CCM ya Kinana lazima italipa kisasi

CCM ya Kinana lazima italipa kisasi

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Ni suala la wakati tu.

Kulipa kisasi ni hulka yetu wanadamu na kamwe asikudanganye mtu eti hutegemea ntu na ntu.

CCM ya kina Kinana ya sasa baada ya kupitia nyakati ngumu kwao ima walionewa ama ilikuwa stahiki yao la mno na hakika ni kwamba iwe kwa kutaka wao ama kwa kulazimishwa na chawa wao ni lazima watalipa kisasi kwa CCM iliyopita!

Ki uhalisia Kinana ndiye mwenye CCM ya leo japokuwa kinadharia Samia ndiye mwenyekiti.

Nyuma ya Kinana kuna Mafia wengi waliozibiwa na JPM na watu wake na hao watu wa JPM walio hai ni suala la muda kisasi kitawapata.

Binafsi,naiona CCM iliyopalanganyika hapo 2025.
 
ACHA wauane!!wenye NCHI yao Ndio wameamua wao ndo wakae madarakani Hadi mwisho wa Dunia!!Huwa nasema kila siku hiki CHAMA kingepea fursa ya kuwa CHAMA cha upinzani hata kea miaka kumi tu Kungekuwa CHAMA bora kabisa Duniani!!!lakini kwanujinga Huu Basi tutarajie vikundi vya kimafia vya mauaji kuzaliwa kila siku na damu kumwagika!!!
 
Ni suala la wakati tu.

Kulipa kisasi ni hulka yetu wanadamu na kamwe asikudanganye mtu eti hutegemea ntu na ntu.

CCM ya kina Kinana ya sasa baada ya kupitia nyakati ngumu kwao ima walionewa ama ilikuwa stahiki yao la mno na hakika ni kwamba iwe kwa kutaka wao ama kwa kulazimishwa na chawa wao ni lazima watalipa kisasi kwa CCM iliyopita!

Ki uhalisia Kinana ndiye mwenye CCM ya leo japokuwa kinadharia Samia ndiye mwenyekiti.

Nyuma ya Kinana kuna Mafia wengi waliozibiwa na JPM na watu wake na hao watu wa JPM walio hai ni suala la muda kisasi kitawapata.

Binafsi,naiona CCM iliyopalanganyika hapo 2025.
ITAPENDEZA IKILIPA KISASI KWANI HATA NAO WALITESEKA
 
Ni suala la wakati tu.

Kulipa kisasi ni hulka yetu wanadamu na kamwe asikudanganye mtu eti hutegemea ntu na ntu.

CCM ya kina Kinana ya sasa baada ya kupitia nyakati ngumu kwao ima walionewa ama ilikuwa stahiki yao la mno na hakika ni kwamba iwe kwa kutaka wao ama kwa kulazimishwa na chawa wao ni lazima watalipa kisasi kwa CCM iliyopita!

Ki uhalisia Kinana ndiye mwenye CCM ya leo japokuwa kinadharia Samia ndiye mwenyekiti.

Nyuma ya Kinana kuna Mafia wengi waliozibiwa na JPM na watu wake na hao watu wa JPM walio hai ni suala la muda kisasi kitawapata.

Binafsi,naiona CCM iliyopalanganyika hapo 2025.
Umesharudi kutoka Rwanda?

Au wewe ndo Mke wa makonda? Maana naskia ni mwenyeji wa kigali
 
Ni suala la wakati tu.

Kulipa kisasi ni hulka yetu wanadamu na kamwe asikudanganye mtu eti hutegemea ntu na ntu.

CCM ya kina Kinana ya sasa baada ya kupitia nyakati ngumu kwao ima walionewa ama ilikuwa stahiki yao la mno na hakika ni kwamba iwe kwa kutaka wao ama kwa kulazimishwa na chawa wao ni lazima watalipa kisasi kwa CCM iliyopita!

Ki uhalisia Kinana ndiye mwenye CCM ya leo japokuwa kinadharia Samia ndiye mwenyekiti.

Nyuma ya Kinana kuna Mafia wengi waliozibiwa na JPM na watu wake na hao watu wa JPM walio hai ni suala la muda kisasi kitawapata.

Binafsi,naiona CCM iliyopalanganyika hapo 2025.
Unapiga ramli ?!!!

CCM haina michezo hiyo.....

#Siempre CCM🙏
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Ni suala la wakati tu.

