Uchaguzi 2020 CCM yagawanyika, hawana majibu hoja za Lissu!

Uchaguzi 2020 CCM yagawanyika, hawana majibu hoja za Lissu!

Kampeni sio malumbano kati ya wagombea ni kila mgombea kunadi Sera zake kwa wananchi

CCM tuko bize kunadi Sera zetu kwa wananchi sio kujibizana na mbelgiji
Sera ni nini au ndio nini?!

Nani ana zinadi hizo sera na wapi na lini?!

Kama una ushahidi wa video tuwekee nami nitakuwekea ushadi wa video za huyo huyo?!
 
Kampeni sio malumbano kati ya wagombea ni kila mgombea kunadi Sera zake kwa wananchi

CCM tuko bize kunadi Sera zetu kwa wananchi sio kujibizana na mbelgiji

Mataga umewahi kusikia usemi kuwa" WALE WANAOISHI KWENYE NYUMBA ZA VIOO WASIRUSHE MAWE"; sasa kama unamuita Lissu mbelgiji na wenzenu wakimuita Jiwe MRUNDI mtachukia?
 
Ndugu,pamoja na kwamba siipendi CCM,lakini ni ujinga kuamini unaweza kumshawishi mwananchi wa kawaida kwamba madaraja,vinu vya umeme,train za umeme sio vitu vya msingi kwake. Ila uhuru(sijui ni uhuru upi!!!)

Lissu anayo nafasi kuwaelekeza wananchi kuna kitu wanamiss kikampa kick,lakini si kuponda miundombinu,yaani katika upuuzi anafanya ni kusema madaraja,mandege,mabwawa si kitu si lolote,ila uhuru.

Lakini kwa sababu Lissu ni mkombozi ambaye wafuasi wake hawataki akosolewe,ni genious ambaye hakosei,ni mwanasheria anayejua sheria zote,ni muongeaji asiyeshindwa mabishano yoyote,wacha aendelee na mapambano. Ila hashindi uchaguzi huu.
 
Hoja za Lisu wanazielewa vizuri sana watumishi hewa na mazwazwa. Mwenye akili timamu hawezi hata siku moja kumuunga mkono zombi anayeropoka ropoka tu hana Sera wala hajitambui na inaonekana huenda akawa ni mwezi mchanga kichwani.
Mwaka huu kumekucha!
 
Wafuasi wa Lissu humu JF mnajiaibisha. Najiuliza kama hivyo ndivyo viwango vyenu vya ufahamu wa mahitaji yenu (individual level)!! Je, unahitaji kujua jinsi wewe au ndugu yako asiyepata maji safi na salama atayapata, au majibu ya maswali hayo ya kizushi?

Amini mna bahati kuandika kwa kutumia ID feki!!
 
Mleta mada pamoja na kujitahidi kuleta hoja za Lissu kuna sehemu umemnukuu vibaya hasa kuhusu viwanja vya ndege nchini, Lissu hajasema kuwa Mkoloni alijenga kiwanja kimoja cha ndege, bali anasema walijenga vingi

Pia hajasema reli zote hizo ulizoziorodhesha ni SGR, hapa umemlisha maneno
 
Kampeni sio malumbano kati ya wagombea ni kila mgombea kunadi Sera zake kwa wananchi

CCM tuko bize kunadi Sera zetu kwa wananchi sio kujibizana na mbelgiji
Mkuu kampaini ni pamoja na kubainisha mtangulizi wako mapungufu aliyoyafanya kama kigezo cha kushawishi watu kutokwa imani kwake. Fuatilia midahalo ya wakubwa uone mfano tena leo ucku kuna mwingine wa Donald Trump na Jooh Biden
 
Usitutishe wewe mfagizi wa Lumumba. We nani?
Hujitambui ndiyo maana unashabikia Sera za kipuuzi.

Mtaji wa maskini ni nguvu yake mwenyewe. Jiimarishe kiuchumi ili sauti yako (uhuru na haki) iweze kusikika au kusikilizwa. Iwapo wewe ni ke na umeolewa, na huna kipato, najua unateswa na mmeo, vingenevyo unamnyanyasa mmeo. Kama wewe ni me, ama unamnyanyasa mkeo au unanyanyaswa.

Tunahitaji viongozi wa kuwezesha kila Mtanzania kuondokana na umaskini. Ili linawezekana uwapo utajiri wa nchi utatumika (kama ilivyo sasa) kuboresha mazingira ya kila mwananchi kufanya shughuli zake za maendeleo (huduma za jamii, miundo mbinu, nk).

