Waberoya
Acha ukali mkuu,,,, haya maneno huku kwetu siyo! Tumia lugha laini kidogo,,, hata kama ni haki yako USIMAKE hivyo
Kinana anayepigiwa chepuo ni yupi?.Kinana ninayemfahamu ni fisadi kama mafisadi wengine.Huyu Kinana alidivert msaada wa mashine za kufulia nguo za wagonjwa Mt Meru Hospital akazipeleka kwenye kampuni yake Falcon drycleaner.Miradi yote ya Kinana kaajiri wasomali wenzake wasiojua hata kiswahili.
Kinana anajulikana kwa kufanikisha deal la Loliondo,alilidhalisha jeshi letu wakati huo akiwa waziri wa ulinzi kutumia magari kusafirisha wanyama kwa faida yake binafsi.
Kinana anahusika kwa kiasi kikubwa kuwapatia uraia wakimbizi wa kisomali walioko katika kijiji cha Chogo Handeni.
Samahani sana August kwa kutumia neno damn!,nimegundua halikuwa zuri pale..sorry ila bado siamini kuwa kuna usafi wowote CCM. August tuwaze kuiondoa CCM, hakuna cha uafadhali humo wala justification yeyote.
Kwa kifupi, katika zama hizi za vyama vingi , kiongozi yeyote wa CCM anayejiona msafi ni mnafiki na mwongo.Kubaki CCM ni kutaka kula, marupurupu na vijisenti fulani.Hamna mwenye uchungu wa taifa, ndio maana hatujawa na akina Morgan Tsavangirai bado.
Kubaki ndani ya system ya CCM , huku ukisema wewe ni msafi , hali ukijua huwezi kufanya lolote lile, ama sivyo watakukolimba , chifupa n.k....Nape naye yumo humo humo.
Sina maana wahame chama!!! wakijitokeza wawili watatu, waseme tunajivua uanachama wa CCM kwa ni hatujaridhika na jinsi inavyopafom, nchi itataharuki, wananchi wataamka!, nchi itatikisika, lakini watakuwa mashujaa, HAWAPO HAO!!!! tunalala tunaamka tunapiga kelele -UVCCM!!!!!
Hivyo basi usalama pekee ni kuwa mbali na CCM na kurusha makombora ya mbali.Wengi wana CCM, tumewaona wanapiga kelele, na jamii inawatambua , sasa wako kimya, kesho tena wataamka na kupiga kelele.jamii itawaona mashujaa, miaka inaenda , nothing has been done 3 years now, tunaimba CCM na JK, hao mashujaa wako humohumo!!!!
August ni lini unafikiri utatuaminisha kuwa hao waliochaguliwa wanaweza kuleta mabadiliko , kuliko aliyotegemewa kufanya Kikwete aliyechaguliwa kwa 80%????
Kwa nini tusikae chini na kuona kuwa Rais ndiye tatizo?? hivi unapoua nyoka unaangalia mkia??
Kichwa ndio tatizo, kichwa kikielekea kulia mwili wote unafuata hata kama kuna kiungo kilema, kitavutwa tu
Mtu anakaa chini na kuona mabadiliko ya UVCCM ,na kuwa katibu makamba akiondoka basi ndio nchi imeendelea!!!-Kwa namna hii kwa nini magazeti ya udaku yasiwatajirishe akina Shigongo?
Ukishaona jamii inafurahia habari fulani, ambayo imetengenezwa na watawala, ujue jamii hii imechoka, imeonewa imenyanyaswa au imekata tamaa ya kuwa ni jinsi gani watakavyowaondoa watawala, au imekosa mbinu sahihi ya kuwaondoa watawala.Hivyo basi taarifa, habari yeyote ile inayohusu mabadiliko kutoka kwa watawala inawafurahisha, kwani wameshindwa kufanya makubwa.
Sina lengo la kukosoa taarifa wala dataz kama hizi, ila tunapopata dataz hizi, zisitulemaze na kupumzika au kuhema kwa mapumzika, la tujue kuwa kazi iliyopo ni kumuondoa rais, kwa gharama yeyote hata ikilazimu kizazi hiki kuangamia.
let our motto be 'Leave state house JK', akilala, akiamka, akute wimbo huu, akijifanya kufanya anayoyafanya sasa, akute wimbo ni huu huu, kuwa ondoka Kikwete. Akiona tunakuwa excited na matendo yake butu anafurahi na kesho analeta lingine, 2010 hiyi mnampeleka ikulu kama kawa.
Mungu iokoe Tanzania
waberoya
Field Marshall,
Kwa hali ilivyo katika nyakati zetu hizi,hali ya uelewa wa umma,hali ya kuishi katika mfumo wa Chama kimoja kwa miaka 30,hali ya kuwa na katiba isiyokidhi maslahi ya taifa kwa enzi hizi na umaskini uliokithiri mimi naungana na wewe kuwa tuanpiga kelele tu.dalili za hawa watawala kuchaguliwa tena kwa kishindo zipo hiyo 2010 na zitaendelea kuwepo kwa karne hii yote.Madhara ya Nyerere ni makubwa kuliko yote ni kututawala kwa fimbo ya Ujamaa,kuhodhi fikra ma kuwafanya watu wengine wakiishi bila kujitambua,na umma ukabaki na fikra zilizodumaa.
