CCM yalaani mauaji ya mjumbe wa CHADEMA Ali Mohamed Kibao

CCM yalaani mauaji ya mjumbe wa CHADEMA Ali Mohamed Kibao

===
CCM YASIKITISHWA KIFO CHA MJUMBE WA SEKRETARIETI YA CHADEMA YATOA POLE.

"Nimeona kwenye Vyombo vya Habari kuanzia asubuhi mpaka sasa nitoe pole kwa Chama cha Chadema kwa kumpoteza mmoja wa Wajumbe wa Sektarieti bwana Ali Kibao nimekuwa nikifuatilia sisi ni vyama vya siasa linapokuja suala la ubinadamu Chama unaweka pembeni, nawapa pole kwa msiba"

"Mimi niombe Jeshi la Polisi likatimize wajibu la kuendelea na uchunguzi wa jambo huo , na katika hili sisi ni binadamu ,utu na ndio mana nimesimama hapa kutoa pole kwa niaba ya Chama cha Mapinduzi"

Katibu wa NEC-Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa Ndugu Amos Makalla amesema hayo akizungumza na Wananchi wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara .

Soma Pia:

===
Wanafiki shetani wakubwa nyie
 
Tumuamini nani??
IMG-20240908-WA0060.jpg
 
Makala usiwafanye watu wote ni wajinga. Chadema imelalamika kutekwa vijana wake kwa mazingra ambayo ni wazi ni polisi/TISS, na hamjawahi toa tamko as if wamekufa sisismizi. Leo unawadhihaki/kujeli Chadema kwa visalamu vya kujikosha
Watakuja kulipa
 
Mtu katekwa na Magari ya polisi, kauawa Leo mnadai mnataka uchunguzi ufanyike. Nani afanye huo uchunguzi?
 
Nilipoona TU majambazi ya utawala wa magufuli yanarudishwa Kwa Kasi madarakani, nilishajua tunakoelekea, tutaona mengi.
 
  • Dislike
Reactions: UCD
===
CCM YASIKITISHWA KIFO CHA MJUMBE WA SEKRETARIETI YA CHADEMA YATOA POLE.

"Nimeona kwenye Vyombo vya Habari kuanzia asubuhi mpaka sasa nitoe pole kwa Chama cha Chadema kwa kumpoteza mmoja wa Wajumbe wa Sektarieti bwana Ali Kibao nimekuwa nikifuatilia sisi ni vyama vya siasa linapokuja suala la ubinadamu Chama unaweka pembeni, nawapa pole kwa msiba"

"Mimi niombe Jeshi la Polisi likatimize wajibu la kuendelea na uchunguzi wa jambo huo , na katika hili sisi ni binadamu ,utu na ndio mana nimesimama hapa kutoa pole kwa niaba ya Chama cha Mapinduzi"

Katibu wa NEC-Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa Ndugu Amos Makalla amesema hayo akizungumza na Wananchi wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara .

Soma Pia:

===
Hizi ni Salamu za Kejeli
 
Nilipoona TU majambazi ya utawala wa magufuli yanarudishwa Kwa Kasi madarakani, nilishajua tunakoelekea, tutaona mengi.
Kwanini unahangaika na Magufuli ambaye tayari yuko mbiguni anaendelea kuongoza Malaika!!?
 
Namwona tu anavyojaribu kujiweka mbele. Yeye na Nchimbi suala la kukamatwa kwa akina Mbowe na Lissu. Waliingilia kati mpaka hawa jamaa kuachiliwa. Naona anajisahau. Haoni Mwenyekiti amenyamaza? Au anadhani yeye Makalla ni mkubwa kuliko Mwenyekiti?

Suala la kuuawa Kibao Makalla analaani? Analaani yeye kama nani? Na anasema suala la sijui utu , ubinadamu. Hizi habari aachane nazo. Mtu au binadamu ni mwanaCCM tu hawa wengine ni Fisi tu wanakuwa wameingia zizini. Shurti waondoshwe.

Sijui kama atadumu maana naona anaanza naye kuota mapembe , anaanza kuona naye anaweza zungumza wakati Mwenyekiti yupo ana onesha mapishi mbalimbali.

Inawezekana hawa watu hawashirikishwi haya mambo. Yeye Amos anadhani polisi wanaamua tu kufanya wanayofanya bila mwongozo? Atulie. Mama anaiponya Nchi. Hii nchi iliharibika sana. Mnaomkwamisha mama mtakiona.

Soma Pia: CCM yalaani mauaji ya mjumbe wa CHADEMA Ali Mohamed Kibao
Unaongea kama una-KUNYA, msiba usikie kwa jirani, iko siku na wewe yatakukuta mjinga wewe huna haya.
 
===
CCM YASIKITISHWA KIFO CHA MJUMBE WA SEKRETARIETI YA CHADEMA YATOA POLE.

"Nimeona kwenye Vyombo vya Habari kuanzia asubuhi mpaka sasa nitoe pole kwa Chama cha Chadema kwa kumpoteza mmoja wa Wajumbe wa Sektarieti bwana Ali Kibao nimekuwa nikifuatilia sisi ni vyama vya siasa linapokuja suala la ubinadamu Chama unaweka pembeni, nawapa pole kwa msiba"

"Mimi niombe Jeshi la Polisi likatimize wajibu la kuendelea na uchunguzi wa jambo huo , na katika hili sisi ni binadamu ,utu na ndio mana nimesimama hapa kutoa pole kwa niaba ya Chama cha Mapinduzi"

Katibu wa NEC-Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa Ndugu Amos Makalla amesema hayo akizungumza na Wananchi wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara .

Soma Pia:

===
Ata Lisu alipo pigwa Lisasi walilaani hivyo hivyo. wauaji wanatumia technic kukidhoofisha CDM wana deal na root wakiacha shina lina dega dega ukiona list ya watu ambao wamekuwa targeted unaweza ukadhani ni wajinga wajinga tu kuanzia kipanya, kombo, soka. Kumbe wanakula chini kwa chini
 
Ata Lisu alipo pigwa Lisasi walilaani hivyo hivyo. wauaji wanatumia technic kukidhoofisha CDM wana deal na root wakiacha shina lina dega dega ukiona list ya watu ambao wamekuwa targeted unaweza ukadhani ni wajinga wajinga tu kuanzia kipanya, kombo, soka. Kumbe wanakula chini kwa chini
Nani anafanya hayo?
 
Kwanini watekaji hawakukemewa wanakemewa walipouwa?
Tusaidiane kutafakari
 
Back
Top Bottom