Jitambue, Jikubali, Jiandae.
 
Wafuasi wa Lissu humu JF mnajiaibisha. Najiuliza kama hivyo ndivyo viwango vyenu vya ufahamu wa mahitaji yenu (individual level)!! Je, unahitaji kujua jinsi wewe au ndugu yako asiyepata maji safi na salama atayapata, au majibu ya maswali hayo ya kizushi?

Amini mna bahati kuandika kwa kutumia ID feki!!
Wewe Id real eeh! Endelea kuimba mapambio wenzako tunachanja mbuga
 
Unahitaji viongozi wa kuondosha umaskini?? Basi hawezi kupatikana ndani ya CCM ineshindwa kwa miaka 60 haiwezi hataipewe miaka 1000 mingine. CCM haina mtu mwenye uwezo huo. Wote vilaza tu
 
MOJA: Reli nyingine zilizopo na zenyewe ni standard gauge - TAZARA, RELI YA KATI, (DAR -KIGOMA) na ya TANGA-ARUSHA

MBILI:
Marais wengine wote na wenyewe walianzisha mabwawa ya umeme, kuanzia Kidatu na Mtera (Nyerere), wengine wakajenga Kihansi (Morogoro - MKAPA), Hale (Tanga - NYERERE), Pangani (Tanga - MWINYI), Nyumba ya Mungu (Kilimanjaro - NYERERE), Rusumo (Kagera- KIKWETE), Songwe (Mbeya - KIKWETE)

TATU:
Wakati wa uhuru kulikuwa na mbuga moja tu, ya Serengeti, iliyotengwa na Mkoloni. Nyingine zote zilianzishwa kwa amri za marais kwa kuhamisha watu, hizi za Magufuli wanahamisha wanyama, wanawapeleka Chato ambako naturally hakuna mbuga, hakuna wanyama. Na wanapounda mbuga mpya wanaingilia maeneo ya watu na hawawalipi fidia, wanasababisha maafa na migogoro ya ardhi. Anaijua migogoro yote ya mipaka ya hifadhi nchi hii, na ardhi za wananchi zilizopokwa bila fidia, kwa sababu alilifanyia utafiti katika kazi yake ya kwanza akitoka chuo.

NNE:
Daktari muanzilishi wa Hospitali ya Masana Mbezi, Dar es Salaam, alikufa kwa pressure baada ya kukutwa na mashine alizonunua kwenye mnada wa vifaa chakavu, Muhimbili, akasahau kufuta zile alama za MUHIMBILI MKWAJU SERIKALI MKWAJU HOSP MKWAJU RUFAA MKWAJU SIFURI SIFURI MBILI MKWAJU.... Alifunguliwa kesi ya uhujumu uchumi isiyo na dhamana, akafa na pressure halafu wakakuta ni kweli alinunua Muhimbili.

TANO:
Mbunge wa CCM, Salim Hassan Abdullah Turki, amekufa na pressure baada ya kubambikwa madai ya kodi ya mabilioni. Mheshimiwa Turki ndie aliyekodi ndege ya kumpeleka Tundu Lissu Nairobi akiwa mahututi. Hii Tundu Lissu amesema ameambiwa na familia ya marehemu.

SITA:
Mtoto wa Dada yake Magufuli, Doto James, ambae kwa sasa ndie ana saini miamala yote ya serikali, alirushwa vyeo ghafla kutoka kuwa afisa TANROADS mpaka katibu mkuu HAZINA pindi mjomba wake alipopata Urais; Na kwamba, sasa hivi kuna watu wawili tu nchi hii, Doto James na mjomba wake, ambao wanajua hela za kununua ndege na za Bwawa la Rufiji ni shiing ngapi na zimetoka wapi.

SABA:
Familia ya Mwinyi, Mkapa kila mmoja anamiliki ekari 60,000, Sumaye 45,000 za ardhi ambazo awali zilikuwa mashamba ya serikali, ikiwemo NAFCO, kabla ya kujimilikisha wakiwa marais na wa mawaziri wakuu. Viongozi wengine na matajiri wenye ekari chini ya hapo, elfu 35, elfu 20, elfu 15, elfu 10, elfu 5 ni wengi, wengi, wengi mno. Ambao walipeana kama "wawekezaji" lakini wamezikalia tu. Na ni sababu moja kubwa na migogoro ya wakulima na wafugaji, kupungua kwa ardhi.