Kulipa kisasi ni hulka yetu wanadamu na kamwe asikudanganye mtu eti hutegemea ntu na ntu.

CCM ya kina Kinana ya sasa baada ya kupitia nyakati ngumu kwao ima walionewa ama ilikuwa stahiki yao la mno na hakika ni kwamba iwe kwa kutaka wao ama kwa kulazimishwa na chawa wao ni lazima watalipa kisasi kwa CCM iliyopita!

Ki uhalisia Kinana ndiye mwenye CCM ya leo japokuwa kinadharia Samia ndiye mwenyekiti.

Nyuma ya Kinana kuna Mafia wengi waliozibiwa na JPM na watu wake na hao watu wa JPM walio hai ni suala la muda kisasi kitawapata.

Binafsi,naiona CCM iliyopalanganyika hapo 2025.
Hakuna CCM ya Kinana.
Mwenyekiti CCM ni Mama Samia ambaye hawezi kuwa overuled na makamu wake.

Ninyi ni mamluki mnaotafuta comfort, baada ya kuumiza watu, na kutengeneza kitu mlikiita “CCM Mpya”
Viroho vinawadunda mkisubiri kuangukiwa na jiwe ambalo halipo.
 
1649715716197.png
✨⚡🌟✌️
 
Ni suala la wakati tu.

Kulipa kisasi ni hulka yetu wanadamu na kamwe asikudanganye mtu eti hutegemea ntu na ntu.

CCM ya kina Kinana ya sasa baada ya kupitia nyakati ngumu kwao ima walionewa ama ilikuwa stahiki yao la mno na hakika ni kwamba iwe kwa kutaka wao ama kwa kulazimishwa na chawa wao ni lazima watalipa kisasi kwa CCM iliyopita!

Ki uhalisia Kinana ndiye mwenye CCM ya leo japokuwa kinadharia Samia ndiye mwenyekiti.

Nyuma ya Kinana kuna Mafia wengi waliozibiwa na JPM na watu wake na hao watu wa JPM walio hai ni suala la muda kisasi kitawapata.

Binafsi,naiona CCM iliyopalanganyika hapo 2025.

Ushamba unawasumbua sana. Ndo mana CCM itaendelea kutawala. Kwangu mimi sijaona maana ya vyama so long as tuna Rais makini na mawaziri makini na Sisi watu wa chini wenye madaraka kuwa wazalendo.

CCM hawajawahi kuwa wajinga. If you keep that in mind utajipanga vizuri. Siku Zote mnacheza ngoma yao. .
 
Ni suala la wakati tu.

Kulipa kisasi ni hulka yetu wanadamu na kamwe asikudanganye mtu eti hutegemea ntu na ntu.

CCM ya kina Kinana ya sasa baada ya kupitia nyakati ngumu kwao ima walionewa ama ilikuwa stahiki yao la mno na hakika ni kwamba iwe kwa kutaka wao ama kwa kulazimishwa na chawa wao ni lazima watalipa kisasi kwa CCM iliyopita!

Ki uhalisia Kinana ndiye mwenye CCM ya leo japokuwa kinadharia Samia ndiye mwenyekiti.

Nyuma ya Kinana kuna Mafia wengi waliozibiwa na JPM na watu wake na hao watu wa JPM walio hai ni suala la muda kisasi kitawapata.

Binafsi,naiona CCM iliyopalanganyika hapo 2025.
Uaneni tu mmalizane. Hayatuhusu.
 
Ushamba unawasumbua sana. Ndo mana CCM itaendelea kutawala. Kwangu mimi sijaona maana ya vyama so long as tuna Rais makini na mawaziri makini na Sisi watu wa chini wenye madaraka kuwa wazalendo.

CCM hawajawahi kuwa wajinga. If you keep that in mind utajipanga vizuri. Siku Zote mnacheza ngoma yao. .
wewe mwenyewe ni ccm🤣🤣🤣
 
Walipe kisasi tu kwani kuna ubaya, kama wao walifanya na ninyi mtashindwa nini, au nasema uongo ndugu zangu?. Malipo ni hapahapa. Kazi iendelee
 
CCM versus CCM
Wamelikoroga acha walinywe.
MTU yule kwa akili yake alitaka kuua upinzani Tanzania . Hakujua kwamba nature abhors a vacuum.
CCM Kuna makundi Kama wahaya walivyo na vijikabila vidogo vidogo.
 
Back
Top Bottom