge la dharau kummmke
 
CCM inatakiwa ipinge kauli ya Amos Makala
Kama ukiweza kusoma body language ya hao watu wawili utagundua Nape alikuwa anaongea kwa kujiamini sana tofauti na jinsi alivyokuwa akiongea Ndugu Makalla 🙌

Things have fallen apart 😳 ! Alisemaga Aggoro Anduru 😅😂😂 !
 
Muongo Nape

Nape anataka kuuua credibility ya CCM toka kipindi cha Magufuli akiongelea goli la mkono

Magufuli alimuona mapema akambwaga lakini Nape ndumila kuwili akajitia kuomba sijui msamaha feki Magufuli akamsamehe

Mama Samia kuja akaanza kutukana Magufuli ili mama samia amuone mzuri akampa uwaziri tena

Hakuna waziri mnafiki na ndumila kuwili kama Nape

Alitaka kuharibu image ya CCM kipindi cha Magufuli akiongelea goli la mkono sasa kaja na hili tena yote lengo likiwa kuua image ya chama CCM ndani ya nchi na nje ya nje

Makala yuko sahihi

Ombi langu langu kwa Raisi Samia naomba kwa dhati kabisa mtoe uwaziri na asirudi hata ubunge hata alie lie vipi

Mzee Makamba asikusumbue tena kuwa umkumbuke sababu yeye yatima aliyefiwa na baba Yake Mzee Nnauye Rafiki mkubwa wa Mzee Makamba ambaye hata msiba ulifanyika kwake

Enough is enough please .Madam President

Credibility ya CCM ni ya muhimu kuliko mtu
Mwambie Samia amtoe Nape akione cha mtema kuni kwenye uchaguzi ujao.
Nape alishasema yeye ni mtaalamu wa kiufundi mzuri sana kuiwezesha CCM kubakia madarakani kiwizi wizi, na wanaCCM wanajua hilo.
 
Muongo Nape

Nape anataka kuuua credibility ya CCM toka kipindi cha Magufuli akiongelea goli la mkono

Magufuli alimuona mapema akambwaga lakini Nape ndumila kuwili akajitia kuomba sijui msamaha feki Magufuli akamsamehe

Mama Samia kuja akaanza kutukana Magufuli ili mama samia amuone mzuri akampa uwaziri tena

Hakuna waziri mnafiki na ndumila kuwili kama Nape

Alitaka kuharibu image ya CCM kipindi cha Magufuli akiongelea goli la mkono sasa kaja na hili tena yote lengo likiwa kuua image ya chama CCM ndani ya nchi na nje ya nje

Makala yuko sahihi

Ombi langu langu kwa Raisi Samia naomba kwa dhati kabisa mtoe uwaziri na asirudi hata ubunge hata alie lie vipi

Mzee Makamba asikusumbue tena kuwa umkumbuke sababu yeye yatima aliyefiwa na baba Yake Mzee Nnauye Rafiki mkubwa wa Mzee Makamba ambaye hata msiba ulifanyika kwake

Enough is enough please .Madam President

Credibility ya CCM ni ya muhimu kuliko mtu
Mtu mwenye cheo cha Uwaziri atake kuuwa credibility ya chama chake ???!

Haingii Akilini 🙄 !

Labda mtu aseme hii ni kazi ya Alubadiri na Maombi ya watu waliokuwa oppressed !
 
Nape kwenye mambo hayo ni fundi! 2015 bao la mkono. Ila acha Mungu apitie kwenye vinywa vyao kutuwekea wazi matendo yao. MUNGU anaiponya nchi. Makalla anatetea nn Kwa hili anajiaibisha bure! WaTz wa leo siyo wa mwaka 47. Na bado watafarakana sana. Watu hawawezi kuwa wanakesha Makanisani na Misikitini kuombea Mungu aliponye taifa halafu watu wanacheza na maombi ya watu. Waombaji ongezeni spana! Mungu anajibu! Wa kusema kupoteza watu alisharopoka shetani kamtumia Nchimbi akatetea. Mwizi wa kura karopoka shetani kamtumia Makalla anatetea!
Baadhi yao sasa wataanza kuamini kuwa kumbe Mungu yupo kweli 🙏
 
Mbona wakati akitoa kauli hakusema kama ni utani?
 

Attachments

  • Kauli ya Nape Nnauye kuhusu ushindi bila kujali uhalali au ubatili.mp4
    15.1 MB
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Itikadi, Uenezi, Amos Makalla kimemjibu Mbunge wa Mtama Nape Nnauye kuhusu imani yake juu ya ushindi katika chaguzinchini.

Pia soma: Kuelekea 2025 - Nape: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!

Makalla amesisitiza kuwa CCM haihitaji mbeleko na itashinda kutokana na rekodi nzuri ya kuwaletea wananchi maendeleo.
Kakiweka chama kwenye mtihani mgumu sana!! Tuombe Mungu kwenye chaguzi zinazokuja kusitokee vurugu. Maana mtu anaweza kukataa matokeo kutokana na kauli hii!!
 
Back
Top Bottom