NANE: Miaka saba baada ya kuwa tushapata uhuru, Nyerere aliandika kitabu kuelekezea kwamba bado tunahitaji uhuru licha ya kuwa tulishawaondoa wakoloni, kinaitwa Uhuru na Maendeleo. Hoja kuu ya kitabu cha Nyerere inasema jamii inapimwa kwa maendeleo ya watu, sio ya vitu na miundombinu.

TISA:
Mkandarasi wa Uwanja wa Ndege Chato, Mayanga Construction (Steven Makigo), ni mme mwenza wa Magufuli, wameoa nyumba moja. Mme mwenza aliambiwa jenga uwanja! Mpwa (Doto James) akaambiwa toa hela!

KUMI:
Kiwanja kimoja tu cha ndege kimejengwa na Mkoloni, Mwingereza, kile cha Air Wing, Ukonga. Nyerere alijenga Kilimanjaro na wakaendelea kujenga vingine vyote nchini, Magufuli si Mtanzania wa kwanza kujenga uwanja wa ndege.

NB: Mwenyekiti UVCCM TAIFA SHAKA JAMES aliyeagiza kuumizwa kwa wapinzani na mwenye kauli za kibaguzi ni mtoto wa Dada yake "MEKO"

-----------------------------------------------------------

WHAT'S THE POINT?
Anasema, wakati wote huu inajengwa hiyo miradi toka uhuru, airports, mbuga, reli, mabwawa ya umeme, mabarabara, hakuna Mtanzania aliyenyanyapaliwa, aliyeuawa kwa pressure ya kutishwa, kuhamishwa, kubambikwa kodi, kupigwa, kutiwa kizuizini miaka 5, au kumiminiwa risasi kwa kuhoji miradi au kwa kigezo kwamba nawaletea maendeleo.


Lissu 2020

Hoja kwa hoja, Tundu Lissu


KWA HIYO
 
MOJA: Reli nyingine zilizopo na zenyewe ni standard gauge - TAZARA, RELI YA KATI, (DAR -KIGOMA) na ya TANGA-ARUSHA

MBILI:
Marais wengine wote na wenyewe walianzisha mabwawa ya umeme, kuanzia Kidatu na Mtera (Nyerere), wengine wakajenga Kihansi (Morogoro - MKAPA), Hale (Tanga - NYERERE), Pangani (Tanga - MWINYI), Nyumba ya Mungu (Kilimanjaro - NYERERE), Rusumo (Kagera- KIKWETE), Songwe (Mbeya - KIKWETE)

TATU:
Wakati wa uhuru kulikuwa na mbuga moja tu, ya Serengeti, iliyotengwa na Mkoloni. Nyingine zote zilianzishwa kwa amri za marais kwa kuhamisha watu, hizi za Magufuli wanahamisha wanyama, wanawapeleka Chato ambako naturally hakuna mbuga, hakuna wanyama. Na wanapounda mbuga mpya wanaingilia maeneo ya watu na hawawalipi fidia, wanasababisha maafa na migogoro ya ardhi. Anaijua migogoro yote ya mipaka ya hifadhi nchi hii, na ardhi za wananchi zilizopokwa bila fidia, kwa sababu alilifanyia utafiti katika kazi yake ya kwanza akitoka chuo.

NNE:
Daktari muanzilishi wa Hospitali ya Masana Mbezi, Dar es Salaam, alikufa kwa pressure baada ya kukutwa na mashine alizonunua kwenye mnada wa vifaa chakavu, Muhimbili, akasahau kufuta zile alama za MUHIMBILI MKWAJU SERIKALI MKWAJU HOSP MKWAJU RUFAA MKWAJU SIFURI SIFURI MBILI MKWAJU.... Alifunguliwa kesi ya uhujumu uchumi isiyo na dhamana, akafa na pressure halafu wakakuta ni kweli alinunua Muhimbili.

TANO:
Mbunge wa CCM, Salim Hassan Abdullah Turki, amekufa na pressure baada ya kubambikwa madai ya kodi ya mabilioni. Mheshimiwa Turki ndie aliyekodi ndege ya kumpeleka Tundu Lissu Nairobi akiwa mahututi. Hii Tundu Lissu amesema ameambiwa na familia ya marehemu.

