Aise, Ila Sijui kwanini Nape ameongea huuUjonga Mkubwa hivi.Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Itikadi, Uenezi, Amos Makalla kimemjibu Mbunge wa Mtama Nape Nnauye kuhusu imani yake juu ya ushindi katika chaguzinchini.
Pia soma: Kuelekea 2025 - Nape: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!
Makalla amesisitiza kuwa CCM haihitaji mbeleko na itashinda kutokana na rekodi nzuri ya kuwaletea wananchi maendeleo.
Na hiyo ni tosha kabisa ccm kufutwaAlichokisema Nape ndiyo uhalisia wa mambo yanavyofanyika wakati wa chaguzi. Nape ni mkweli.
Ati Mungu Mungu, mungu atasaidiaje hapo? Don’t mourn take actionMungu anatusaidia lakini akina Mwashambwa wanatukwamisha bure.
Yaani kadhalilisha hadi tume ya uchaguziNilionya kwamba Kauli ya Nape hata kama ametoa kimasihara ila inaweza kuondoa Imani Kwa mfumo wa Demokrasia na taasisi zake hivyo haifai na inatakiwa kupingwa na kukemewa.
Hilo ni bonge la dharau kummmkeWahuni wapo sisiemu,na wanafaida kipindi Cha uchaguzi.ila Jamaa kakelaa sana tunajua wanaibaga lkn sio ndo watuambia.. ...ni sawa na Jamaa anagonga mkeo afu akaja kukuonesha chupii ya mkeo iliyopotea🤣🤣
Kama ukiweza kusoma body language ya hao watu wawili utagundua Nape alikuwa anaongea kwa kujiamini sana tofauti na jinsi alivyokuwa akiongea Ndugu Makalla 🙌CCM inatakiwa ipinge kauli ya Amos Makala
Nimesema ipinge kauli ya Amos MakalaTume ya uchaguzi na mamlaka za juu zaidi ya Nape ndio zinatakiwa kupinga kauli ya Nape, sio CCM.
Mwambie Samia amtoe Nape akione cha mtema kuni kwenye uchaguzi ujao.Muongo Nape
Nape anataka kuuua credibility ya CCM toka kipindi cha Magufuli akiongelea goli la mkono
Magufuli alimuona mapema akambwaga lakini Nape ndumila kuwili akajitia kuomba sijui msamaha feki Magufuli akamsamehe
Mama Samia kuja akaanza kutukana Magufuli ili mama samia amuone mzuri akampa uwaziri tena
Hakuna waziri mnafiki na ndumila kuwili kama Nape
Alitaka kuharibu image ya CCM kipindi cha Magufuli akiongelea goli la mkono sasa kaja na hili tena yote lengo likiwa kuua image ya chama CCM ndani ya nchi na nje ya nje
Makala yuko sahihi
Ombi langu langu kwa Raisi Samia naomba kwa dhati kabisa mtoe uwaziri na asirudi hata ubunge hata alie lie vipi
Mzee Makamba asikusumbue tena kuwa umkumbuke sababu yeye yatima aliyefiwa na baba Yake Mzee Nnauye Rafiki mkubwa wa Mzee Makamba ambaye hata msiba ulifanyika kwake
Enough is enough please .Madam President
Credibility ya CCM ni ya muhimu kuliko mtu
Mtu mwenye cheo cha Uwaziri atake kuuwa credibility ya chama chake ???!Muongo Nape
Nape anataka kuuua credibility ya CCM toka kipindi cha Magufuli akiongelea goli la mkono
Magufuli alimuona mapema akambwaga lakini Nape ndumila kuwili akajitia kuomba sijui msamaha feki Magufuli akamsamehe
Mama Samia kuja akaanza kutukana Magufuli ili mama samia amuone mzuri akampa uwaziri tena
Hakuna waziri mnafiki na ndumila kuwili kama Nape
Alitaka kuharibu image ya CCM kipindi cha Magufuli akiongelea goli la mkono sasa kaja na hili tena yote lengo likiwa kuua image ya chama CCM ndani ya nchi na nje ya nje
Makala yuko sahihi
Ombi langu langu kwa Raisi Samia naomba kwa dhati kabisa mtoe uwaziri na asirudi hata ubunge hata alie lie vipi
Mzee Makamba asikusumbue tena kuwa umkumbuke sababu yeye yatima aliyefiwa na baba Yake Mzee Nnauye Rafiki mkubwa wa Mzee Makamba ambaye hata msiba ulifanyika kwake
Enough is enough please .Madam President
Credibility ya CCM ni ya muhimu kuliko mtu
Nape ni kilaza sana!Makala ndio Muongo , na Nape ndio mkweli.
Baadhi yao sasa wataanza kuamini kuwa kumbe Mungu yupo kweli 🙏Nape kwenye mambo hayo ni fundi! 2015 bao la mkono. Ila acha Mungu apitie kwenye vinywa vyao kutuwekea wazi matendo yao. MUNGU anaiponya nchi. Makalla anatetea nn Kwa hili anajiaibisha bure! WaTz wa leo siyo wa mwaka 47. Na bado watafarakana sana. Watu hawawezi kuwa wanakesha Makanisani na Misikitini kuombea Mungu aliponye taifa halafu watu wanacheza na maombi ya watu. Waombaji ongezeni spana! Mungu anajibu! Wa kusema kupoteza watu alisharopoka shetani kamtumia Nchimbi akatetea. Mwizi wa kura karopoka shetani kamtumia Makalla anatetea!
Mtembelea magoti amekuja na igizo la kuomba radhi wakati moyo na matendo yake ndio yasadifu kauli yake ya kwanzaAise, Ila Sijui kwanini Nape ameongea huuUjonga Mkubwa hivi.
Mtembelea magoti amekuja na igizo la kuomba radhi wakati moyo na matendo yake ndio yasadifu kauli yake ya kwanza
Mwenezi wa CCM akikana kauli ya mtoto pendwa wa elitesMbona wakati akitoa kauli hakusema kama ni utani?
Kakiweka chama kwenye mtihani mgumu sana!! Tuombe Mungu kwenye chaguzi zinazokuja kusitokee vurugu. Maana mtu anaweza kukataa matokeo kutokana na kauli hii!!Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Itikadi, Uenezi, Amos Makalla kimemjibu Mbunge wa Mtama Nape Nnauye kuhusu imani yake juu ya ushindi katika chaguzinchini.
Pia soma: Kuelekea 2025 - Nape: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!
Makalla amesisitiza kuwa CCM haihitaji mbeleko na itashinda kutokana na rekodi nzuri ya kuwaletea wananchi maendeleo.
Ipinge kwa maneno kama ya Makalla. ?CCM inatakiwa ipinge kauli ya Amos Makala