CCM ya Kinana lazima italipa kisasi

CCM ya Kinana lazima italipa kisasi

Ni suala la wakati tu.

Kulipa kisasi ni hulka yetu wanadamu na kamwe asikudanganye mtu eti hutegemea ntu na ntu.

CCM ya kina Kinana ya sasa baada ya kupitia nyakati ngumu kwao ima walionewa ama ilikuwa stahiki yao la mno na hakika ni kwamba iwe kwa kutaka wao ama kwa kulazimishwa na chawa wao ni lazima watalipa kisasi kwa CCM iliyopita!

Ki uhalisia Kinana ndiye mwenye CCM ya leo japokuwa kinadharia Samia ndiye mwenyekiti.

Nyuma ya Kinana kuna Mafia wengi waliozibiwa na JPM na watu wake na hao watu wa JPM walio hai ni suala la muda kisasi kitawapata.

Binafsi,naiona CCM iliyopalanganyika hapo 2025.
Kinana level nyingine, huyo ni field marshal wa Siasa, Jenerali wa mikakati, mtaalamu wa utawala, ukiona wanaparaganyika, jua ni dizaini za akina makonda
 
Kinana si mtu wa kulipiza visasi labda akiathiriwa na asili yake au akilazimishwa na wanaomzunguka
 
Watanzania wengi tunajua Makonda ni mwathirika wa siasa za hivyo za wasiokuwa wazalendo.

Waliokuwa wamejivika koti la uzalando walikuwa wauaji na waonevu, acha waone kama walichokuwa wanafanyia wengine kama ilikuwa sawa na walikuwa wanafurahia.

Wakamatwe wasagwe kwa bulldozer ili wengine wajifunze uonevu siyo mzuri
 
Dawa ya hawa CCM ni katiba mpya; wana CCM mnaodai haki njooni tudai katiba, kuishi ndani ya familia ambayo mama au baba akibadilika yanageuka mateso ni ujinga.

Njooni tudai kuwa na mfumo unaoeleweka wa kuongoza nchi, wewe Askofu wa kawe pamoja na kuwa ulishiriki kuiba kura tumekusikia kilio chako - hiyo dira ya taifa unayoidai hutakaa uipate ndani ya CCM.

CCM ni ukoo wa panya ndugu.
 
Ni suala la wakati tu.

Kulipa kisasi ni hulka yetu wanadamu na kamwe asikudanganye mtu eti hutegemea ntu na ntu.

CCM ya kina Kinana ya sasa baada ya kupitia nyakati ngumu kwao ima walionewa ama ilikuwa stahiki yao la mno na hakika ni kwamba iwe kwa kutaka wao ama kwa kulazimishwa na chawa wao ni lazima watalipa kisasi kwa CCM iliyopita!

Ki uhalisia Kinana ndiye mwenye CCM ya leo japokuwa kinadharia Samia ndiye mwenyekiti.

Nyuma ya Kinana kuna Mafia wengi waliozibiwa na JPM na watu wake na hao watu wa JPM walio hai ni suala la muda kisasi kitawapata.

Binafsi,naiona CCM iliyopalanganyika hapo 2025.
Ripoti ya Bashiru kuhusu mali za ccm au?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ccm imejifia yenyewe hata kabla ya kufika 2025, naona maiti zao zinaelea majini (ndoto mbaya sana)🙁
 
Back
Top Bottom