johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Pweinti πNilionya kwamba Kauli ya Nape hata kama ametoa kimasihara ila inaweza kuondoa Imani Kwa mfumo wa Demokrasia na taasisi zake hivyo haifai na inatakiwa kupingwa na kukemewa.
Baada ya Kauli hiyo CCM Kupitia Mwenezi wake na Itikadi imeoinga Kauli hiyo na kusema Chama hicho hakihitaji Mbeleko kushinda uchaguzi kwani kina rekodi za utendaji wa kuwaletea maendeleo Wananchi na Kila mmja anaona.ππ
My Take
Nape aombe radhi au Rais ampige chini,huku ni kulewa madaraka.
Mama Samia fanya haraka piga chinii Nnauye uwaziri kisha mpelekeni huko vikao vya maadili vya chama akathibitishe hicho kaongea na asipothibitisha mfukuzeni ndani ya Chama hata alie kama ngedere kuomba msamaha fukuza kabisa hata akija kurudi audio kama mwanachama wa kawaida tubKwa kauli hiyo Nape hastahili kuwa kiongozi wa Uma, ni mhalifu.
Kauli ya kipuuzi na dharau kubwa kwa wananchi, yenye kuvunja katiba na sheria.
Masihara yepi chawa ??Nilionya kwamba Kauli ya Nape hata kama ametoa kimasihara ila inaweza kuondoa Imani Kwa mfumo wa Demokrasia na taasisi zake hivyo haifai na inatakiwa kupingwa na kukemewa.
Baada ya Kauli hiyo CCM Kupitia Mwenezi wake na Itikadi imeoinga Kauli hiyo na kusema Chama hicho hakihitaji Mbeleko kushinda uchaguzi kwani kina rekodi za utendaji wa kuwaletea maendeleo Wananchi na Kila mmja anaona.ππ
My Take
Nape aombe radhi au Rais ampige chini,huku ni kulewa madaraka.
CCM haihitaji mbeleko na itashinda kutokana na rekodi nzuri ya kuwaletea wananchi maendeleo.
CCM mbeleeeee kwa mbeleeee
CCM wapi hao?Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Itikadi, Uenezi, Amos Makalla kimemjibu Mbunge wa Mtama Nape Nnauye kuhusu imani yake juu ya ushindi katika chaguzinchini.
Pia soma: Kuelekea 2025 - Nape: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!
Makalla amesisitiza kuwa CCM haihitaji mbeleko na itashinda kutokana na rekodi nzuri ya kuwaletea wananchi maendeleo.
Hana huo ubavu wa kumtoa uwaziri.Muongo Nape
Nape anataka kuuua credibility ya CCM toka kipindi cha Magufuli akiongelea goli la mkono
Magufuli alimuona mapema akambwaga lakini Nape ndumila kuwili akajitia kuomba sijui msamaha feki Magufuli akamsamehe
Mama Samia kuja akaanza kutukana Magufuli ili mama samia amuone mzuri akampa uwaziri tena
Hakuna waziri mnafiki na ndumila kuwili kama Nape
Alitaka kuharibu image ya CCM kipindi cha Magufuli akiongelea goli la mkono sasa kaja na hili tena yote lengo likiwa kuua image ya chama CCM ndani ya nchi na nje ya nje
Makala yuko sahihi
Ombi langu langu kwa Raisi Samia naomba kwa dhati kabisa mtoe uwaziri na asirudi hata ubunge hata alie lie vipi
Mzee Makamba asikusumbue tena kuwa umkumbuke sababu yeye yatima aliyefiwa na baba Yake Mzee Nnauye Rafiki mkubwa wa Mzee Makamba ambaye hata msiba ulifanyika kwake
Enough is enough please .Madam President
Credibility ya CCM ni ya muhimu kuliko mtu
Hivi haya mafala ya CCM huwa yanazungumzia maendeleo yapi wanayotuletea?Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Itikadi, Uenezi, Amos Makalla kimemjibu Mbunge wa Mtama Nape Nnauye kuhusu imani yake juu ya ushindi katika chaguzinchini.
Pia soma: Kuelekea 2025 - Nape: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!
Makalla amesisitiza kuwa CCM haihitaji mbeleko na itashinda kutokana na rekodi nzuri ya kuwaletea wananchi maendeleo.
Kwenye campaign za mwaka 2020 SAMIA nae alishawahi kuongea juu ya kuiba kura kimabavuAlichokisema Nape ndiyo uhalisia wa mambo yanavyofanyika wakati wa chaguzi. Nape ni mkweli.
Tume ya uchaguzi na mamlaka za juu zaidi ya Nape ndio zinatakiwa kupinga kauli ya Nape, sio CCM.CCM inatakiwa ipinge kauli ya Amos Makala
Huyu nape mama samia amtowe tu kwenye uongozi maana ni kubwa jinga linaongea bila kutafakari kazi ni kuropoka hovyo.
Kwa hali ya kisiasa iliyopo sasa na yaliyotokea 2019/2020 kauli hii haifai inaturudisha kwenye primitive age safari hii inaweza kuleta maafa na 4R zikaishia hapo. huyu ashughulikiwe na mamlaka vinginevyo Mungu atafanya jambo haki za walio wengi si za kuchezea hata kama kasema ukweli wake. Mwenye hofu ya Mungu kama Samia sidhani kama ataruhusu wizi wa kura eti ili mradi kwa kauli ya Nape kwa kusema Mungu nisameheNape alikuwa anajaribu kukumbuka nukuu na Dikiteta wa Umoja wa Kisovieti (Soviet Union) 1890 - 1953 Joseph Stalin alinukuliwa akisema -:
People who vote decide nothing, People who count the votes decide everything π !
Nadhani Nape alikuwa anajaribu kutafsiri alichokisoma kwenye hiyo Nukuu akajikuta anaropoka hayo maneno mbele ya kadamnasi π³π±π€¦π½ββοΈ
Nadhani Nape ni mtu wa matani sana ,
Naikumbuka hata ile kauli yake ya Goli la mkono π³ππ€
Wazungu Wanasemaga. What you think so shall you be !
Anajiamini sana π³ !
Magufuli alikuwa Mwizi wa Kura kuliko Nape.Nape anataka kuuua credibility ya CCM toka kipindi cha Magufuli akiongelea goli la mkono
Nape kwenye mambo hayo ni fundi! 2015 bao la mkono. Ila acha Mungu apitie kwenye vinywa vyao kutuwekea wazi matendo yao. MUNGU anaiponya nchi. Makalla anatetea nn Kwa hili anajiaibisha bure! WaTz wa leo siyo wa mwaka 47. Na bado watafarakana sana. Watu hawawezi kuwa wanakesha Makanisani na Misikitini kuombea Mungu aliponye taifa halafu watu wanacheza na maombi ya watu. Waombaji ongezeni spana! Mungu anajibu! Wa kusema kupoteza watu alisharopoka shetani kamtumia Nchimbi akatetea. Mwizi wa kura karopoka shetani kamtumia Makalla anatetea!Kama wanapingana wao kwa wao, Nape anasubiria nini kuachia ngazi? Bosi wake kamkana tayari, sasa Nape ajipime kama anatosha.