Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio siasa za Bongo hizo!!Prof. Mwandosya alisema, JK alikuwa na majina mfukoni
Kamanda wa anga tayari atamzoa jamaa.
Ndio umeamka?
Kwahiyo bora ajiunge na cuf kwa vile ni ccm b inayobebwa na mahakam pamoja na msajili wa vyamaChadema wakimchukua nitajua ni wagonjwa wa akili.
Aongee tu nasi, tushachoka kumsubiri.Kaandika hivi kupitia twitter:
Watanzania wenzangu nimepata habari ya kufukuzwa kwangu kutoka kwenye Chama changu cha CCM. Simu zinamiminika hadi nashindwa kuzijibu. Tulieni! Nitapata muda wa kuongea na wote muda si mrefu!
Kumekucha !Kaandika hivi kupitia twitter:
Watanzania wenzangu nimepata habari ya kufukuzwa kwangu kutoka kwenye Chama changu cha CCM. Simu zinamiminika hadi nashindwa kuzijibu. Tulieni! Nitapata muda wa kuongea na wote muda si mrefu!
Kanali Kinana kapewa Karipio sio Onyo
Kwny Adhabu za Chama kuna Onyo na Karipio
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio tutest tena zali?Hala hala upinzani jamani tujifunze kutokana na makosa