SITA:
Mtoto wa Dada yake Magufuli, Doto James, ambae kwa sasa ndie ana saini miamala yote ya serikali, alirushwa vyeo ghafla kutoka kuwa afisa TANROADS mpaka katibu mkuu HAZINA pindi mjomba wake alipopata Urais; Na kwamba, sasa hivi kuna watu wawili tu nchi hii, Doto James na mjomba wake, ambao wanajua hela za kununua ndege na za Bwawa la Rufiji ni shiing ngapi na zimetoka wapi.

SABA:
Familia ya Mwinyi, Mkapa kila mmoja anamiliki ekari 60,000, Sumaye 45,000 za ardhi ambazo awali zilikuwa mashamba ya serikali, ikiwemo NAFCO, kabla ya kujimilikisha wakiwa marais na wa mawaziri wakuu. Viongozi wengine na matajiri wenye ekari chini ya hapo, elfu 35, elfu 20, elfu 15, elfu 10, elfu 5 ni wengi, wengi, wengi mno. Ambao walipeana kama "wawekezaji" lakini wamezikalia tu. Na ni sababu moja kubwa na migogoro ya wakulima na wafugaji, kupungua kwa ardhi.

NANE: Miaka saba baada ya kuwa tushapata uhuru, Nyerere aliandika kitabu kuelekezea kwamba bado tunahitaji uhuru licha ya kuwa tulishawaondoa wakoloni, kinaitwa Uhuru na Maendeleo. Hoja kuu ya kitabu cha Nyerere inasema jamii inapimwa kwa maendeleo ya watu, sio ya vitu na miundombinu.

TISA:
Mkandarasi wa Uwanja wa Ndege Chato, Mayanga Construction (Steven Makigo), ni mme mwenza wa Magufuli, wameoa nyumba moja. Mme mwenza aliambiwa jenga uwanja! Mpwa (Doto James) akaambiwa toa hela!

KUMI:
Kiwanja kimoja tu cha ndege kimejengwa na Mkoloni, Mwingereza, kile cha Air Wing, Ukonga. Nyerere alijenga Kilimanjaro na wakaendelea kujenga vingine vyote nchini, Magufuli si Mtanzania wa kwanza kujenga uwanja wa ndege.

NB: Mwenyekiti UVCCM TAIFA SHAKA JAMES aliyeagiza kuumizwa kwa wapinzani na mwenye kauli za kibaguzi ni mtoto wa Dada yake "MEKO"

-----------------------------------------------------------

WHAT'S THE POINT?
Anasema, wakati wote huu inajengwa hiyo miradi toka uhuru, airports, mbuga, reli, mabwawa ya umeme, mabarabara, hakuna Mtanzania aliyenyanyapaliwa, aliyeuawa kwa pressure ya kutishwa, kuhamishwa, kubambikwa kodi, kupigwa, kutiwa kizuizini miaka 5, au kumiminiwa risasi kwa kuhoji miradi au kwa kigezo kwamba nawaletea maendeleo.


Lissu 2020

Hoja kwa hoja, Tundu Lissu
WHAT'S THE POINT?
Anasema, wakati wote huu inajengwa hiyo miradi toka uhuru, airports, mbuga, reli, mabwawa ya umeme, mabarabara, hakuna Mtanzania aliyenyanyapaliwa, aliyeuawa kwa pressure ya kutishwa, kuhamishwa, kubambikwa kodi, kupigwa, kutiwa kizuizini miaka 5, au kumiminiwa risasi kwa kuhoji miradi au kwa kigezo kwamba nawaletea maendeleo.
 
WHAT'S THE POINT?
Anasema, wakati wote huu inajengwa hiyo miradi toka uhuru, airports, mbuga, reli, mabwawa ya umeme, mabarabara, hakuna Mtanzania aliyenyanyapaliwa, aliyeuawa kwa pressure ya kutishwa, kuhamishwa, kubambikwa kodi, kupigwa, kutiwa kizuizini miaka 5, au kumiminiwa risasi kwa kuhoji miradi au kwa kigezo kwamba nawaletea maendeleo.
you missed the Point to hell
 
Usimfananishe Lowassa na Lissu.
Lowassa alikamata roho za watz...

tulimpigia deki barabara

Viva Magu 2020 to 2030
Hizi watasema ni kejeli. Yaani hapa Mgombea tumepata aisew. Sio Lowasa anasema zungusha mikono harafu anakaa.

Hapa ni kampeni elimi ya phd unapata.
 
Back
Top Bottom