Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
Hata wao matumaini hayo hawana. Ni blah blah tu.Na
Bado Unategemea CDM wachukue nchi ?
Kajiandikishe upige kuraHata wao matumaini hayo hawana. Ni blah blah tu.
Uwongo, Kamwe Ccm haitatoka madarakani kwa njia ya Kura, Never!Kauli za wapinzani kuimba CCM wanaiba kura au hawezi toka kupitia boksi la kura hazina Afya kabisa .Muitikio wa kujiandikisha umekuwa mdogo sana kwa baadhi ya maeneo .
CCM wanatumia nguvu kubwa kuhakikisha kila mwanaCCM anajiandikisha kupiga kura , Upinzani unatumia nguvu kubwa kuaminisha wanachama wao kuwa CCM wanaiba kura na hawezi kutoka madarakani kwa uchaguzi.
Kauli hizi zinaipa ushindi CCM maana wanaCCM wakipiga kura wanashinda , Upinzani tunakimbilia kusema wanaiba hatupigi kura .
Hapa JF tu sidhani kama kuna hata 5 % ya watu washawahi piga kura uchaguzi wa Serikali za mitaa huko .lakini bado CCM akishinda utasikia kaiba .
Ukiachana na 2020 ambapo hayati Magufuli aliamua kutimiza ahadi yake ya kutorudisha upinzani bungeni baada kumdharau , Upinzani ulikuwa unaingia bungeni , unapata madiwani japo kwa kulinda kura .
Mi nadhani tuendelee kuamini katika boksi la kura sio kila siku CCM itakuwa imara na dola itakuwa upande mmoja , kuna siku yaja CCM itaanguka kama vilivyoanguka vyama vingine.
Kutojiandikisha na kutopiga kura kunaipa Mwanya ccm kupita kihalali lakini pia inakuwa rahisi kufanya udanganyifu .
CCM hawawezi kutoka kwa haki hata dak 1Kwamba Kwa njia ya makaratasi? Nape alituambia kupata ushindi inategemea na anaye hesabu na kutangaza matokeo na si kile kilichomo kwenye sanduku. Wewe ujasiri wa kusema itatoka Kwa kupiga kura umeutoa wapi?
Nilipenda sana ya JPM ya kuhesabu kura za wabunge hadharani hii ingefanyika Kwa wote nakuapia hapa alfajiri na mapema ccm angeshindwa chap.CCM hawawezi kutoka kwa haki hata dak 1
sasa kama hatupigi kura itashindwaje ?Nilipenda sana ya JPM ya kuhesabu kura za wabunge hadharani hii ingefanyika Kwa wote nakuapia hapa alfajiri na mapema ccm angeshindwa chap.
Sasa bila kupiga kura ccm atatokaje madarakani ?Mara mwisho kupiga kura ni 2010. Sidhani kama itatokea nikapige kura Tena labda agombee mwanangu wa kumzaa!!
Tuwe na chama kimoja ?Siasa za Tanzania. Kuwa mpinzani ni kupoteza muda , utakuwa na hasira maisha yako yote.
🤝🙏Kauli za wapinzani kuimba CCM wanaiba kura au hawezi toka kupitia boksi la kura hazina Afya kabisa .Muitikio wa kujiandikisha umekuwa mdogo sana kwa baadhi ya maeneo .
CCM wanatumia nguvu kubwa kuhakikisha kila mwanaCCM anajiandikisha kupiga kura , Upinzani unatumia nguvu kubwa kuaminisha wanachama wao kuwa CCM wanaiba kura na hawezi kutoka madarakani kwa uchaguzi.
Kauli hizi zinaipa ushindi CCM maana wanaCCM wakipiga kura wanashinda , Upinzani tunakimbilia kusema wanaiba hatupigi kura .
Hapa JF tu sidhani kama kuna hata 5 % ya watu washawahi piga kura uchaguzi wa Serikali za mitaa huko .lakini bado CCM akishinda utasikia kaiba .
Ukiachana na 2020 ambapo hayati Magufuli aliamua kutimiza ahadi yake ya kutorudisha upinzani bungeni baada kumdharau , Upinzani ulikuwa unaingia bungeni , unapata madiwani japo kwa kulinda kura .
Mi nadhani tuendelee kuamini katika boksi la kura sio kila siku CCM itakuwa imara na dola itakuwa upande mmoja , kuna siku yaja CCM itaanguka kama vilivyoanguka vyama vingine.
Kutojiandikisha na kutopiga kura kunaipa Mwanya ccm kupita kihalali lakini pia inakuwa rahisi kufanya udanganyifu .
🤣 🤣 🤣Kwamba Kwa njia ya makaratasi? Nape alituambia kupata ushindi inategemea na anaye hesabu na kutangaza matokeo na si kile kilichomo kwenye sanduku. Wewe ujasiri wa kusema itatoka Kwa kupiga kura umeutoa wapi?
