Josaje Mtui
JF-Expert Member
- Oct 1, 2016
- 2,461
- 2,158
Utopolo na matopolo yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema chadema wajinga akianza kueleza mambo ya Magufuli walitakiwa wamzomee Lisu na kumwambia hatukuja hapa kusikiliza habari za Magufuli tueleze Sera zako wewe zilizokuleta hapaHizo ndio hoja za Lisu?
Ndio sera za lisu hizo?
Kwamba akifika kwenye kampeni huwa anawaambia wanachadema atawafanyia hayo akiwa rais?
Lisu ni debe tupu
Kabisa mkuu!Sema chadema wajinga akianza kueleza mambo ya Magufuli walitakiwa wamzomee Lisu na kumwambia hatukuja hapa kusikiliza habari za Magufuli tueleze Sera zako wewe zilizokuleta hapa
Aaaah! Unachanganya majina! Siyo zygote, ni zygot! Polewewe ni zygot, hujazaliwa na upo kwenye kundi la pychopathes , husikii uchungu wachache wanapokula keki inayopikwa na wengi
Wapi kuna unafuu? Hata Mbowe anakula peke yake ruzuku, Boss!wewe ni zygot, hujazaliwa na upo kwenye kundi la pychopathes , husikii uchungu wachache wanapokula keki inayopikwa na wengi
Nina uhakika wewe pia ni mtotonakuacha, wewe si level yangu, nenda insta kajibizane na watoto
Wanayaita matusi siku hizi.Hizi watasema ni kejeli. Yaani hapa Mgombea tumepata aisew. Sio Lowasa anasema zungusha mikono harafu anakaa.
Hapa ni kampeni elimi ya phd unapata.
Mkuu! Lisu na mashabiki wake akili zinafanana!sio kila anachongea tundu yuko sawa asee... Eti reli zingine ni sgr fanyeni utafiti kabla hamjaandika
Relu ya tazara ni cape gauge
Reli ya kati ni meter gauge
Burigi chato ilikuwa game reserve kabla haijapandishwa na translocation ya wanyama ni kitu cha kawaida.. na kuanzishwa kwa mbugakutaajiri vijana wengi tu... Wildlife vetenarians, watu wa wildlife na tourism
Jibu hata moja badi hapo. Watanzania wamewakataa mwaka huu. Ni ngumu kuamini na kulipolea hilo lakini ndio ukweli
Mtanyooka mwaka huuMkuu! Lisu na mashabiki wake akili zinafanana!
Imebaki kauli mbiu tukutane october 28, mbwembwe mlizokuwa nazo miaka mitano nyuma zimeishiwa wapi??mimi huwa sio mwingi wa maneno mkuu.
baada ya uchaguzi tutakutana hapa kufanya rejea ya nyuzi kaa hizi.
Hizi watasema ni kejeli. Yaani hapa Mgombea tumepata aisew. Sio Lowasa anasema zungusha mikono harafu anakaa.
Hapa ni kampeni elimi ya phd unapata.
Ndio maana kumbe ana roho ya koroshoMgombea wa chama twawala ni phd aliye bobea katika maganda ya korosho
Mahera aondoke.....Waliobaki kuipigania ccm hawana tofauti na kakikundi ka wahuni wavuta bangi
Wanaongea hovyo kama vile wamechomekwa ufunguo 😆😆
Huu upuuzi wenu wa kunyamazia hoja muhimu ambazo zinatakiwa majibu sidhani kama mtabakia salama!Kampeni sio malumbano kati ya wagombea ni kila mgombea kunadi Sera zake kwa wananchi
CCM tuko bize kunadi Sera zetu kwa wananchi sio kujibizana na mbelgiji