Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Na kusambaratika kabisa!CHADEMA, jiandaeni kuishi bila ruzuku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kusambaratika kabisa!CHADEMA, jiandaeni kuishi bila ruzuku
Itakua haupo Tanzania au haumuoni Polepole anavyotokwa na mishipa hadi kumwita mwenzake msukule??!Kampeni sio malumbano kati ya wagombea ni kila mgombea kunadi Sera zake kwa wananchi
CCM tuko bize kunadi Sera zetu kwa wananchi sio kujibizana na mbelgiji
Lete hoja.Mbeligiji wenu naye anahoja?. Ikulu ataiona kwenye TV tu, watanzania hawana akili mbovu.Wanajua watakacho.
Sema chadema wajinga akianza kueleza mambo ya Magufuli walitakiwa wamzomee Lisu na kumwambia hatukuja hapa kusikiliza habari za Magufuli tueleze Sera zako wewe zilizokuleta hapa
Imebaki kauli mbiu tukutane october 28, mbwembwe mlizokuwa nazo miaka mitano nyuma zimeishiwa wapi??
We ccm mchumia tumbo tu acha kujifanya eti wewe sio ccm mlamba viatu wewe.
Chadema inawatoa nishai this time.
Naona hadi NEC inasaidia kampeni. Hakuna mazoea mwaka huu.
Kampeni sio malumbano kati ya wagombea ni kila mgombea kunadi Sera zake kwa wananchi
CCM tuko bize kunadi Sera zetu kwa wananchi sio kujibizana na mbelgiji
Debe tupu kweli kweli. Manyumbu wa Mwenyekiti, tulieni dawa iingie vizuri.Hizo ndio hoja za Lisu?
Ndio sera za lisu hizo?
Kwamba akifika kwenye kampeni huwa anawaambia wanachadema atawafanyia hayo akiwa rais?
Lisu ni debe tupu
Sera za kupiga mabomu watu?Oct 28,tuna jambo letu. Tuko busy kunadi sera, hoja za Tundu zitajibiwa na kina nassari
Wajiandae kisaikolojia,pengine itabidi warudishwe walikotolewa.Serikali inaenda kubadilika,kama ChatoBirigi National Park haina tija inaachwa tunaendeleza zilizopo.Hoja namba tatu, na Wamasai wamehamishiwa Chato na wamepewa ng'ombe wakae huko kukuza utalii