CCM yajifunza kusukuma maendeleo makubwa kwa wananchi kutoka China

CCM yajifunza kusukuma maendeleo makubwa kwa wananchi kutoka China

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
377
Reaction score
435
TAARIFA YA KATIBU WA ITIKADI NA UENEZI NDUGU SOPHIA MJEMA KUHUSU ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM NDUGU DANIEL CHONGOLO NA UJUMBE WAKE NCHINI CHINA.

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndugu Sophia Mjema leo Ijumaa Aprili 28, 2023 kwenye Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba Jijini Dar es Salaam ametoa taarifa ya ziara ya Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Daniel Chongolo aliyeambatana na Wajumbe wa Halmashauri Kuu nchini China. Taarifa hiyo imetolewa muda mfupi baada ya Katibu Mkuu Chongolo na ujumbe wake kuwasili nchini kutoka China.
 

Attachments

  • IMG-20230428-WA0010.jpg
    IMG-20230428-WA0010.jpg
    96.1 KB · Views: 6
  • VID-20230428-WA0014.mp4
    21.7 MB
  • VID-20230428-WA0013.mp4
    9.5 MB
  • IMG-20230428-WA0009.jpg
    IMG-20230428-WA0009.jpg
    81 KB · Views: 5
  • IMG-20230428-WA0011.jpg
    IMG-20230428-WA0011.jpg
    99.2 KB · Views: 6
  • IMG-20230428-WA0012.jpg
    IMG-20230428-WA0012.jpg
    164.3 KB · Views: 6
  • IMG-20230428-WA0008.jpg
    IMG-20230428-WA0008.jpg
    101.1 KB · Views: 5
TAARIFA YA KATIBU WA ITIKADI NA UENEZI NDUGU SOPHIA MJEMA KUHUSU ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM NDUGU DANIEL CHONGOLO NA UJUMBE WAKE NCHINI CHINA.

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndugu Sophia Mjema leo Ijumaa Aprili 28, 2023 kwenye Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba Jijini Dar es Salaam ametoa taarifa ya ziara ya Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Daniel Chongolo aliyeambatana na Wajumbe wa Halmashauri Kuu nchini China. Taarifa hiyo imetolewa muda mfupi baada ya Katibu Mkuu Chongolo na ujumbe wake kuwasili nchini kutoka China.
Kusukuma Maendeleo, Africa ni kazi kubwa sana. China inajenga yenyewe miradi yake midogo na mikubwa, toka miaka ya 1970 huko. Tanzania kujenga Karavati tu anapewa Mchina au Muhindi. Pesa yote ya Miradi Mikubwa na Midogo inakwenda mifukoni mwa tabaka fulani. Ata wajenge miradi 1,000 bado Tanzania itabaki duni sana. Ni vyema tukakaa mbali na China, maana hatuna tunachojifunza kutoka kwao.
 
Maendeleo hayana vyama lengo ni kuwaletea maendeleo ya haraka wananchi ifikapo 2030 hakuna chama kingine chenye dhamira ya kweli zaidi ya ccm!
 
Huwa najiuliza hivi hatuna watanzania makini wa kutatua matatizo yetu tukiyajadili,tukaamua halafu tukasimamia au tunakosa dhamira ? Mfano usafiri dar tunahitaji mtu wa nje aje kutufikirisha na ktuamualia nini tufanye?
 
Back
Top Bottom