Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama wanapingana wao kwa wao, Nape anasubiria nini kuachia ngazi? Bosi wake kamkana tayari, sasa Nape ajipime kama anatosha.
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Itikadi, Uenezi, Amos Makalla kimemjibu Mbunge wa Mtama Nape Nnauye kuhusu imani yake juu ya ushindi katika chaguzinchini.
Pia soma: Kuelekea 2025 - Nape: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!
Makalla amesisitiza kuwa CCM haihitaji mbeleko na itashinda kutokana na rekodi nzuri ya kuwaletea wananchi maendeleo.
Hizi habari zimeshawafikia Donors na Patners tunategemea Misaada kukatwa na Uchaguzi ujao Observes kutoka Nchi zote Duniani waletwe kushuhudia uchafuzi huu.Nadhani Nape ni mtu wa matani sana ,
Naikumbuka hata ile kauli yake ya Goli la mkono 😳🙄🤠
Hujaiona vdeo inayosambaa kwenye magrupu? Inaonekana hujaiona bado, hii hapa video nakuwekea.Siamini Nape anaweza akasema hivyo !
Nahisi watu wanamlisha maneno !
Au labda Alubadiri imesomwa na aliowaumiza kisaikolojia na sasa imeanza kufanya kazi 😳🙄🙌
Muongo NapeMakala ndio Muongo , na Nape ndio mkweli.
📌📌Ili tuwaamini wamvue uwaziri
Ukila nyama ya binadamu hutaacha utaendelea kula tu... Limezoea wizi wa kura awamu ya tano.Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Itikadi, Uenezi, Amos Makalla kimemjibu Mbunge wa Mtama Nape Nnauye kuhusu imani yake juu ya ushindi katika chaguzinchini.
Pia soma: Kuelekea 2025 - Nape: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!
Makalla amesisitiza kuwa CCM haihitaji mbeleko na itashinda kutokana na rekodi nzuri ya kuwaletea wananchi maendeleo.
Unatumia smartphone, unashindwa kujisumbua hata kidogo kujiridhisha kabla ya kukoment? Haya nimekuwekea video hiyo umsikie Nape akiyaongea hayo alafu urudi tenaSiamini Nape anaweza akasema hivyo !
Nahisi watu wanamlisha maneno !
Au labda Alubadiri imesomwa na aliowaumiza kisaikolojia na sasa imeanza kufanya kazi 😳🙄🙌
Ndio maana mwenyewe Nape alisema rais alimuonya kuhusu asiwe anazungumza 'ovyo'. Nadhani rais anaona ni mropokaji. Sasa kuna faida gani kua na waziri kama huyo kama sio anabebwa kishikaji tu. Maana wala sio mtu resourcefull na amejaa nia mbaya tu.Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Itikadi, Uenezi, Amos Makalla kimemjibu Mbunge wa Mtama Nape Nnauye kuhusu imani yake juu ya ushindi katika chaguzinchini. Makalla amesisitiza kuwa CCM haihitaji mbeleko na itashinda kutokana na rekodi nzuri ya kuwaletea wananchi maendeleo.
Alichosema Nape ~ Nape: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!
Wewe bendera fuata upepo wa mafisadi alichokisema Nnauye inawezekana ndivyo huwa mnafanya usijitoe ufahamu wananchi wamepevuka kwa sasa kwa uelewaNilionya kwamba Kauli ya Nape hata kama ametoa kimasihara ila inaweza kuondoa Imani Kwa mfumo wa Demokrasia na taasisi zake hivyo haifai na inatakiwa kupingwa na kukemewa.
Baada ya Kauli hiyo CCM Kupitia Mwenezi wake na Itikadi imeoinga Kauli hiyo na kusema Chama hicho hakihitaji Mbeleko kushinda uchaguzi kwani kina rekodi za utendaji wa kuwaletea maendeleo Wananchi na Kila mmja anaona.👇👇
My Take
Nape aombe radhi au Rais ampige chini,huku ni kulewa madaraka.
UjingaWewe bendera fuata upepo wa mafisadi alichokisema Nnauye inawezekana ndivyo huwa mnafanya usijitoe ufahamu wananchi wamepevuka kwa sasa kwa uelewa
A crap!!Ujinga
Wabakaji wa demokrasia wameji 'expose fully" wao wenyewe pamoja na mbinu zao zote.Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Itikadi, Uenezi, Amos Makalla kimemjibu Mbunge wa Mtama Nape Nnauye kuhusu imani yake juu ya ushindi katika chaguzinchini.
Pia soma: Kuelekea 2025 - Nape: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!
Makalla amesisitiza kuwa CCM haihitaji mbeleko na itashinda kutokana na rekodi nzuri ya kuwaletea wananchi maendeleo.