Chilemba wamela pamputi
JF-Expert Member
- Jan 10, 2019
- 468
- 486
Ndio uchaguzi wenyewe huo bwashee!
Sijaboresha taarifa zangu ili niweze kupiga kura Oct.....
Malim seif kipindi yupo ccm magufulu ndio kwanza anasoma shule ya msingi na pole pole hajazaliwa bashiru yy ndio kwanza ananyonya kwahiyo hao waliopo hakuna hata mmoja anaemkumbuka maalim kipindi yuko ccmHii ndio chama ya mapinduzi hata haingalii cheo historia wala sura magufuli akileta zake anagongwa za uso muulize maalimu seif anajua!
Mama yako nitamrudisha weekend hii. Acha niendelee kula nae bata. Usihofu yupo salama.anarudi lini mama?
CCM mpya!Wawafukuze tu.. Hii ni CCM mpya..
Namshauri kama bado ana libido ya kufanya siasa asiende CHADEMA afadhali hata aende CHAUMA
Sent using Jamii Forums mobile app
Maalim hakufukuzwa ccm kwakutia nia ya kutaka urais kama alivo fukuzwa membe maalim kafukuzwa ccm kwakudai serekali tatuHii ndio chama ya mapinduzi hata haingalii cheo historia wala sura magufuli akileta zake anagongwa za uso muulize maalimu seif anajua!
Karipio Kali ni kufokewa Kama mbwa aliyekomba mboga, kasamehe baada ya kuomba msamaha wa maandishi, musiba kawa kidedeaHivi tofauti yake ninini
Jr[emoji769]
huyo kichaa wenu lisu anarudi lini narudia tena jibu kama mtu ambayeana akili ila kama huna akili jibu kama mwanzoMama yako nitamrudisha weekend hii. Acha niendelee kula nae bata. Usihofu yupo salama.
Sasa ndiyo atawajua polisinyinyiem.aongee nini sasa kwa ruhusa ya nani
Samurai ukimusikiliza Sumaye baada ya kutoka Chadema nako ni mchang'anyiko pia sasa Wa Tz twende wapi au ni wapi penye unafuu?
huwa nafikiria wanaposema nguvu ya kinana.Ni ipi hasa?....two options.
1.wanazuiwa kufanya siasa for sometime -mpaka uchaguzi upite
2.watasema tumewasamehe lakn mmeonywa
.....hawana uwezo wa kuwafanya nje ya hayo mawili coz wanajua nguvu ya Kinana si ya kitoto
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo mimi mgeni(huu uwanaharakati na uwanasiasa wangu wa kuungaunga kwa matukio ndo unanipa changamoto) hebu nijuze kwanini hawezi kugombea?