CCM yaitisha Kikao Kizito Maalumu cha kamati Kuu

Lucas Mwashambwa katika Moja na mbili, haya utuletee mrejesho yakiwemo maazimio
 
Masauni mda wake unahesabika.
Msiye mpenda anaweza teuliwa ubunge viti maalum na akashika wadhifa wake
 
Bora umemtia msumari wa moto, huyo jamaa kiukweli hajitambui
 
baada ya kukamilika kwa ikulu ya chamwino na sgr kufika dodoma tulitegemea vikao vingi vyabrais vingefanyika Dodoma, hivi rais anavyotangatanga simnamchosha au mnababaisha asi concentrate na majukumu na sijui kama akisafiri anabeba na mafaili,
 
Kikao cha majizi ya rasilimali, watekaji na wauaji wa wananchi wasio na hatia, kikao cha waiba kura maarufu wa nchi tena wanajinasibu kuwa na bao lao la mkono, kikao cha mediocre leaders
 
Kikao cha majizi ya rasilimali, watekaji na wauaji wa wananchi wasio na hatia, kikao cha waiba kura maarufu wa nchi tena wanajinasibu kuwa na bao lao la mkono, kikao cha mediocre leaders
Endelea kuweweseka wakati CCM ikiendelea kujenga imani kwa watanzania na kuaminiwa mioyoni mwao mamilioni ya watanzania
 
Kwa hiyo Dr.Nchimbi hatohudhuria mdahalo wa makatibu wakuu wa vyama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…