Bila kuondoa huu ugonjwa wa fikra zilizodumazwa kwa kubadili mfumo mzima wa utawala ,kuunda katiba mpya na kuzindua akili za umma zilizolala na kudumaa tutakuwa na CCM hadi mwisho wa karne ya 21,na siyo hivi karibuni.Wengine tutakuwa tumeshakufa na Mungu pekee ndiye anayejua huko mbele watabadika lini hawa Watanzania wa leo.Tuendelee kupiga kelele humu nadani ya forum sisi wenyewe,huko nje mmmmhh kazi ni kubwa!
.Madhara ya Nyerere ni makubwa kuliko yote ni kututawala kwa fimbo ya Ujamaa,kuhodhi fikra ma kuwafanya watu wengine wakiishi bila kujitambua,na umma ukabaki na fikra zilizodumaa.
Suala la kuwa MAFISADI wameshindwa kwa kuwaondoa hao tunaodhani kuwa ni wagombea wao yaani Beno Malisa kama Kubenea na FMES wanavyoamini na Hussein Bashe ambaye ndiye haswa mgombea wa FISADI Rostam Aziz (sina uhakika na mkono wa LOWASSA hapa), sidhani kama ni kweli wao MAFISADI ndio walioshindwa. Actually kwa ninavyojua ugombea wa BENO MALISA ulivyo na mahusiano yake na MAFISADI tangia alipokataa ufadhili wao wakati wa kugombea NEC hivi karibuni ni wazi MAFISADI ndio walioshinda.....
Ahsante sana mkuu TZnjema, strong analysis.
Mkulu Halisi,
Cheki PM, fungua bomba inakuja.....!
Wakuu heshima mbele sana, ila samahani sana kwa udhuru maana leo nimealikwa kwenye sherehe nzito sana ya ushindi wa Obama inayofanywa na Balozi wa Kenya, ambako ninatakiwa kusoma ka-paper kadogo,
Na baada ya hiyo shughuli ninaelekea kwenye kuselebuka Live na Wenge Musica BCBG (Bece Bejhee), I mean nataka kwenda kuwacheki wakulu kina Jibe Mpiana, Kibense Profeseee, Seke Minyo, Clintooon, na Filipo, ingawa mkulu Afande ametoka, lakini Suvereee jibe Mpiana bado wamo sana,
Kwa hiyo wakuu mijadala iliyo na wema, labda kesho jioni tutakuwa hapa hapa uwanja wa damu Giladi, na ni matumaini yangu kwua kuna watakaoleta dataz za huko ndani, lakini nitajitahidi popote nilipo kujaribu ku-access as soon nikiwa nazo, otherwise kesho jioni nitakua nazo zote in full.
Shukrani Wakuu, Later!
...kaka fmes..tunangojea details kaka ..hasa baada ya wajumbe wa halmashauri kuu kumkatalia kikwete live ....kumuengua nimrod mkono..wakimtajia hadi jina la kukata ili mkono abaki[ambalo ni jina la mgombea anayesadikika kumtaka awe chairman wazazi]..thats a face snab to jk..tunategemea kwa mara ya kwanza kusikia veto ya mwenyekiti..leo ..ili kuwanusuru wagombea wake na kumbwaga mkono.......au anaweza kumita mkono na kumuomba awatulize section kubwa ya wajumbe wanaokataa jina lake kuenguliwa[inaaminika mkono si mtu wa mtandawo].....
Uchaguzi huu jk anakuwa makini kuhakikisha watu ambao ana mashaka na uaminifu wao kwake hawapiti na kuingia kamati kuu..ili wasije mbele ya safari wakaleta kanza ya kuzaa mbeki mwingine....
Tunakusubiri mukulu!!!
...kaka fmes..tunangojea details kaka ..hasa baada ya wajumbe wa halmashauri kuu kumkatalia kikwete live ....kumuengua nimrod mkono..wakimtajia hadi jina la kukata ili mkono abaki[ambalo ni jina la mgombea anayesadikika kumtaka awe chairman wazazi]..thats a face snab to jk..tunategemea kwa mara ya kwanza kusikia veto ya mwenyekiti..leo ..ili kuwanusuru wagombea wake na kumbwaga mkono.......au anaweza kumita mkono na kumuomba awatulize section kubwa ya wajumbe wanaokataa jina lake kuenguliwa[inaaminika mkono si mtu wa mtandawo].....
Uchaguzi huu jk anakuwa makini kuhakikisha watu ambao ana mashaka na uaminifu wao kwake hawapiti na kuingia kamati kuu..ili wasije mbele ya safari wakaleta kanza ya kuzaa mbeki mwingine....
Tunakusubiri mukulu!!!
Hili linashangaza sana. Mimi nilifikiri baada ya kushinda uchaguzi na hasa ukizingatia sasa hivi ana matatizo makubwa ya kisiasa, JK angekuwa concilliatiry na kuwa-take on board watu serious kama akina Mkono. Kumbe bado anaendeleza yaleyale ya umtandao? Hivi hajui kwamba umaarufu wake hata katika chama chake umeshuka sana? He must be having a very mediocre team of advicers!