Uchaguzi 2020 CCM yagawanyika, hawana majibu hoja za Lissu!

Uchaguzi 2020 CCM yagawanyika, hawana majibu hoja za Lissu!

Hizo ndio hoja za Lisu?

Ndio sera za lisu hizo?
Kwamba akifika kwenye kampeni huwa anawaambia wanachadema atawafanyia hayo akiwa rais?


Lisu ni debe tupu
Sema chadema wajinga akianza kueleza mambo ya Magufuli walitakiwa wamzomee Lisu na kumwambia hatukuja hapa kusikiliza habari za Magufuli tueleze Sera zako wewe zilizokuleta hapa
 
Sema chadema wajinga akianza kueleza mambo ya Magufuli walitakiwa wamzomee Lisu na kumwambia hatukuja hapa kusikiliza habari za Magufuli tueleze Sera zako wewe zilizokuleta hapa
Kabisa mkuu!
 
sio kila anachongea tundu yuko sawa asee... Eti reli zingine ni SGR fanyeni utafiti kabla hamjaandika
Reli ya tazara ni cape gauge
Reli ya kati ni meter gauge
Burigi chato ilikuwa game reserve kabla haijapandishwa na translocation ya wanyama ni kitu cha kawaida.. na kuanzishwa kwa mbuga kutaajiri vijana wengi tu... Wildlife vetenarians, watu wa wildlife na tourism
 
sio kila anachongea tundu yuko sawa asee... Eti reli zingine ni sgr fanyeni utafiti kabla hamjaandika
Relu ya tazara ni cape gauge
Reli ya kati ni meter gauge
Burigi chato ilikuwa game reserve kabla haijapandishwa na translocation ya wanyama ni kitu cha kawaida.. na kuanzishwa kwa mbugakutaajiri vijana wengi tu... Wildlife vetenarians, watu wa wildlife na tourism
Mkuu! Lisu na mashabiki wake akili zinafanana!
 
Jibu hata moja badi hapo. Watanzania wamewakataa mwaka huu. Ni ngumu kuamini na kulipolea hilo lakini ndio ukweli

mimi huwa sio mwingi wa maneno mkuu.

baada ya uchaguzi tutakutana hapa kufanya rejea ya nyuzi kaa hizi.
 
mimi huwa sio mwingi wa maneno mkuu.

baada ya uchaguzi tutakutana hapa kufanya rejea ya nyuzi kaa hizi.
Imebaki kauli mbiu tukutane october 28, mbwembwe mlizokuwa nazo miaka mitano nyuma zimeishiwa wapi??
 
Mgombea wa chama twawala ni phd aliye bobea katika maganda ya korosho
Hizi watasema ni kejeli. Yaani hapa Mgombea tumepata aisew. Sio Lowasa anasema zungusha mikono harafu anakaa.

Hapa ni kampeni elimi ya phd unapata.
 
Hawezi kuwa na majibu! Maana wamefanya kitu ambacho hawakuahidi hicho na wala wananchi hatukuwatuma kufanya hayo! Ukifanya ambacho hukutumwa , hata ungefanya kikubwa au kwa nguvu kubwa kiasi gani ni sawa na kazi bure!
 
Tuko busy na kampeni zenye amani hatuwezi kukubali kirahisi namna hiyo kutuingiza kwenye migogoro ya kujibizana na Tundu Lissu tutamjibu baada ya kazi ya kumuapisha Ndugu JPM kumalizika yeye aendelee tu kututukana tutamjibu baadae
 
Waliobaki kuipigania CCM hawana tofauti na kakikundi ka wahuni wavuta bangi

Wanaongea hovyo kama vile wamechomekwa ufunguo [emoji38][emoji38]
 
Kampeni sio malumbano kati ya wagombea ni kila mgombea kunadi Sera zake kwa wananchi

CCM tuko bize kunadi Sera zetu kwa wananchi sio kujibizana na mbelgiji
Huu upuuzi wenu wa kunyamazia hoja muhimu ambazo zinatakiwa majibu sidhani kama mtabakia salama!
 
Nimeona mahali vijana wa CCMwakiambiwa wajibu hoja zote za wapinzani, sasa hapa watajibu nini!
Kijana gani CCM mwenye uwezo wa kujibu hoja hizi?
 
Back
Top Bottom