CCM yalaani mauaji ya mjumbe wa CHADEMA Ali Mohamed Kibao

CCM yalaani mauaji ya mjumbe wa CHADEMA Ali Mohamed Kibao

View attachment 3090435
===
CCM YASIKITISHWA KIFO CHA MJUMBE WA SEKRETARIETI YA CHADEMA YATOA POLE.

"Nimeona kwenye Vyombo vya Habari kuanzia asubuhi mpaka sasa nitoe pole kwa Chama cha Chadema kwa kumpoteza mmoja wa Wajumbe wa Sektarieti bwana Ali Kibao nimekuwa nikifuatilia sisi ni vyama vya siasa linapokuja suala la ubinadamu Chama unaweka pembeni, nawapa pole kwa msiba"

"Mimi niombe Jeshi la Polisi likatimize wajibu la kuendelea na uchunguzi wa jambo huo , na katika hili sisi ni binadamu ,utu na ndio mana nimesimama hapa kutoa pole kwa niaba ya Chama cha Mapinduzi"

Katibu wa NEC-Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa Ndugu Amos Makalla amesema hayo akizungumza na Wananchi wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara .

===
Mnawapa pole CHADEMA kwa unafiki mkubwa.

CCM ina mkono wake kwenye haya mauaji yanayoshamiri
 
===
CCM YASIKITISHWA KIFO CHA MJUMBE WA SEKRETARIETI YA CHADEMA YATOA POLE.

"Nimeona kwenye Vyombo vya Habari kuanzia asubuhi mpaka sasa nitoe pole kwa Chama cha Chadema kwa kumpoteza mmoja wa Wajumbe wa Sektarieti bwana Ali Kibao nimekuwa nikifuatilia sisi ni vyama vya siasa linapokuja suala la ubinadamu Chama unaweka pembeni, nawapa pole kwa msiba"

"Mimi niombe Jeshi la Polisi likatimize wajibu la kuendelea na uchunguzi wa jambo huo , na katika hili sisi ni binadamu ,utu na ndio mana nimesimama hapa kutoa pole kwa niaba ya Chama cha Mapinduzi"

Katibu wa NEC-Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa Ndugu Amos Makalla amesema hayo akizungumza na Wananchi wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara .

Soma Pia:

===
Ndiyo wahusika
 
Namwona tu anavyojaribu kujiweka mbele. Yeye na Nchimbi suala la kukamatwa kwa akina Mbowe na Lissu. Waliingilia kati mpaka hawa jamaa kuachiliwa. Naona anajisahau. Haoni Mwenyekiti amenyamaza? Au anadhani yeye Makalla ni mkubwa kuliko Mwenyekiti?

Suala la kuuawa Kibao Makalla analaani? Analaani yeye kama nani? Na anasema suala la sijui utu , ubinadamu. Hizi habari aachane nazo. Mtu au binadamu ni mwanaCCM tu hawa wengine ni Fisi tu wanakuwa wameingia zizini. Shurti waondoshwe.

Sijui kama atadumu maana naona anaanza naye kuota mapembe , anaanza kuona naye anaweza zungumza wakati Mwenyekiti yupo ana onesha mapishi mbalimbali.

Inawezekana hawa watu hawashirikishwi haya mambo. Atulie.

Soma Pia: CCM yalaani mauaji ya mjumbe wa CHADEMA Ali Mohamed Kibao
 
Ipo siku tu Mungu atayajibu haya. Fisiem asahv wanahisi hii inchi ni mali yao sasa na wanaamua nan wa kuishi na nan wakufa.
 
Mwenyekiti yuko bize kuonesha mapishi haafu Makalla anajitanguliza mbele mbele
 
===
CCM YASIKITISHWA KIFO CHA MJUMBE WA SEKRETARIETI YA CHADEMA YATOA POLE.

"Nimeona kwenye Vyombo vya Habari kuanzia asubuhi mpaka sasa nitoe pole kwa Chama cha Chadema kwa kumpoteza mmoja wa Wajumbe wa Sektarieti bwana Ali Kibao nimekuwa nikifuatilia sisi ni vyama vya siasa linapokuja suala la ubinadamu Chama unaweka pembeni, nawapa pole kwa msiba"

"Mimi niombe Jeshi la Polisi likatimize wajibu la kuendelea na uchunguzi wa jambo huo , na katika hili sisi ni binadamu ,utu na ndio mana nimesimama hapa kutoa pole kwa niaba ya Chama cha Mapinduzi"

Katibu wa NEC-Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa Ndugu Amos Makalla amesema hayo akizungumza na Wananchi wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara .

Soma Pia:

===
Mungu ndiye anayejua ingawa sisi sote kwake tutarejea
 
Siku zote mhalifu Huwa wa kwanza kukikemea kile kitendo kiovu alichokifanya ili aonekane kwenye umma kama ni mtu mwema
 
Wanazuga.
Siyo tu kuzuga ila kejeli mbaya sana. Ni kama ile ya Sativa kupewa fedha wakati walitaka kumuua bado wapo na wanaendelea kuua. Au wanataka kutuambia kuwa Samia hana control na nchi tena? Kuwa kuna kundi la wauaji linaongoza Tanzania na yeye ''ameshikwa mateka'' na kuambiwa asifanye chochote? Siyo ajabu huyu aliyeuawa Samia akatoa rambirambi pia.
 
Haya ndio madhara ya wananchi kutumia muda mwingi kushabikia ujinga badala ya kujadili mambo muhimu ya kitaifa.

Watu wanashabikia mpira siku nzima unategemea nini toka kwao??

Anyways.

Yanga Bingwa tena.
 
Back
Top Bottom