🤔🤔🤔Hawawezi kutoka madarakani kwa kura, njia moja tu ni "vita ya wenyewe kwa wenyewe" au njia ya mandamano mkubwa kama ilivyotokea kwa Sheikh Husna wa Bangladeshi. Kwanini nasema hivyo? Polisi ambao "wajinga" ambao wanaiweka CCM madarakani hawataona sababu ya kufa ili mtu mmoja na washirika wake waendelee kuiba, JW hawatakubali kufa ili kumweka mtu mmoja maarakani!
Kura hazitawatoa maana hata watanzania ni maiti, bado kuoza na kunuka
Acha kujifariji CCM inatumia dola na mbinu chafu kushinda uchaguzi kwa hiyo wapinzani wakigoma kupiga kura ni haki yao japo si vizuri.Ila inakatisha tamaa sana mfano mwaka 2019 kura zilipigwa na wakurugenzi kabla ya uchaguzi mwenyewe.Kauli za wapinzani kuimba CCM wanaiba kura au hawezi toka kupitia boksi la kura hazina Afya kabisa .Muitikio wa kujiandikisha umekuwa mdogo sana kwa baadhi ya maeneo .
CCM wanatumia nguvu kubwa kuhakikisha kila mwanaCCM anajiandikisha kupiga kura , Upinzani unatumia nguvu kubwa kuaminisha wanachama wao kuwa CCM wanaiba kura na hawezi kutoka madarakani kwa uchaguzi.
Kauli hizi zinaipa ushindi CCM maana wanaCCM wakipiga kura wanashinda , Upinzani tunakimbilia kusema wanaiba hatupigi kura .
Hapa JF tu sidhani kama kuna hata 5 % ya watu washawahi piga kura uchaguzi wa Serikali za mitaa huko .lakini bado CCM akishinda utasikia kaiba .
Ukiachana na 2020 ambapo hayati Magufuli aliamua kutimiza ahadi yake ya kutorudisha upinzani bungeni baada kumdharau , Upinzani ulikuwa unaingia bungeni , unapata madiwani japo kwa kulinda kura .
Mi nadhani tuendelee kuamini katika boksi la kura sio kila siku CCM itakuwa imara na dola itakuwa upande mmoja , kuna siku yaja CCM itaanguka kama vilivyoanguka vyama vingine.
Kutojiandikisha na kutopiga kura kunaipa Mwanya ccm kupita kihalali lakini pia inakuwa rahisi kufanya udanganyifu .
Uko sahihi kabisa suluhisho ni hilo.Hawawezi kutoka madarakani kwa kura, njia moja tu ni "vita ya wenyewe kwa wenyewe" au njia ya mandamano mkubwa kama ilivyotokea kwa Sheikh Husna wa Bangladeshi. Kwanini nasema hivyo? Polisi ambao "wajinga" ambao wanaiweka CCM madarakani hawataona sababu ya kufa ili mtu mmoja na washirika wake waendelee kuiba, JW hawatakubali kufa ili kumweka mtu mmoja maarakani!
Kura hazitawatoa maana hata watanzania ni maiti, bado kuoza na kunuka
Hii ni kweli kbs yaani chadema wapo wapo tu hawana mikakati yoyote kujapnga kuhusu uchaguziHao CDM hawana hata orodha ya mawakala wao wa vituo vya kupigia kura.
Hawana hata communication centre ya mawakala wao, wakikutana na shida taarifa wafikishe wapi.
Ndio kwanza Erythrocyte anaanzisha mada za wapiga kura kufanya kazi ya kubaharisha au tuite kulalama baada ya mipango yao kwenye kujiandaa kuelekea kwenye huu uchaguzi.
It’s beyond akili za watu wanaoweza shabikia chama kinachoendeshwa na watu wa hovyo kama CHADEMA.
Kidemokrasia haipendezi kuwa na chama kimojaTuwe na chama kimoja ?
Nikuulize wewe ulitaka upinzani watumie njia gani? Washike mitutu ili muwaite waasi na wahaini?kwa sehemu kubwa,
umewashauri wapinzani wenzio dhaifu na waliokosa uelekeo vizuri sana..
ila hapo kwenye,
eti kuna siku yaja CCM itaanguka kama vilivyo anguka vyama vingine.
Gentleman, hapo umewahadaa sana wenzio dah 🤣
Tz hakuna mpango mikakati wa upinzani walau hata kuitikisa au hata kuitisha CCM hata kidogo. Na kamwe hawawezi kua na mpango kama huo, mpaka kwanza waache kuchukiana wao kwa wao, waache kutokuaminiana, waache kulalamika bila mipango mbadala, waache mihemko n.k🐒
CHADEMA wako sawa kabisa.Hii ni kweli kbs yaani chadema wapo wapo tu hawana mikakati yoyote kujapnga kuhusu uchaguzi
Kwanza walisema hawatashiriki uchaguzi mpaka wapate tume huru lakin saiv wanasema watashiriki